johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.
Ahsanteni sana. 😂
Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.
Ahsanteni sana. 😂