Umeshaolewa au unatafuta mume?Njia rahisi ni kwa CDM nao kuita mateja walioshiriki kwenye maandamano kuwaelezea wananchi utendaji wa kazi za chama katika kuvuruga amani nchini.
Mtumwa wa mawazo wewe, uje hapa nioshe kichwa changu.
Mkuu CCM hali ni mbaya sana.Ccm ni chama dola kama mna mind mtajibeba
Umeshaolewa au unatafuta mume?
hivi NAPE huwa hayajui haya, au anakurupuka tu kama gurudumu la bajaji?
no wonder mkurungezi wa Tanesco jimbo la nyamagana na yule wa Maji wote hawakutokea, eti waliitwa kutoa taarifa za utekelezaji wa ilani ya uchaguzi wa CCM kwenye mkutano wa dharura -- Aisee hivi hata kinana hili halijui awashauri?Nilipo msikiliza Nape junior kweli niliona tatizo la msingi la yeye kusoma India. Angesoma Tz kama sie basi DS 100 na 200 inge msaidia kuelewa kwani mashirika yetu ya umma yalikufa. Nape wafanyakazi wa umma wanawajibika kwa katibu mkuu wa wizara wala si kwa waziri ambaye ni mwanasiasa. Waziri kazi yake ni kuangalia sera za chama chake zinatungiwa sheria na kufuatwa na wizara husika. MD au CEO ana wajibika kwa bodi si kwa mikutano ya sisiemu, wao wange mwita Prof. Muhongo kama wana ubavu huo na kumhoji kwani ndo mwanachama wao. Kweli Nape ni kilaza na hajui mipaka ya kazi yake. Poor nape and useless ccm
Karume aliwaambia hivi wana ccm wenzake pale Kizota, wiki chache tu zilizopita.
View attachment 73623
This is just a wrong move kwa CDM wakati mwinginewanaudhi kweli. Sasa wanafikiria rais na CCM watasema wamekosea na wataacha? Grrrrrrrr