Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,759
😁😁😁
Baada ya kufa nyoka, anatokea nyoka mwingine anakwenda porini anachuma majani Fulani na kurudi nayo na kumnusisha nyoka yule, ghafula uhai unamrudia.Waza tena mzee
Huko kwenu chadema wahafidhina ni kina nani?
Kisha aliyekula anarudishwa nyuma kukagua aliyoyatenda, Maana miguu imeelekea nyuma.Ngumu kweli kweli.
Lkn inaonesha Kuna MTU haliwa Ili anyamaze watu waendelee Kupiga usingizi.
Baada ya kuliwa akaruhisiwa atoe kamkono tu KAWE kanapungiapungia