Katoliki imesimamia nchi. Wapewe maua yao

Katoliki imesimamia nchi. Wapewe maua yao

UKWELI Mchungu: Mali za Tanzania nzima (namba 1-Serikali) na (namba 2-Kanisa la Katoliki) . Kesho wakisema wanasimamisha mashule yao, hospitali na vitegauchumi vyao vyote mpaka mabadiliko ya sheria yafanyike serikali kesho kutwa inafanya mabadiliko tena bila mgomo.

Sababu kubwa sio tu kwamba wakatoliki ni wengi lakini kwa Tanzania hakuna kampuni yeyote ya binafsi au shirika lolote lenye uwekezaji mkubwa nchini na kwa miaka mingi zaidi ya kanisa la katoliki. Kanisa la katoliki liko nyuma ya serikali pekee.

Lakini thamani ya manyumba, viwanja, mashule, mahospitali, mahosteli na vyuo ni zaidi ya kampuni yeyote au shirika lolote Tanzania. Ukweli ni mchungu lakini tukitaka mabadiliko ya haraka ni hawa jamaa kutishia mgomo.

Ukweli ni kwamba maongezi yamesha anza kuhakikisha wanasimama na haki tena kwa support kubwa na makanisa mengine Duniani kama walivyofanya Congo
 
Kwanza pole san mfia dini ingawa sipo kweny mrengo wa kidini!! Ishu ya kupata elimu msisingizie enz za ukoloni, hata sasa zipo familia uswazi elimu ya kwanza wanaipambania ni elimu akhera!! Inaonekana hujui au hujafanya tafiti au umeondoa ubongo wako kwa muda! Family nying za kiislam elimu dunia ni second, changamoto kubwa ni mentality ya dini ndio imewafanya waamin zaid kweny elimu akhera!!!
Kwenye uislam hakuna elimu dunia wala elimu akhera, wagalatia wasio na akili ndio wanatutofautishia elimu.
 
UKWELI Mchungu: Mali za Tanzania nzima (namba 1-Serikali) na (namba 2-Kanisa la Katoliki) . Kesho wakisema wanasimamisha mashule yao, hospitali na vitegauchumi vyao vyote mpaka mabadiliko ya sheria yafanyike serikali kesho kutwa inafanya mabadiliko tena bila mgomo.

Sababu kubwa sio tu kwamba wakatoliki ni wengi lakini kwa Tanzania hakuna kampuni yeyote ya binafsi au shirika lolote lenye uwekezaji mkubwa nchini na kwa miaka mingi zaidi ya kanisa la katoliki. Kanisa la katoliki liko nyuma ya serikali pekee.

Lakini thamani ya manyumba, viwanja, mashule, mahospitali, mahosteli na vyuo ni zaidi ya kampuni yeyote au shirika lolote Tanzania. Ukweli ni mchungu lakini tukitaka mabadiliko ya haraka ni hawa jamaa kutishia mgomo.

Ukweli ni kwamba maongezi yamesha anza kuhakikisha wanasimama na haki tena kwa support kubwa na makanisa mengine Duniani kama walivyofanya Congo
Endeleeni kujidanganya hivyohivyo.
 
TAA ndo chama kwnz cha harakati za uhuru nchi hii chama ambacho kilikua chini ya viongozi wake wakiwa ni waislam na baraza lake likiwa na mashekhe na wazee wa kiislam...
Wkt huo nyie full kujiachia na kujipendekeza kwa wakoloni na kutupiga vita hata tusipate fursa za kusoma na ikipatikana lazima ubatizwe ili usome...
Shida ilianza tulipopata uhuru kila nyanja mwl Nyerere alwaweka kutokana na mlipata fursa za kusoma lkn matokeo yake mkakengeuka mkaanza ufisadi na kupoteza uzalendo wa nchi na kumuona bwege mgalatia mwenzenu sasa iweje leo mnajiona mnaweza kila kitu mpk kujaza mitungi ya gas kwa mdomo pia tukae tuamini kisa eti umesoma una degree na masters?..mashekhe walianzisha chama cha kisiasa cha kwnz chini bila ya kuwa na masters wala kuleta egos zozote
Mlikatazwa kusoma au ni uvivu tu wakushinda mmelala vibaraza I kama wamama wajawazito, kazi kunywa kahawa tu badala yakupeleka watoto shule!
 
Kwenye uislam hakuna elimu dunia wala elimu akhera, wagalatia wasio na akili ndio wanatutofautishia elimu.
Acha basi kujipa upopoma!! Masheikh, maustaadh walimu wa dini ya kislam hua wanasema waz kuhus elimu akhera na elimu dunia!! Nashangaa unajivika uzuzu kwamba hujui!!
 
