kekuwetu
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 327
- 98
CHADEMA hatuwahitaji VICHWA MAJI kama wewe, kuungwa mkono na KUBWA JINGA kama wewe ni kuongeze idadi ya wajinga CDM kitu ambacho hakipewi nafasi kabisa CDM, si unaona wabunge wetu walivyo makini bungeni, pamoja na uchache wao wanawakilisha kwa sana, tofauti na hao wenu wajinga waliopo bungeni kulala na kupitisha siku. Tafadhali usitupende daima, hatutaki kupenda na WENDAWAZIMU.