FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
hahahaha mambo ya shekhe Yahaya yamehamia kwa Askofu!Haya sisi yetu masikio.
- Umeme wa |TANESCO HAUTAWAKA.
- Mrema atakuwa Raisi wa Tanzania.
Mwaka huu tutasikia mengi.
hahahaha mambo ya shekhe Yahaya yamehamia kwa Askofu!Haya sisi yetu masikio.
- Umeme wa |TANESCO HAUTAWAKA.
- Mrema atakuwa Raisi wa Tanzania.
Mwaka huu tutasikia mengi.
Kuna post nilianzisha kuhusu Kakobe na powers zake.Hivi alipata wapi hivi Vipimo? Hapa lazima tukubali kwamba kama kweli alidanganya na ikathibitika Mbele yake Mwenyewe basi Credibility yake itakuwa imeshuka sana sema tu Waumini hawawezi kumweleza
Mkuu Nahisi wewe unaishi Chini ya Umeme Mkubwa
Labda nikuulize swali labda unipe Hierachy za Umeme wa Tanesco interms ya Msongo na Specifications zake, maana kusema tu umeme Mkubwa inakuwa haina maana! Tuambie Unaposema Umeme Mkubwa una maanisha nini? Maana Kubwa ni reletive terminology
Baada ya Kakobe kusalimu amri, japo nilithibitisha Kakobe anazo nguvu, sasa nathibitisha tena, alikuwa anazo nguvu lakini sasa hana tena hizo nguvu, labda kwa kukiuka masharti, ama mpaka aende tena Nigeria aka renew.
Umeme utawaka, and this is the begining of an end of Kakobeism.
Jamaa aliitwa na kuelezwa mambo yake yote ambayo ameyafanya kinyume cha sheria (10) akabaki mdomo wazi. mojawqapo lilikuwa ni sehemu ya kanisa kuwa kwenye road reserve. alitahadharishwa kuwa endapo hengesaini hati ya kuacha madai yake serekali ingetekeleza mara moja hatua ya kubomoa sehemu ambayo ipo kwenye road reserve bila kuchelewa. Jingine ni yeye kuwa na mabilioni ya fedha katika account zake ambazo hazina maelezo. Serikali ilikuwa tayari kufreeze account zake kwani inahisi fedha hizo kawaibia waumini wake
Lakini mkuu wahenga wetu walishatueleza tangu zama na zama kwamba DALILI YA MVUA NI MAWINGU.Huyu KAKOBE asipothibitiwa ipo siku atatufikisha hukoNaamini huko hatuwezi kufika Mkuu!
- Umeme wa |TANESCO HAUTAWAKA.
we unamtisha nani?
can you prove your statement? whats wrong with houseboys and house girls? Whatever your answer then choose your award there. But be very careful
Madhara gani mkuu!! elezea basi.Huwezi kupitisha umeme mkubwa karibu na makazi ya watu kama haya maana ni hatari kwa vyovyote ile
Huwezi kupitisha umeme mkubwa karibu na makazi ya watu kama haya maana ni hatari kwa vyovyote ile
Let me be neutral, ningependa kujua ni kwa nini umeme wa 132kv unaotoka mtera na kidatu umetengewa njia yake na karibu yake hairuhusiwi kujengwa makazi ya watu, lakini huu wa 132kv kutoka ubungo (kama kweli ni 132kv) unapitishwa karibu na makazi ya watu? au si 132kv? na kama ni 132kv hamwoni kuwa serikali inawatendea vibaya wakazi wote katika barabara hiyo na wala si kakobe na waumini wake ambao kwanza hawaishi eneo hilo?
Mkuu Kuhusiana na Post yako hapo juu hebu tembelea hii link
Mkuu sasa mbona kumekuwa na migongano kama hii report inajieleza?
Report TANESCO said:Kutumia njia za kisanifu zenye nia ya kutumia nafasi kidogo badala ya zile za zamani ambazo huhitaji nafasi kubwa zaidi�� Kuchagua maeneo yaliyotupu ama yale yaliyoachwa bila kuendelezwa ili kupata njia.
Pale inapowezekana kutumia hifadhi ya barabara na kushirikiana njia na wadau wengine
kama vile Bomba la TAZAMA na Songas
Report TANESCO said:Ili kufanikisha uchambuzi wa tathmini hii, njia mbalimbali zilifuatwa. Njia hizo zinajumuisha hizi
Report TANESCO said:zifuatazo
Report TANESCO said:�� Kutembelea maeneo ya mradi husika na kuangalia hali halisi iliyopo
�� Mikutano na wananchi katika maeneo ambayo mradi unapitia.
Wakazi wengi wa maeneo ya Ubungo mpaka Mikocheni na kutoka Ilala mpaka kurasini waliishauri TANESCO ifikirie uwezekano wa kutumia hifadhi ya barabara ama kutumia njia nyingine mbadala ili kuwaepusha na athari za kuhama makazi.
Kwa upande wa Dar es Salaam pia athari kwa mazingira na baoanuai ni ndogo. Lakini athari za kijamii ni kubwa kwani eneo hili lipo mjini na umeme lazima ufike maeneo hayo ya mjini. Hata hivyo mradi na wataalam wake wamejitahidi kukwepa maeneo yenye watu wengi na kushirikiana njia na TANROADS, TAZAMA Pipeline na Songas ili kupunguza athari kubwa zaidi.
Mkuu sasa mbona kumekuwa na migongano kamahii report inajieleza?
Kipengere chenyerangi nyekundu vipi?
Kama TANESCO wangefuatamapendekzo yao wenyewe kama yalivyo kwenye link hiyo basi kusingekuwa na matatizo haya na Askofu Kakobe. Lakini pia watanzania tusimbeze Kakobe, mimi namuheshimu kwani ametuonyesha njia sahihi kusimamia lile tunaloliamini. Kwa mfano kama watanzania tungefanya hivyo kuhakikisha Reli ya kati inapitika na ina huduma nzuri unadhani wasingetekeleza? Kama tungesimamia kuwa warudishe pesa tulizolipa kampuni hewa ya Richmond je zisingerudi? Kama Tungeungana pamoja kukataa ufisadi na udanganyifu wote uliotokea kwenye manunuzi ya vifaa vya jeshi kama Kokobe anavyofanya na waumini wake leo hii tuisngekuwa masikini. Tujifunze kwa Askofu Kakobe, There is alot to learn behind this man Bishop Kakobe and his followers
amesema kama Kakobe na si kwa niaba ya ukristo!Maaskofu kama hawa wanautia aibu ukristo!