Katoliki na KKKT yawakataa Wakurugenzi wa Halmashauri kusimamia Uchaguzi, sasa inasubiriwa BAKWATA

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,137
Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa.

Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi.

Hata Mbuyu ulianza kama mchicha.

Ahsanteni sana. 😂
 
Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa

Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi

Hata Mbuyu ulianza kama mchicha

Ahsanteni sana 😂
wabarikiwa wa tec na bakwata wana tofauti gani?
 
Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa

Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi

Hata Mbuyu ulianza kama mchicha

Ahsanteni sana 😂
Hutajawasikia katu.
 
Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa

Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi

Hata Mbuyu ulianza kama mchicha

Ahsanteni sana 😂
Ni jambo jema
 
Mambo yakiendelea hivi na iwapo BAKWATA watapigilia msumari wa mwisho basi miswada ya sheria za Uchaguzi itabidi ikafanyiwe marekebisho Makubwa

Hadi sasa Kanisa Moja Takatifu la Mitume na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli yameshagoma DED kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi

Hata Mbuyu ulianza kama mchicha

Ahsanteni sana 😂
Wananchi woote na taasisi zote na wadau wa Demokrasia wamewakataa.....kwanini Dr Samia anangangania?
 
Wananchi woote na taasisi zote na wadau wa Demokrasia wamewakataa.....kwanini Dr Samia anangangania?
Hao TEC ni kikundi cha watu wachache hawafiki hamsini, na hawawezi kuwasemea waumini wao, na hawakutumwa wawasemee. Wamekurupuka na makarasi yao tu. Kama waumini waliwatuma, watuonyeshe saini zao kuunga mkono hoja hiyo.

Waumini wao wana uhuru wa maoni, na wamekubali wakurugenzi wasimamie uchaguzi.
 
Back
Top Bottom