Kauli hii inanikera, nifanyeje?

Kauli hii inanikera, nifanyeje?

Hacha asira wewe! Akumbuke kuwa Mwanaume ni kichwa cha familia; naweza amua la kuamua likamuathiri yeye; sijui wewe utamsaidiaje?

Sasa kwanini hukuamua huko huko kwako unakuja JF kusaidiwa namana ya kuamua?
 
uzi huu uziwe ugomvi wa WANAUME VS WANAWAKE, Kinachotakiwa hapa ni kubadilishana mawazo na uzoefu wa mahusiano ya kindoa, wengine wameishanitukana eti nina dharau; eti acha nijibiwe hivyo; powa tu! ila kumbuka mimi binafsi ninayo maamuzi ambayo naweza kuyasimamia; msione wasimbe wamejazana mitaani mkashindwa kujiuliza sababu ni zipi.
Kwanza viumbe wa kike mko wengi na growth rate yenu iko juu kuliko wanaume; mkilijua hilo itawabidi muweke heshima kwa wanaume wote, no matter ni mumeo au si mumeo.
naheshimu binadamu yeyote anayeniheshimu na kuheshimu utu wa binadamu awaye yeyote hata ikiwa simjui!
kwa aina hii ya hoja unazoleta hapa wewe na wenzio mnawaattack wanawake wote I,FOR ONE SIWEZI KUWAHESHIMU
 
Ushamuelewa after all wanawake wana akili mbovu, anzisha familia na wanaume si wana vishimo nao!

Mnatudharau na yet mnatuhitaji, ningekuwa mimi mkeo ningeondoka mazima. Maana mpaka dakika hii pamoja na akili zako nyingi wewe mwanaume unahangaika na kutuliza homa kuliko kuchunguza infection ni nini! Very brilliant!
Kaunga asante sana kwa jibu linalomfaa! Kama ana akili kweli atatafakari na kujua tatizo liko wapi.
 
Last edited by a moderator:
ushamuelewa after all wanawake wana akili mbovu, anzisha familia na wanaume si wana vishimo nao!

mnatudharau na yet mnatuhitaji, ningekuwa mimi mkeo ningeondoka mazima. Maana mpaka dakika hii pamoja na akili zako nyingi wewe mwanaume unahangaika na kutuliza homa kuliko kuchunguza infection ni nini! Very brilliant!

haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Ushamuelewa after all wanawake wana akili mbovu, anzisha familia na wanaume si wana vishimo nao!

Mnatudharau na yet mnatuhitaji, ningekuwa mimi mkeo ningeondoka mazima. Maana mpaka dakika hii pamoja na akili zako nyingi wewe mwanaume unahangaika na kutuliza homa kuliko kuchunguza infection ni nini! Very brilliant!

Kuondoka kwangu usingeweza! Nikijibiwa ndivyo sivyo nachukua muda kutafakari; daima maamuzi wakati wa hasira huwa siyo mazuri; na kwa kulijua hilo ndo maana hajaondoka pamoja na kuwa na mawazo kama hayo.
 
uzi huu uziwe ugomvi wa WANAUME VS WANAWAKE, Kinachotakiwa hapa ni kubadilishana mawazo na uzoefu wa mahusiano ya kindoa, wengine wameishanitukana eti nina dharau; eti acha nijibiwe hivyo; powa tu! ila kumbuka mimi binafsi ninayo maamuzi ambayo naweza kuyasimamia; msione wasimbe wamejazana mitaani mkashindwa kujiuliza sababu ni zipi.
Kwanza viumbe wa kike mko wengi na growth rate yenu iko juu kuliko wanaume; mkilijua hilo itawabidi muweke heshima kwa wanaume wote, no matter ni mumeo au si mumeo.

wapo wanaume wa KUHESHIMIWA LAKINI SI WA AINA YAKO et al!
 
naheshimu binadamu yeyote anayeniheshimu na kuheshimu utu wa binadamu awaye yeyote hata ikiwa simjui!
kwa aina hii ya hoja unazoleta hapa wewe na wenzio mnawaattack wanawake wote I,FOR ONE SIWEZI KUWAHESHIMU

"Na tumuumbe mtu kwa mfano wetu; akamuumba Adamu." Huyo ndo aliyeumbwa; na wanadamu ni wanaume tu! Wanawake ni nyongeza na ndo maana kwa kiswahili tuna Wana na Mabinti; Wana wakikua huwa WANAUME; mabinti wakiua huwa WANAWAKE!

WAJUA HILO? Ndo maana zamani kwenye sensa wanawake walikuwa hawahesabiwi; ukisasa ndo umeleteleza matatizo yanayotukumba wanaume wa siku hizi.
 
ungelijua; usingeyaandika haya uloandika hapa! Pole sana mtoto wa kike!

nakupa pole wewe!tena hasa mkeo!mwanamke kuwa na mke wa aina yako akitembea barabarani na kusema ana mume mbona ni balaa! gfsonwin na Mtambuzi kwani ile khabari ya mfuko na tunzi tutatu tuwili hatufai kwenye eneo la aina hii!
nahisi kuna mtu anahitaji kwa kweli
 
Last edited by a moderator:
Sasa kwanini hukuamua huko huko kwako unakuja JF kusaidiwa namana ya kuamua?

MwaJ; kuchart na watu ni obby yangu; kama nimekuudhi naomba unisamehe bibie;
Si kila ulionalo hapa JF linafaa au halifai; naamini yapo mengi ambayo yameandikwa kwenye uzi huu ambayo kwa namna moja ama nyingine yamenijenga na kuwajenga wasomaji wengine. HIYO NDO SABABU KUU.
 
"Na tumuumbe mtu kwa mfano wetu; akamuumba Adamu." Huyo ndo aliyeumbwa; na wanadamu ni wanaume tu! Wanawake ni nyongeza na ndo maana kwa kiswahili tuna Wana na Mabinti; Wana wakikua huwa WANAUME; mabinti wakiua huwa WANAWAKE!

WAJUA HILO? Ndo maana zamani kwenye sensa wanawake walikuwa hawahesabiwi; ukisasa ndo umeleteleza matatizo yanayotukumba wanaume wa siku hizi.
namhurumia sana huyo mwanamke unayemwita mkeo!ana kazi mfano hakuna!maskini dada wa watu!pole zako mamii popote ulipo!
 
uzi huu uziwe ugomvi wa WANAUME VS WANAWAKE, Kinachotakiwa hapa ni kubadilishana mawazo na uzoefu wa mahusiano ya kindoa, wengine wameishanitukana eti nina dharau; eti acha nijibiwe hivyo; powa tu! ila kumbuka mimi binafsi ninayo maamuzi ambayo naweza kuyasimamia; msione wasimbe wamejazana mitaani mkashindwa kujiuliza sababu ni zipi.
Kwanza viumbe wa kike mko wengi na growth rate yenu iko juu kuliko wanaume; mkilijua hilo itawabidi muweke heshima kwa wanaume wote, no matter ni mumeo au si mumeo.

Sijapenda kauli yako looh no wonder mkeo anakujibu hivyo una negative attitute towards women.badilika.
 
Back
Top Bottom