Katu usimkekete binti yako...

Zabron Hamis
Kwa kuwa ninapenda kuendelea kujifunza hata kwa wale nisiokubaliana nao, kwa nini unaamini ukeketaji unaendelea kufanyika? Binti asipokeketwa unadhani atapata madhara gani?
 
Wahusika wa ukeketaji na wao wapaswa wakeketwe pua, makalio mpk moyo ikiwezekana! 🤬🤬
 
Masikini kina Esther Matiko na Esther Bulaya
 
Hata mwanaume kutahiri huenda ni kosa! Hiyo ngozi Mungu kaweka kwa kusudi maalumu! Unaondoa ya nini? Piga tu usafi wa kutosha ubaki mzima kama ulivyoumbwa.

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Basi katoe kizazi ili ukatishe laana na upunguze suffering hapa Duniani, ...
Sidhani kama ushauri wako una maana. Laana anayo yule anayedhani ana busara wakati akwatusi anaowaona hawafai badala ya kuwaelewesha.
 
Kisimi ndio kila kitu na ndio maana wanakitoa hicho,
Au hujui sababu zipi zinawafanya wawakekete hao watoto?
Waambie hao kisimi ni kila kitu wanaume wanafikiria chomeka chomoa ni mapenzi kumbe wanawake Hawa mind hyo
 
Sasa tatizo huyu mzee ngariba ninaesaidiana nae ananipa hela nzuri naachaje Nile wapi na Hakuna ajira siku hizi
 
Duh sijui nitukaneee ? Ila kusema kweli kama ni hivyo ni ukatili over limit
 
Duh sijui nitukaneee ? Ila kusema kweli kama ni hivyo ni ukatili over limit
Usitune ndugu yangu. Ila elewa tu kuna watu wanapitia maumivu makali kisa wamezaliwa kwenye jamii fulani tu. Ikiwa hatutakemea hili, bado kuna watoto wa kike kila siku wanazaliwa kwenye jamii hizi na wako hatarini kufanyiwa ukatili huu. Hiyo ndio hali halisi.
 
Mkuu amini usiamini hili jambo lina mwisho wake. Watu sasahv wanaelimika na wanakuwa watu wazima wenye familia. Sidhani kama mtu mwenye utimamu anaweza kupinga hili kisha akamfanyia mwanae. Na kwa jamii za wakurya hakuna mtoto mdogo anafanyiwa tohara, mpaka akue. Sasa wakati anakua shangazi yuko dar au mwanza (sehemu ambazo hakuna tohara) akikulia huko hata hawazi mambo ya kukatwa.
 
Tena niko mbioni kukamilisha hesabu kuongeza wa nne.

Wanawake kando huwa tunawaonea aibu.
OA tu Mkuu...Kama Unaweza Kwanini uisoe..fanya liwezekanalo uoe haraka Sana...Wanawake wanataka stara
 
Kama Mimi juzi nimemuacha msichana wa kimasai yaani kila uki+++mba sauti utakayoisikia ni naumia mwanzo mwisho, ikipita kichwa tu usiingize tena, hana feeling kabisa goli moja tu anavaa mpaka siku nyingine, nimeshindwa.
 
Atiiiiii [emoji85]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…