mswaki mbuyu
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 994
- 576
Hawa mashekhe huwezi kuwakwepa hata mmoja katika historia ya uhuru wa tanganyika hawakua na masters wala PHD..huku wakiwa wamenyimwa kwa makusudi fursa za kusoma mpk ubatizweKumbe hata haujui walioanzisha TAA! Na kilitokea wapi!
Amandla...
Wagalatia nyie ndo wanufaika wa kubwa wa matunda na keki ya taifa hili lkn kwnz kabla ya uhuru mlikua wanafiki na kujipendekeza kwa ukoloni baada uhuru wengi mkawa madarakani mathalani mzee Wasira alipata uteuzi angali kijana mdogo tu wa miaka 23...bado tuu mpk sahv mnabunya sie tumebaki na madrasa zetu mnatuona wajinga mnataka tuamini kwmb gas inajazwa na mdomo na usomi wenu wote lkn hamridhiki mnataka mpk sie wa madrasa pia tuseme ndio