Wewe huyooo....cheee!!!
Oouh sawa sawa..pambana.
Nikajua mnaingia na mpya maana Id za kale hazionekani.
Yule wifi yako uliyenipa naogopa nitamuua kwa preshaaWewe huyooo....cheee!!!
Eti Daby ni kweli...??
Ila mdogo wangu???
BalaaMe niweza atakuwa na pentagon labda....hahahaha sio kwa pembe hiyo jomoniii
Heheheheee👌👌
Hahaaa, eti pembeHa haaa mi pia nimewaza hiyo pembe
Ha haaa mtu apite aone hii comment, nimechekaaa
Sijawahi ulizwa hivyo jamani, hebu atokee malaika wa hivyoNitume sh. ngapi?
Unazijua aina za pembe wewe? Nitajie mojaHahaaa, eti pembe
Wifi yako mtu wa imani sana, ni wife material aliyetulia, sema sasa Mangi naogopa kuja kumtesa na mawazoo......Heheheheee