Kauli hii inanikera, nifanyeje?

Kauli hii inanikera, nifanyeje?

kama yapi jose?
Ameolewa kwa ndoa ya kanisani;
tumejaliwa watoto tena kwa kuchanganya jinsia;
anaishi kwake;
sina hawala;
nifanyeje ndugu yangu!
wahaya nyie hamkosagi wanawake wengiwengi naye kashawaona na anaju kama unajua hajui jua leo anajua na ndio sababu anasema hivyo na hapo kachoka sasa akifikia kukutamkia hivo siku nyingine mkasirishe zaidi ataropoka yote yaliyoko moyoni kwake na ndio utaujua ukweli wote ,axcheni bana wanaume mnakera sana .ila kusema kweli sijawahi kugombana na mume wangu na pia naogopa ugomvi mie tutachekajeeeeeeeeeee baada ya ugomvi najiuliza nitaanzia wapi kuurudisha ule upendo kabla ya ugomvi so kwasababu it will cost me huwa hata kama anamakosa napotezea na hii imesaidia sana kwangu mie :all men like to win the game no matter he is a victim .sasa akili kichwani usigombane na mtu live longer
 
Wakwangu huwa anasema..."hapa siondoki ng'o..."

Huwa ananiambia "kama kuondoka niondoke mie"

Huyo wa kwako Tutor B yupo poa kabisa hahaha

Anyway, wanawake/wake zetu mara nyingi wanajifikiria kuwa wapo insecure...sijui kwa nini?

Eh! hiyo kali m2 wangu!

Imenikumbusha mshkaji wangu mmoja alosema hivi "wanawake si ndugu / rafiki wala .... ni watu tu! " Utawazaje kuacha kwako na kuamia kwa mwingine kama kweli zinakutosha?
 
Fikiria kesi ndogo kama hii;
Amechelewa kurudi nyumbani; anakukuta uko nje; unamuuliza mbona umechelewa hivi ulikuwa wapi?
Jibu; Eh! Baba fulani nisiongee ma marafiki zangu eti kisa nitaulizwa? kama ni hivyo ni bora nikupishe waje wengine wajaribu!

Utajisikiaje kwa jibu la namna hiyo??? Inakera!

Kwa mfano ulioutoa kidogo nimepata mwanga na kugundua kasoro mojawapo baina yenu...
Nyie kama wanandoa ninahisi mnakosa kitu kinaitwa "mawasiliano"...
Taarifa ya kuchelewa nyumbani ilipaswa uwe umeshaifahamu kabla hata mkeo hajafika nyumbani...
 
Kila tukiwa na mtafaruku na mama watoto wangu ananambia kauli hii "Nitawapisha wengine waje wajaribu, nina kwetu" Hivi mwanamke aliyeolewa, yuko ndani ya ndoa zaidi ya miaka 10 anaweza kuendeleaje kufikiria kurudi kwao badala ya kufikiria kujenga mji wake ambao unaweza kuwa kimbilio kwa jamaa zake wanaoweza kuwa na matatizo?
Akili au matope??????

KAULI HII INANIKERA SANA!

Ondoka kimya kimya umuache peke yake, alafu uone Kama hato jirekebisha, akiwa mgumu mlete kwangu tuishi nae miezi mi 4 alafu uje umchukue uone
 
mkuu;
hawajui kuwa huko nyumbani kuna mwanamke aliyeheshimu mumewe ndo maana hiyo nyumba inadumu hadi sasa?

na kwa nini sisi wanaume huwa hatuwazi kurudi majumbani kwetu wakati wa migogoro?

je! Hawajui kuwa familia inaundwa na baba, mama na watoto? Iweje mwanamke awe na mawazo ya kurudi kwao kuiterekeza familia yake? Hapo ndo najiuliza hadi wengine wananishangaa kwa kutumia maneno makali jf!
hapo kwenye red kwani nyie mna kwenu nyie ni static mkuu sio dynamic inamaana huujui uanaume wako!
 
Ondoka kimya kimya umuache peke yake, alafu uone Kama hato jirekebisha, akiwa mgumu mlete kwangu tuishi nae miezi mi 4 alafu uje umchukue uone
lara 1 njoo ujionee nyota njema huonekana asubuhi
 
Last edited by a moderator:
wahaya nyie hamkosagi wanawake wengiwengi naye kashawaona na anaju kama unajua hajui jua leo anajua na ndio sababu anasema hivyo na hapo kachoka sasa akifikia kukutamkia hivo siku nyingine mkasirishe zaidi ataropoka yote yaliyoko moyoni kwake na ndio utaujua ukweli wote ,axcheni bana wanaume mnakera sana .ila kusema kweli sijawahi kugombana na mume wangu na pia naogopa ugomvi mie tutachekajeeeeeeeeeee baada ya ugomvi najiuliza nitaanzia wapi kuurudisha ule upendo kabla ya ugomvi so kwasababu it will cost me huwa hata kama anamakosa napotezea na hii imesaidia sana kwangu mie :all men like to win the game no matter he is a victim .sasa akili kichwani usigombane na mtu live longer

Mambo ya kabila yamekujaje dada yangu;
Ila mchango wako nimeupenda sana japo kidogo kuna uongo ndani ...
 
Kwa mfano ulioutoa kidogo nimepata mwanga na kugundua kasoro mojawapo baina yenu...
Nyie kama wanandoa ninahisi mnakosa kitu kinaitwa "mawasiliano"...
Taarifa ya kuchelewa nyumbani ilipaswa uwe umeshaifahamu kabla hata mkeo hajafika nyumbani...

Aliyepaswa kutoa hiyo taarifa ni yeye; kosa langu ni kumuuliza kulikoni au? huo ni mfano; yapo mengi ambayo hupelekea kuimba kawimbo ka kunipisha mkuu.
 
MWANAMKE..!! Mie nawaogopa sana viumbe hawa jamani ..nawaogopa sana sana .. Sijui life langu litakuwaje, kungekuwa Na kijiulimwengu free from women I rather go there , stay and live there ..
 
MWANAMKE..!! Mie nawaogopa sana viumbe hawa jamani ..nawaogopa sana sana .. Sijui life langu litakuwaje, kungekuwa Na kijiulimwengu free from women I rather go there , stay and live there ..

Hakuna njia ya kuwakwepa; utakuwa naye katika mambo mazuri mengi tu; lakini kitu kidogo tu anakutibua akili hadi unajiuliza ni kwa nini ulioa.
 
nakuomba unionyeshe uongo wangu katika lipi hapo,

Kwa wanaume kuwa na wanawake wengi haiendani na kabila fulani. Mbona Mzee Vasco Da gama wa Tanzania ana madem kibao lakini sio Mhaya?

Isitoshe maisha ya sasa hivi sio ya kuendekeza wanawake wa nje kwani wanaharibu maendeleo ya familia kabisa. Ni hisia tu za watu kwamba m2 ambaye ni social lazima awe na wanawake wa nje; hilo halipo kabisa; wale wanaojifanya wapole, hawaendi hata kujichanganya na marafiki - ndo wabaya sana kwenye kuteremsha nguo za ndani za kwao na za wengine.
 
ndio umepangishiwa na Barik gold mine manoah
Nimepanga kwa pesa yangu, maana mie cna ndugu, sina mpenzi kwaiyo sina pa kuzipeleka pesa sasa ivi nipo off wiki mbili then niludi shimoni... Mie zangu njoooo...... Utanikuta na chukua type za kina Lara 1 na Ciello baby.....
 
jitahidi kuondoa magomvi yap.jpg
 
Back
Top Bottom