Mlikatazwa kusoma au ni uvivu tu wakushinda mmelala vibaraza I kama wamama wajawazito, kazi kunywa kahawa tu badala yakupeleka watoto shule!
Mgalatia umekuja speed sanaa au umesha practice waraka wa Papa Francis nini?..wkt wa vugu vugu wa kuanzisha chama cha kisiasa tanganyika mwaka 1929 hao mashekhe walikua hawana hata masters wala PhD...msukumo huo ulitokana na unyanyasaji na ukandamizaji upendeleo mlioupata kutoka kwa wakoloni mnachokataa ni kipi na kipo wazi kabisa
Wakoloni wakafurahia divided and rule muislam hasomi bila ya kubatizwa au ruhusa maalum kama ni mtoto wa chifu.waislam hawakukaa barazani awamu ya pili chama cha TAA kiliundwa mwaka 1951 hata kambalage hajulikani huku nyie wagalatia mkiwa wanufaika wakubwa wa elimu kutokana na usnitch wenu kwa mkoloni...mpk 1955 chama rasmi cha TANU kilipoundwa kidogo wagalatia sasa mkaanza kunga'ta na kupuliza...SASA BARAZA LIPI WAISLAMU WALIKAA?..au la Roma?
 
Acha basi kujipa upopoma!! Masheikh, maustaadh walimu wa dini ya kislam hua wanasema waz kuhus elimu akhera na elimu dunia!! Nashangaa unajivika uzuzu kwamba hujui!!
Fanya practice waraka wa Papa Francis..tuachieni sie madrasa
 
Acha basi kujipa upopoma!! Masheikh, maustaadh walimu wa dini ya kislam hua wanasema waz kuhus elimu akhera na elimu dunia!! Nashangaa unajivika uzuzu kwamba hujui!!
Nipe mmoja aliyesema mkuu
 
Izo pesa si mnapewa na serikali since 1992? Kma ni uongo sema uongo
 
Acha basi kujipa upopoma!! Masheikh, maustaadh walimu wa dini ya kislam hua wanasema waz kuhus elimu akhera na elimu dunia!! Nashangaa unajivika uzuzu kwamba hujui!!
Fanyia practice waraka wa Papa Francis au either ukajaziwe mtungi gas ndo utajua sasa maana ya elimu dunia na elimu akhera..
Yanii weeh na degree changanya na masters zako unashndw na mtu aliyefuzu madrasa kwmb mtungi wa gas hauwezi kujazwa kwa mdomo lkn weeh na elimu yako dunia vyuo vyote umesoma lkn unapiga makofi na kuamini huu sasa ni UZUZU wa aina gani?..daily dini haikosi matamko kila kona ya dunia mnaleta zama ushuhuda mpk Papa Francis adai kaongea na mungu awabariki mashoga mnatuletea sodoma hadharani mnakula nini lkn?
 
Viongozi wa kanisa katoliki ni watu wenye shule kichwani, shule za kweli si za kipewa
 
Fanyia practice waraka wa Papa Francis au either ukajaziwe mtungi gas ndo utajua sasa maana ya elimu dunia na elimu akhera..
Yanii weeh na degree changanya na masters zako unashndw na mtu aliyefuzu madrasa kwmb mtungi wa gas hauwezi kujazwa kwa mdomo lkn weeh na elimu yako dunia vyuo vyote umesoma lkn unapiga makofi na kuamini huu sasa ni UZUZU wa aina gani?..daily dini haikosi matamko kila kona ya dunia mnaleta zama ushuhuda mpk Papa Francis adai kaongea na mungu awabariki mashoga mnatuletea sodoma hadharani mnakula nini lkn?
Nilichogundua hapa kumbe upo kidini zaid na chuki na imani ya kikristo, kweny biblia lipo jina la YESU linaweza yote wala hakuna uponyaji wala ondoleo la dhambi bila jina la YESU!! Sasa kama wewe huamin hayo ni kwann unaumia? Baki na kile unaamini mzee!!!
 
Acha basi kujipa upopoma!! Masheikh, maustaadh walimu wa dini ya kislam hua wanasema waz kuhus elimu akhera na elimu dunia!! Nashangaa unajivika uzuzu kwamba hujui!!
Hakuna elimu hizo ; kusema elimu ya akhera na ya dunia.
.Hayo ni maneno yenu yenu ya kutunga ,hakuna kiswahili cha neno akhera.
 
Nipe mmoja aliyesema mkuu
Hivi kwann mnakua na asili ya ubishi? Kwa akili ya kawaida tu nikuulize... Kusoma dini ni elimu ya mamb ya ulimwengu au mamb ya akhera? Kusoma kuanzia kayumba, sec mpaka vyuoni ni elimu ya akhera au elimu ya ulimwenguni?
 
Hakuna elimu hizo ; kusema elimu ya akhera na ya dunia.
.Hayo ni maneno yenu yenu ya kutunga ,hakuna kiswahili cha neno akhera.
Kuna swali nimewauliza wafia dini wenzako nenda kaangalie mje na majibu!!
 
Back
Top Bottom