Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

good analysis sema "umeandika kishabiki"
wakati unacompare catholic na wayahudi umeomgea tu upande mmoja tu wa kanisa katika phenomena ambazo kwayo wewe umesema zimefeli,hujaongea upande wa pili wa kanisa katika events ambazo ilifaulu. kuongelea kushindwa kwa kanisa na kuongea kufaulu kwa wayahudi mizani haijakaa sawa!

katika uchambuzi wako ulitakiwa uonyeshe sehemu zote matukio yapi katoliki ilishindwa na matukio yapi ilifaulu,vivyo hivyo na wayahudi 'matukio gani walifeli' na yapi walifaulu.

kuchambua upande mmoja wa ufaulu wa 'wayahudi' na kulinganisha na upandewa kufeli kwa katoliki, hii ni BIAS, na mizani haiwezi kuwa sawa.

Kwa hiyo mkuu kwenye mabandiko yangu yote hapa hujaona kitu ???
Halafu ulitegemea mimi nikuandikie kila kitu kwenye bandiko la maneno chini ya 500 ???
Hata Yesu hakuwafundisha mitume wake kila kitu na wala hakuna mwalimu duniani afanyaye hivyo.
Ukiona mtu hajaeleweka GOOGLE ipo mkuu......
 
mkuu intelijinsia imara haimaanishi kwamba ndo hushindwi na kitu chochote so kushindwa kwa baadhi ya operations za kanisa katoliki haimaanishi kwamba intelijinsia yao sio imara wako vizuri sana kwenye hyo sekta, umesema kwamba myahudi ndo anayeongoza sasa na yeye ilikuaje akachinjwa na hilter tena kama njiwa??? umemsifia myahudi kwenye mambo mengi ya intelijinsia Ila kuna sehem na yeye hua anachemka, mfano kashindwa kumdhibiti Hezbollah, kashindwa kuzuia iran asiwe na nuclear, alishindwa kuzuia influence ya hilter.
Na baina ya Wayahudi,waKatoliki pia wapo!
 
Kwa hiyo mkuu kwenye mabandiko yangu yote hapa hujaona kitu ???
Halafu ulitegemea mimi nikuandikie kila kitu kwenye bandiko la maneno chini ya 500 ???
Hata Yesu hakuwafundisha mitume wake kila kitu na wala hakuna mwalimu duniani afanyaye hivyo.
Ukiona mtu hajaeleweka GOOGLE ipo mkuu......
Lkn,unayo habari hata ndani ya MOSSAD Katoliki ipo?!
 
Hujanijibu kama Yesu ni Mungu na alikufa.....
Umechokaaaa...cha ajabu ni nini? YESU NI MUNGU KAMILI NA MWANADAMU KAMILI [emoji106] [emoji106] Yeye Atakalo huwa [emoji123] [emoji106] hata hujui kwamba unakufuru unaposema Atakalo MWENYEZI hawezi [emoji15] wewe umejiajiri kuwa Mshauri wake [emoji47] [emoji12]
Utume wa muhammad ni famba eeh[emoji47] [emoji15]
 
Umechokaaaa...cha ajabu ni nini? Yeye Atakalo huwa [emoji123] [emoji106] hata hujui kwamba unakufuru unaposema Atakalo MWENYEZI hawezi [emoji15] wewe umejiajiri kuwa Mshauri wake [emoji47] [emoji12]
Kwa hiyo Mungu akitaka kujiua inawezekana! Au Yesu alitaka wayahudi wamuue na ikawa? Unamaanisha hivyo?
 
Kwa hiyo Mungu akitaka kujiua inawezekana! Au Yesu alitaka wayahudi wamuue na ikawa? Unamaanisha hivyo?
Kataa hadharani kwamba [emoji117] ATAKALO MWENYEZI HAWEZI [emoji15] Weka dalili humu Leo kwamba muhammad katumwa na Allah [emoji15]
 
Kataa hadharani kwamba [emoji117] ATAKALO MWENYEZI HAWEZI [emoji15] Weka dalili humu Leo kwamba muhammad katumwa na Allah [emoji15]
Nimekubali kwamba Mungu AKITAKA AFE INAWEZEKANA! YAANI MUNGU AKIAMUA WAYAHUDI WAMUUE INAWEZEKANA!
 
Lkn,unayo habari hata ndani ya MOSSAD Katoliki ipo?!

Inawezekana Kabisa na wala sikubishii katika hili Wakatoliki wapo dunia nzima,
Lakini pia usisahau kwamba hata ndani ya Vatican Wayahudi bado wapo wengi tu.
Mfano Mkubwa Mzuri Adam Weishapt aliyeanzisha The Order of the Illuminati alikuwa ni Jesuit mwenye asili ya Kiyahudi.
 
Na baina ya Wayahudi,waKatoliki pia wapo!

Unasahau ukweli kwamba Wayahudi wako Milioni 14 tu na Wakatoliki mko Billioni 1.2,
Lakini wana cha ajabu ni kwamba wana nguvu kubwa utadhani wao ndiyo wako wengi dunia nzima.
Mbona hutaki kukubali huu ukweli mchungu ???
 
Nimekubali kwamba Mungu AKITAKA AFE INAWEZEKANA! YAANI MUNGU AKIAMUA WAYAHUDI WAMUUE INAWEZEKANA!
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106] haya sasa tuwekee dalili Muhammad katumwa na Allah [emoji4]
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106] haya sasa tuwekee dalili Muhammad katumwa na Allah [emoji4]
Sasa Muhammad atarumwa na Mumgu saa ngapi wakati Mungu KESHAUAWA NA WAYAHUDI?
 
Sasa Muhammad atarumwa na Mumgu saa ngapi wakati Mungu KESHAUAWA NA WAYAHUDI?
Unaamini nini [emoji47] Nimekwambia ATAKALO MUNGU HUWA NA HANA MSHAURI...Hilo umekubali... sasa unakuja na hoja [emoji117] Mungu alikufa Atamtumaje muhammad [emoji47] [emoji15] Kataa Leo kwamba uwezo huo MWENYEZI hana [emoji15] Mimi Ninaamini Uwezo na Maajabu ya MWENYEZI kwamba Anaweza Akiwa ktk Hali zoote ili Tuamini yeye ni Muweza [emoji123] [emoji106] jee wewe Unaamini kihivyo? Sema Mimi siamini MWENYEZI Uweza huo Hana...Tamka mukulu Malyenge [emoji4]
 
Unaamini nini [emoji47] Nimekwambia ATAKALO MUNGU HUWA NA HANA MSHAURI...Hilo umekubali... sasa unakuja na hoja [emoji117] Mungu alikufa Atamtumaje muhammad [emoji47] [emoji15] Kataa Leo kwamba uwezo huo MWENYEZI hana [emoji15] Mimi Ninaamini Uwezo na Maajabu ya MWENYEZI kwamba Anaweza Akiwa ktk Hali zoote ili Tuamini yeye ni Muweza [emoji123] [emoji106] jee wewe Unaamini kihivyo? Sema Mimi siamini MWENYEZI Uweza huo Hana...Tamka mukulu Malyenge [emoji4]
Unaamini Mungu gani tena wakati Mungu wako alishauawa na Wayahudi?
 
Unaamini Uwezo wa Mungu wangu hakuna kinacho Mshinda [emoji123] [emoji106] [emoji4] wewe mungu wako ana Uwezo huo?
Huyu Mungu wako wa kufa na kufufuka? Hebu niambie siku alipokufa roho yake ilienda mbinguni au ilibakia duniani inazunguuka hewani?
 
Back
Top Bottom