MC44
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 2,170
- 3,269
Siku ya nne leo tangu vituo vya kuuzia mafuta ya vyombo vya usafiri kufungwa mafuta yamekuwa adimu kulingana na mahitaji.
Vituo hivyo vilifungwa kukiwa na tetesi za uchakachuaji wa vipimo.
Adha tunazopata.
Foleni kubwa kwa baadhi ya vinavyofanya kazi.
Kupangiwa kiasi cha mafuta
Pikipiki inapewa mafuta ya sh 5,000tu.
Gari ndogo linapewa mafuta ya sh 10,000tu.
Usiku hakuna kituo kinachohusika
Wauzaji wa rejareja hawauziwi tena ukienda na dumu lako hupati mafuta
Vituo hivyo vilifungwa kukiwa na tetesi za uchakachuaji wa vipimo.
Adha tunazopata.
Foleni kubwa kwa baadhi ya vinavyofanya kazi.
Kupangiwa kiasi cha mafuta
Pikipiki inapewa mafuta ya sh 5,000tu.
Gari ndogo linapewa mafuta ya sh 10,000tu.
Usiku hakuna kituo kinachohusika
Wauzaji wa rejareja hawauziwi tena ukienda na dumu lako hupati mafuta