Zero alikuwa kwenye gazeti la mtanzaniaKuna jamaa wakuitwa Zero kama sikosei alikuwa kwenye gazeti la mzalendo kipindi hiko lile gazeti lilikuwa kama shuka vile.
Mkuu kumuelewa Kingo ilikua ni lazima utumie akili za ziada.Kingo (yupo kimya kimya kama lile kwata la uhuru)
Hahahahaaa mkuu uleniwahi aisee uko sawa kabisasunche na kapeto
sijui nimepatia hayo majina
Tolu bhana aliwahipita nje ya choo cha passport size. Ndani mdada anaoga.Huyo Mr Tolu anaosha coaster hazunguki gari
Bogi Benda, wacha kabisa.