haya umeongeza wamekuwa wawili na ile interview ya Ciello ilikusinda amekukubali kwa kigezo gani pesa ya barik auNimepanga kwa pesa yangu, maana mie cna ndugu, sina mpenzi kwaiyo sina pa kuzipeleka pesa sasa ivi nipo off wiki mbili then niludi shimoni... Mie zangu njoooo...... Utanikuta na chukua type za kina Lara 1 na Ciello baby.....
Una DHARAU wewe!
no wonder mkeo anakujibu mbofu mbofuAnamaanisha kuwa akili za wanawake ni ndogo ukilinganisha na za wanaume au hujaelewa ndg yangu.
Ndo maana kwa serikali ya Jamhuri ya Tannzania kuna wizara ya kushughulikia mambo ya wanawake na watoto.
Apigwe na nani? labda kummwagia maji; si ndo siraha yenu kuu wanawake?
dume la ukweli halitumii hizi lugha!dharau ya wapi?
Ukweli unauma kaunga; habari ndo hiyo; ukubali ukatae ukweli unabaki pale pale. Akili za wanawake ni za ajabu sana.
Mwanaume akimkosea mwanamke - mwanamke ndo yuko kwenye dangerous zone,
mwanamke akimkosea mwanaume - vile vile mwanamke ndo anakuwa kwenye dangerous zone;
kwa kulitambua hilo ya ninimwanamkekujishaua?
Rudia kusoma neno nililotumia.
Hili suala ni gumu sana kama hauto tambua kuwa akili yako na mkeo zipo tofauti. Mwanamke ni mtu ambaye anapenda muda wote akutie kwenye himaya yake ya kutawala ili kila analosema uwe unakubali tu bila kulifanyia uchunguzi. Mwanamke akikuta kila jamba analokuambia wewe, halafu wewe hujibu neno lazima akutafutie sababu kuangalia je unampenda, na akigundua kuwa unampenda ndipo ana anza visa vya kutaka kurudi nyumbani kwao ili akuone wewe utasemaje. Sasa ili aache kusema hivyo na ukitaka kugundua kuwa nimnafiki siku akisema hivyo mwambie achukue vitu vyake aende ataona lazima atakataa kwenda kwao. kitu kinachotakiwa usitake ufananishe akili yako na ya kwake. Yaani ukiona umepata mke ambaye akili zinafanana ni kushukuru Mungu.
Anamaanisha kuwa akili za wanawake ni ndogo ukilinganisha na za wanaume au hujaelewa ndg yangu.
Ndo maana kwa serikali ya Jamhuri ya Tannzania kuna wizara ya kushughulikia mambo ya wanawake na watoto.
ila potezea maugomvi sio nzuri kwa kweli,Kwa wanaume kuwa na wanawake wengi haiendani na kabila fulani. Mbona Mzee Vasco Da gama wa Tanzania ana madem kibao lakini sio Mhaya?
Isitoshe maisha ya sasa hivi sio ya kuendekeza wanawake wa nje kwani wanaharibu maendeleo ya familia kabisa. Ni hisia tu za watu kwamba m2 ambaye ni social lazima awe na wanawake wa nje; hilo halipo kabisa; wale wanaojifanya wapole, hawaendi hata kujichanganya na marafiki - ndo wabaya sana kwenye kuteremsha nguo za ndani za kwao na za wengine.
"nitawapisha wengine nao waje wajaribu, nina kwetu"
Kauli hiyo inatolewa na 'unhappy wife', ambaye amejaribu kila awezalo kufanya ndoa iWork na it seems ameshindwa au juhudi zake haziwi appreciated. Anataka aprove kuwa mwenye tatizo sio yeye "..waje wajaribu..." bali ni mumewe. Pia anajifariji kuwa hakutoka nowhere bali somewhere.
Mwanamke anayefurahia ndoa hawezi tamka kauli kama hiyo. Mwanamke anayefurahia ndoa yake, atafanya kila njia kuikeep ndoa.
Nini kina mfanyana asifurahie, that is for her to know and Tutor B to find out!
Ungesema na matatizo yako ili tupime ni nini kinapelekea aseme hivyo, kwa mfano unalala nje bila taarifa unategemea aseme nini? unashangaa kauli tu ilihali kuna watu wanajinyonga???????Kila tukiwa na mtafaruku na mama watoto wangu ananambia kauli hii "Nitawapisha wengine waje wajaribu, nina kwetu" Hivi mwanamke aliyeolewa, yuko ndani ya ndoa zaidi ya miaka 10 anaweza kuendeleaje kufikiria kurudi kwao badala ya kufikiria kujenga mji wake ambao unaweza kuwa kimbilio kwa jamaa zake wanaoweza kuwa na matatizo?
Akili au matope??????
KAULI HII INANIKERA SANA!
samahani sana kama umeoa mwanamke mwenye akili ndogo hyu ni mkeo wewe,wewe peke yako!wenzio waume zetu wanatuaminia mfano hakuna CHAPA MWENDO KULE!we mwenyewe kichwa kimejaa uji wa tope tu humo lazima uaone kila mtu ana akili kama zako!inakera kweli, sasa huyu mwananke ana matatizo, kwanza yawezekana anasema hivo kukutisha unajua tena wanawake akili zao ndogo saana, pili yawezekana ni mambo ambayo aliyazoea kuyasema bila kumaanisha, au background ya familia yake wazazi walikua wanatishana mbele ya watoto mambo kama hayo, ila kama hana makosa makubwa ya kumwacha, mpende mtimizie ilyo haki yake, nadhani mtaelewana kwani kupishana kimawazao katika familia ya wawili mbona kawaida, mwanaume pia unakosea, ila maana na msingi kusaeheana wongo jombaaaaaa
Huna adabu hata kidogo! Tena umejaa dharau! No wonder mkeo anakujibu anavyokujibu! Hata kama akiwaachia wengine wajaribu sidhani kama kuna atakayeweza kukuvumilia!
samahani sana kama umeoa mwanamke mwenye akili ndogo hyu ni mkeo wewe,wewe peke yako!wenzio waume zetu wanatuaminia mfano hakuna CHAPA MWENDO KULE!we mwenyewe kichwa kimejaa uji wa tope tu humo lazima uaone kila mtu ana akili kama zako!
Anamaanisha kuwa akili za wanawake ni ndogo ukilinganisha na za wanaume au hujaelewa ndg yangu.
Ndo maana kwa serikali ya Jamhuri ya Tannzania kuna wizara ya kushughulikia mambo ya wanawake na watoto.
Kaunga; hapo umeongea kwa kweli; na je! over 10 years hajasema!!! nimueleweje?