Kauli ya Chagonja juu ya Nassari

Kauli ya Chagonja juu ya Nassari

Na yeye siku moja akija morogoro tuta mkong'ota kisawsawa halafu tuone kama atauliza swali la kijinga kama hilo.ametumwa kwenda kupoteza ushahidi kilaza yule hana lolote. dawa ni CDM kutokumpa ushirikiano wowote.
 
Ni ukosefu wa HOFU YA MUNGU, ELIMU, BUSARA na UZALENDO hakuna kingine zaidi ya hapo.
 
Lowasa alipoenda kwenye kampeni Arumeru...huko kulikua ni kwao?
 
naanza kuamini maneno ya mwanafalisafa wa zamani wa kigiriki-Plato, kuwa askari ni "iron boys" uwezo wao wa kufikiri ni sawa na hakuna.
 
Kwa sura hii huyu alipaswa kuwa mstaafu.........

100_0233.jpg

Hapana mkuu, bwana mdogo huyo. Tatizo ni kulakula na kunywakunywa bila mipangilio ukijumlisha na kuridhika kirahisi na mafanikio ya maisha ndivyo vinamponza. Kuna haja majeshi kuweka viwango vya "fitness" angalau tuwe na makamanda wasiotia shaka kuhusu mwonekano wao.
 
Ingine nimeisikia Sunrise Redio leo asubuhi Kamanda Lebaratusi alipoulizwa je tunasikia mnawashikilia watu watatu kwa tukio la ulipuaji wa mabomu siku ya jumamosi yeye akajibu hana taarifa! na hapo hapo muandishi wa habari akampigia simu Chagonja kwa swali hilo hilo yeye akajibu ni kweli tunawashilikia watu wa tatu! Kwakweli sikupata picha!:shock:
 
Hapa nilikuwa nasikiliza radio TRIPLE A FM asubuhi Chagonja kaulizwa swali na mwandishi wa habari kuhusu kujeruliwa kwa mh. Nassari Chagonja akajibu hivi. Huyo Nassari alipigwa kwasababu yeye alienda kufanya nini huko na siyo kwao. Swali langu Lowassa kule ni kwao pia naye si ni mmeru iweje leo watu tunaongelea swala na makabila? Hawa viongozi watatumaliza Mungu tuepushe na hili linalo likumba taifa ila Tanzania ya leo siyo ile ya zamani tunaelewa tulipo toka na tulipo na tunapoenda

Wachina walioko Mtwara nao ni kwao? Wamarekani walioko Geita nako ni kwao? Wakanada walioko Kahama na Nyamongo-Tarime nako ni kwao?
 
Inasikitisha inamaana mtu ukipita eneo ambalo sio kwene unapigwa na ni haki ya kupigwa ee mungu gusa mioyo ya viongozi wa nchi hii wawe na huruma, busara, hekima
 
Hapana mkuu, bwana mdogo huyo. Tatizo ni kulakula na kunywakunywa bila mipangilio ukijumlisha na kuridhika kirahisi na mafanikio ya maisha ndivyo vinamponza. Kuna haja majeshi kuweka viwango vya "fitness" angalau tuwe na makamanda wasiotia shaka kuhusu mwonekano wao.

Mkuu sikumaanisha kuwa awe amestaafu kwa mujibu wa umri bali afya yake....no wonder anatoa comments na maamuzi yasiyo na muelekeo wa kiafya!
 
Hapa nilikuwa nasikiliza radio TRIPLE A FM asubuhi Chagonja kaulizwa swali na mwandishi wa habari kuhusu kujeruliwa kwa mh. Nassari Chagonja akajibu hivi. Huyo Nassari alipigwa kwasababu yeye alienda kufanya nini huko na siyo kwao. Swali langu Lowassa kule ni kwao pia naye si ni mmeru iweje leo watu tunaongelea swala na makabila? Hawa viongozi watatumaliza Mungu tuepushe na hili linalo likumba taifa ila Tanzania ya leo siyo ile ya zamani tunaelewa tulipo toka na tulipo na tunapoenda

yeye huyo chagonja hapo alipo ni kwao?? mbona anakuwa hana akili kiasi hicho??
 
Hawa ni wale waliingia jeshi la polisi wakati huo sifa za kujiunga ilikuwa ni urefu, uwezo wa kukimbia upana wa kifua pamoja na kadi ya CCM. Kwa hiyo uctegemee lolote la maana kutoka kwake na wenzake wa wakati huo.
 
Ok.hakujibu vizuri kama ambavyo wewe mwenyewe hujapenda!,alipaswa kutoa jibu gani?!
 
Dah yeye arusha ni kwake au na yeye apigwe?
Hivi sisi watanganyika nani katuloga?
Pamoja na kashfa kebehi za kina Chagonja, Lukuvi savimbi wa singida bado kuna watu wanaichagua chama cha magurunet ccm?
Maajabu hayataisha Tanganyika kwa hivi.
 
huyu dogo akpona na yeye aache papara acheze kwa step kama mbowe,mnyka na zto asiendee kwa papara kwenye siasa ataumia akna lowasa si level zake ataumia aache papara itamcost
 
Back
Top Bottom