Katu sitounga mkono CHADEMA

Sitegemei kabisa kukiunga Mkono Chadema.
a)Wabaguzi
b)Wabunifu wa matukio kuliko uhalisia
c)Zaidi ni wanaharakati kuliko wanasiasa
Thanks


....Kunguru Mweusi adui mkubwa wa maendeleo ya Watanganyika....Kwa taarifa yako CDM haihitaji kura ya Kunguru mweusi na bado watachukua nchi 2015....Kila la heri katika kusakafia ubwabwa na pilau za magamba.
 
Sitegemei kabisa kukiunga Mkono Chadema.
a)Wabaguzi
b)Wabunifu wa matukio kuliko uhalisia
c)Zaidi ni wanaharakati kuliko wanasiasa
Thanks

Hata Mwenyezi Mungu aliruhusu kuwepo na watu wasio na akili. Na hii inasaidia watu kuwa na standards against which comparisons on different issues are made. Hatutarajii watu wote tufikirie in the same way, ila inapofikia mwenzetu nyeusi unaiona nyekundu wenye akili hatutapata taabu ya kujua wewe ni wa kundi gani.
 
Sitegemei kabisa kukiunga Mkono Chadema.
a)Wabaguzi
b)Wabunifu wa matukio kuliko uhalisia
c)Zaidi ni wanaharakati kuliko wanasiasa
Thanks

kwani wewe ni nani mpaka utoe hilo tamko!
huo ni mtazamo wako wa kimagamba................uunge usiunge 2015 CDM inachukua nchi na lazima mkaombe hifadhi nje ya nchi..........wee
 
Mda mwingine huwa najiuliza kwa nini Mungu alileta watu wasiokuwa na akili duniani, alikuwa na malengo gani hasa kuwaleta kina Kunguru Mweusi
 
CHA kushangaza kuhusu washabiki wa CHADEMA wanaokuja jamii forum ni kwamba uzushi wowote unaoandikwa na magazeti kuhusu SHIBUDA hata bila ya kuthibitishwa wanauamini haraka, mbona magazeti yalivyoandika MBOWE kadanganya kuhusu kurudisha gari; bado anatumia gari alilopewa kama kiongozi wa upinzani, hili hamkuling'ang'ania. Mbona magazeti yalivyoandika wabunge wa CHADEMA wanafiki wanapinga posho wakati posho hizo zimehusishwa katika mahesabu ya mikopo waliochukuwa, hamkuamini haraka. Na ndio ubaguzi huu unaoonyesha ukanda. Ni ubaguzi huu ndio unaonyesha washabiki wa CHADEMA hapa jamii forum ni wachaga wanaokuja na majina ya uongo kujifanya wao ni watu wa kabila nyingine ili kuendeleza ukanda. Sio siri TANZANIA nzima kabila linaloendekeza ukabila sana ni wachaga. KILA MCHAGA NI CHADEMA HATA WALE WALIOPO CCM WANASAIDIA KUPELEKA SIRI CHADEMA, SASA KAMA SIO UKABILA NI NINI? Kama BAVICHA wangewaandama hao wengine kwa vitendo vyao na kauli zao kama walivyomuandama SHIBUDA basi kungekuwa na usawa. Nasari kauli yake ya kaskazini wajitenge ni ya hatari kwa CHADEMA kuliko kauli ya SHIBUDA ya kutangaza nia ya kugombea urais lakini hakuandamwa na mtu yoyote. LAKINI UKWELI NI KWAMBA SHIBUDA KAZUNGUMZIA MGOMBEA BINAFSI SIO KUGOMBEA KUPITIA CHADEMA, NA VIONGOZI WA CHADEMA HILI WANALIJUWA, ILA HAWATASEMA UKWELI KWASABABU WANAFURAHIA SHIBUDA ANAVYOCHAFULIWA . SHIBUDA haitaji kutoa siri kuthibitisha ubaguzi, tabia ya BAVICHA inaonyesha wazi.
 
mi mwenyewe siwaung mkono. Naunga mkono...maendeleo, ant-ufisadi, ushrkiano, umoja, maslah ya nch, ant-umimi, usawa kwa keki ya taifa,ant-rushwa na mengneyo...embu nambie nimuunge nan mkono hapoooo?
 
da mwanangu mi mdau lakini aisee umeenda mbali hzi changamoto tu huyu analalamika asubuhi hafu jioni aje kuchukua kadi ya uanachama hafu simwelewi
 
umeanza na pointi ya hoja ya nguvu lakini ulivyoendelea mbele zaidi ulitumia guvu ya hoja hivyo imegeuka kuwa mtazamo tena ya hayawani hvo hatuwezi kujadili mtazamo kwa kuwa kila kitu unadhani
 
Mimi mwenyewe siiamini CCM kabisa wala haitakaa itokee kwa siku zote atakazonijalia mwenyezi Mungu kuwepo chini ya jua hili. Jumlisha kura yangu na hao wengine waliokataa kukusapoti then chukua waliokuunga mkono ukimaliza utapata jibu kuwa ni chama gani kinapendwa nchi hii kwa sasa.
 
Mfa maji haachi kutapatapa ccm kwa sasa kwisha habari yake mtabakia kuwa wapinzani 2015 ikulu inachuliwa na chadema, labda kama ni ya ccm na si ya watanzania

revolution= zambia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom