Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
Duh!! ... huyo ndiyo mpelelezi mkuu au? Mbona kama mchemshaji?
mkuu wa operesheni
Duh!! ... huyo ndiyo mpelelezi mkuu au? Mbona kama mchemshaji?
Yani changoja unatumia nguvu kubwa sana kujibu hoja nyepesi... na kwa alivyo na cheo chake haviendani kabisa, ila tumuache kwani
(Tumeumbwa kwa mavumbi na tutarudi wote mavumbini)
Duh!! ... huyo ndiyo mpelelezi mkuu au? Mbona kama mchemshaji?
Hapa nilikuwa nasikiliza
radio TRIPLE A FM asubuhi Chagonja kaulizwa swali na mwandishi wa habari
kuhusu kujeruliwa kwa mh. Nassari Chagonja akajibu hivi. Huyo Nassari
alipigwa kwasababu yeye alienda kufanya nini huko na siyo kwao. Swali
langu Lowassa kule ni kwao pia naye si ni mmeru iweje leo watu
tunaongelea swala na makabila? Hawa viongozi watatumaliza Mungu tuepushe
na hili linalo likumba taifa ila Tanzania ya leo siyo ile ya zamani
tunaelewa tulipo toka na tulipo na tunapoenda
Katoka mtwara now arusha,,,,,,
then lindi
Hapa nilikuwa nasikiliza radio TRIPLE A FM asubuhi Chagonja kaulizwa swali na mwandishi wa habari kuhusu kujeruliwa kwa mh. Nassari Chagonja akajibu hivi. Huyo Nassari alipigwa kwasababu yeye alienda kufanya nini huko na siyo kwao. Swali langu Lowassa kule ni kwao pia naye si ni mmeru iweje leo watu tunaongelea swala na makabila? Hawa viongozi watatumaliza Mungu tuepushe na hili linalo likumba taifa ila Tanzania ya leo siyo ile ya zamani tunaelewa tulipo toka na tulipo na tunapoenda
huyu mzee ni mbumbu,anaropoka tu,haelewi chochote,ila watanzania tuliyataka wenyewe.
Katoka mtwara now arusha,,,,,,
then lindi