hata mimi nakubaliana na wewe NyU kuwa huko Watanzania kufika ni mbali sanaNaamini huko hatuwezi kufika Mkuu!
hata mimi nakubaliana na wewe NyU kuwa huko Watanzania kufika ni mbali sanaNaamini huko hatuwezi kufika Mkuu!
The Following User Says Thank You to damn For This Useful Post: [ame="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=16662"]JamiiForums |The Home of Great Thinkers - View Profile: Bigirita@@AMEPARAM@@View Profile: Bigirita</title>@@AMEPARAM@@Bigirita[/ame] (Todaymkuu, ndiyo sababu nikasema niwe neutral ili nipate ukweli maana yanayosemwa yanawasha masikioni. Huwezi hata kujua expert ni nani, mwanasiasa ni nani, na mkuu wa dini ni nani. Wote wamekuwa wataalamu mpaka jamaa wa dini akaamua kudanganya kuhusu TV na radio ambayo hata application hana. Sorry if it offended anyone. Thanks
Kuwa makini na kauli zako msomi, zitakutia matataniHuyu ni Mshirikina hana lolote,
Hivi mnajua majority ya waumini wa huyu mtu ni watu gani?Kama Waumini wake Wataalamu ( Naamini wapo) wangekuwa na Ujasiri wa Kumwelewesha tangu Mwanzo may be angeelewa lakini naamini na wao walikuwa wanakesha Kulinda kitu ambacho hata wao hawakiamini!
Kwani uongo? Huyu si ndiye alimtabiria Mzee wa Kiraracha kuwa rais 2005 kuwaa atakuwa rais na akampigia debe akaangukia pua?!Kuwa makini na kauli zako msomi, zitakutia matatani
Kwani uongo? Huyu si ndiye alimtabiria Mzee wa Kiraracha kuwa rais 2005 kuwaa atakuwa rais na akampigia debe akaangukia pua?!
Hivi mnajua majority ya waumini wa huyu mtu ni watu gani?
house girls and house boys......sorry.
What is kutii by the way? Kutii without arguing?Baba Askofu Kakobe kasome Warumi 13 juu ya
Kutii Mamlaka. 13:1-2: imeandikwa
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Kila mtu na atii mamlaka inayotawala, kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, nazo mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu. [/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]2[/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Kwa hiyo yeye anayeasi dhidi ya mamlaka inayotawala anaasi dhidi ya kile kilichowekwa na Mungu, nao wale wafanyao hivyo watajiletea hukumu juu yao wenyewe. [/FONT]
[/FONT]
Haya sisi yetu masikio.
- Umeme wa |TANESCO HAUTAWAKA.
- Mrema atakuwa Raisi wa Tanzania.
Mwaka huu tutasikia mengi.
Pazia,![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
can you prove your statement? whats wrong with houseboys and house girls? Whatever your answer then choose your award there. But be very careful
Kauli zangu sio za kutishia mtu hata kidogo, hapo nilipohighlight haimaanishi kuwa natishia mtu. Na kama wewe ni muelewa sijakaa upande wa Kakobe au upande unaotaka wewe mimi nikae. Hapa ni suala la kujadili sio suala la kutishianaPazia,
Mbona unapenda kutishia watu kama vile wewe u-mshirikaina? Be careful of what?
Kakobe is a joke. Kama jehanamu kuna moto, itabidi yeye achomwe moto, na kurudiwa tena kuchomwa mara dufu.
Mtu wa Mungu huwezi kujitajirisha kutokana na kuwanyonya watu hohe hahe kutokana na imani zao nzito kwa Mungu ingawa uelewa au udadisi wao ni mdogo. Huu ni ulangai na sio uinjislisti.
Ni hapo tutakapopata vichaa na mataahira ndipo tutakapo ona faida na hasara ya kukaa chini huo umeme mkubwa.
We vipi!! hujui kuwa bora mkono uende kinywani?Nasikia jamaa alikuwa myuzisheni hapo longtime.
Kisha baada ya hapo akaenda Nigeria kusomea elimu dunia,
Hajawahi kusomea Theolojia.
Leo ndio amekuwa Askofu Mkuu wa Kanisa.