This is just a wrong move kwa CDM wakati mwinginewanaudhi kweli. Sasa wanafikiria rais na CCM watasema wamekosea na wataacha? Grrrrrrrr
Mzee Mwanakijiji,point ya CDM ni kuwa kama nao CCM wanawaita watumishi wa umma kwenye mikutano yao kujibu hoja za wananchi basi vyama vyote vipate hiyo haki hiyo........