MANKA MUSA
JF-Expert Member
- Jul 9, 2014
- 922
- 1,093
Wanajamvi hiki kibonzo cha Masoud leo kimeongea kwa sauti kubwa na si kawaida yake!
PM kapotea sanaWanajamvi hiki kibonzo cha Masoud leo kimeongea kwa sauti kubwa na si kawaida yake!
View attachment 2658143
Pm anapigania ugali wake. Siasa sahivi zimehama chaka... Mbaya zaidi chaka lenyewe sio chaka lake 🤣Wanajamvi hiki kibonzo cha Masoud leo kimeongea kwa sauti kubwa na si kawaida yake!
View attachment 2658143
Kwenye hali kama hii kukaa kimya ni kuongea mengi..., Binafsi naona ni bora kukaa kimya kama ni vuguvugu kuliko kuunga mkono usichokitaka sababu tu ya kulinda mkate..., Moja inaweza ikawa ni uoga the latter ni uchawa (binafsi bora muoga kuliko chawa)Yani pm yupo yupo tu
Atasema nn, aendelee tu na majukumu mengine ya kitaifa hakuna namna!! Akipata option ya kusema atasema.Wanajamvi hiki kibonzo cha Masoud leo kimeongea kwa sauti kubwa na si kawaida yake!
View attachment 2658143
Anamalizia muda wakePM kapotea sana
Wamawia kwao Cabo DelgadoMmawia
Wamawia na Wamakonde Bandari Ndio Shamba lao Mikorosho ni Kivuli cha kupumzikia!
Kwa ukimya huu yawezekana haafiki, ila yaliyomkuta NDUGAI yatakuwa yanamtishaWanajamvi hiki kibonzo cha Masoud leo kimeongea kwa sauti kubwa na si kawaida yake!
View attachment 2658143
Hii ndio hatari inayokuja.Nchi inauzwa kwa waarabu na mafisadi yameweka pesa mfukoni
Hizi pesa zitakuwa zinatumika kuteua Rais fisadi wanaemtaka
I see ni kweli, kuna mshkaji tumeishi naye miaka kibao mtaani akatoweka, siku hizi anarusha mapicha tu Facebook yupo Cabo Delgado ndio Nyumbani na mama yake mzazi na ndugu kibao, halafu post zote ni kwa kireno tu.Wamawia kwao Cabo Delgado