Kauli ya Abeid Karume kuhusu muungano

Karume:Muungano kama koti likitubana tunalivua. je wanzanzibar bado koti linawatosha?

Kwa maneno mengine yeye na Lissu wanaongea lugha moja ila maneno tu ndiyo tofauti ila nia ile ile .Between huyu kachukua ardhi sana ya wazanzibar wanalia hovyo kwa ufalme wake je ni lini ataona aibu ?
 
Kwa maneno mengine yeye na Lissu wanaongea lugha moja ila maneno tu ndiyo tofauti ila nia ile ile .Between huyu kachukua ardhi sana ya wazanzibar wanalia hovyo kwa ufalme wake je ni lini ataona aibu ?

Wanasiasa waongo sana. Maalimu yuko wapi siku hizi? Amepata ile kitu roho inapenda kawasahau wazenj
 
Wanasiasa waongo sana. Maalimu yuko wapi siku hizi? Amepata ile kitu roho inapenda kawasahau wazenj
Mkuu, umeongea kitu cha kufikirisha sana!
Huyu Maalim wa enzi hizo kuna mtu anaweza kudhani kuwa angekuwa kimya kama alivyo leo kweli?...Amekuwa mswahili, anasingizia kuumwa na kutibiwa nje ya nchi, kumbe mwenzao anapitisha muda na kula maisha.
Fedha sabuni ya roho!
 
Karume:Muungano kama koti likitubana tunalivua. je wanzanzibar bado koti linawatosha?
.....naam, kati ya marais wa zanzibar wa kihistoria, ni huyu jamaa, hayati Karume; achana na galasha zingine zimekalia kuapa na kuwa mawaziri wa bara(Tanganyika); BRAVO Karume, sijafikiria kama alikuwa anakula urojo huyu.
 
..Karume amepata kutoa kauli za kuunga mkono muungano.

..kila upande, wanaopinga na wanaounga mkono muungano, wanaweza ku-invoke kauli za Karume kutetea misimamo yao.
 
Koti lilishabana, ila ni kama mtoto anayelazimishwa na mzazi kuwa vaa hilo hilo bado linakutosha. Ila ukweli koti hilo halimtoshi yeyote iwe zenj wala kwetu Tanganyika. Watawala ndo wanalazimisha hilo koti liendelee kututosha.
 
Sipat picha kama angekuepo angelivua kot au angelazimishwa kulivaa
 
Karume yupi? Maana Karume mkubwa hakuwa na maswali mara alipoambiwa tuungane na Nyerere yeye kasema ikiwezekana hata leo tuungane! there were no arguments!
 
Aliulizwa na viongoz wa zanzibar kwann tunaungana na tanganyika wakat tuna kila kitu.elimu bure huduma ya afya bure.akawajibu znz leo hii tuko wachache lakin itafika kipindi tutazidi kuzaana na tutakua wengi na kisiwa cha znz kidogo kwahyo wengine wataenda kuish bara
 
Back
Top Bottom