Katoliki imesimamia nchi. Wapewe maua yao

Katoliki imesimamia nchi. Wapewe maua yao

Ila wkt wa kutafuta uhuru lugha haikua hii wkt huo nyie wagalatia ndo wanufaika wakubwa..Nyerere alipoingia madarakani kabidhiwa nchi nyie ndo mlikua wanufaika kwa kuwa mlipata fursa ya kusoma na kusomeshwa na mkoloni kwa misingi ya ubaguzi wa dini
Mkaanza ufisadi na kumchezea shere mgalatia mwenzenu Nyerere...nchi ikakosa kusonga mbele sasa ndo mnajifanya nyie ndo mnajua hatma ya hii nchi kwa kuwa?
Kanisa Katoliki Tabora lilimsaidia Nyerere kwa kumpa ukumbi wa mikutano pale TMP.
 
Katoliki imesimamia nchi wapewe maua yao. Hakuna uchawa, kudanganya wala kuunga mkono mambo ya kijinga. wakatoliki wapewe maua yao
Maaskofu na Mapadre wasishangae wakijikuta wenyewe. Hao hao wajumbe wa Kamati ya Walei, ndo tumewaona Mlimani City wakihamasisha michango ya Ccm
 
Kanisa Katoliki Tabora lilimsaidia Nyerere kwa kumpa ukumbi wa mikutano pale TMP.
Acha upotoshaji mkutano wa Tabora haukitishwa na katoliki wala hawakuthubutu..nyie wagalatia ndo mlikua wanufaika wakubwa wa ukoloni kulikoni vijana wa kiislam kipindi hicho Nyerere alipoingia madarakani akawa hana option nyngn wasomi wachache wa kiislam akawateua kila idara serikalini mkazikamata...Nchi ikawa mikononi mwenu mkaanza kumkengeuka kila kona mkafanya ufisadi na kupora ardhi..nchi mkaipeleka mrama sasa ndo mnajifanya kupaza sauti kuhusu nini na tokea mwanzo mlikua mafisadi haswa
 
Acha upotoshaji mkutano wa Tabora haukitishwa na katoliki wala hawakuthubutu..nyie wagalatia ndo mlikua wanufaika wakubwa wa ukoloni kulikoni vijana wa kiislam kipindi hicho Nyerere alipoingia madarakani akawa hana option nyngn wasomi wachache wa kiislam akawateua kila idara serikalini mkazikamata...Nchi ikawa mikononi mwenu mkaanza kumkengeuka kila kona mkafanya ufisadi na kupora ardhi..nchi mkaipeleka mrama sasa ndo mnajifanya kupaza sauti kuhusu nini na tokea mwanzo mlikua mafisadi haswa
Kwani dini ni qualification ya kuwa kiongozi serikalini???
Kudai uwiano wa viongozi serikalini kwa dini ni ujinga na ujima, hasa kwa karne hii, na mbaya zaidi wanaopambania uwiano wa dini si waumini watiifu katika dini zao,

ila ni kutafuta legitimacy ya kupata cheo kwa manufaa binafsi au ya kikundi
 
Ni kweli kabisaa gentleman,
wapewe maua yao kwasabb makasisi katoliki kwa kulawiti vijana wadogo, kuvunja ndoa za waamini wake, kupiga mimba visichana vya watu na kutelekeza watoto mitaani, kudhulumu maisha ya maalbino hiyo ndio sura ya kanisa na kazi ya maana sana wanafanya.

wakatoliki wapewe maua yao kwasabb hawapendi na hawataki kuskia kabisaa habari ya kiongozi wa nchi asie mkatoliki, ni muhimu sana wakapewa maua yao kwa ubaguzi wa kidini na chuki dhidi ya viongozi wasio wakatoliki 🐒
Lini unakufa ukanywe mapipa yako ya pombe? 😹
 
Ila wkt wa kutafuta uhuru lugha haikua hii wkt huo nyie wagalatia ndo wanufaika wakubwa..Nyerere alipoingia madarakani kabidhiwa nchi nyie ndo mlikua wanufaika kwa kuwa mlipata fursa ya kusoma na kusomeshwa na mkoloni kwa misingi ya ubaguzi wa dini
Mkaanza ufisadi na kumchezea shere mgalatia mwenzenu Nyerere...nchi ikakosa kusonga mbele sasa ndo mnajifanya nyie ndo mnajua hatma ya hii nchi kwa kuwa?
Wafisadi wakubwa ni WAISLAM.
 
Katoliki imesimamia nchi wapewe maua yao. Hakuna uchawa, kudanganya wala kuunga mkono mambo ya kijinga. wakatoliki wapewe maua yao
Hiyo ni kwasababu ya elimu, tupeleke watoto shule waelimike ujinga ukipungua ktk nchi hii ndio utakuwa mwisho wa CCM sasa hivi wajinga ni wengi katika nchi
 
ni muhimu sana gentleman kanisa katoliki wakapewa tuzo ya ufiraji kwa niaba ya makasisi wote gentleman, halafu tunzo ya ubaguzi na chuki za kidini dhidi ya wasio wakatoliki wapewe TEC.

hii itapndeza zaidi naona 🐒

Sikutarajia hata siku Moja unge kuja na hoja za hovyo namna hii, harafu ndo ulisema umeenda kugombea ubunge, wewe utakuwa mbunge wa namna gani unakashifu dini ya watu wengine. Ambao wanaweza kuwa wapiga kura wako.
Mbona mtoa mada hajaongelea dini ya MTU mwingine yeye kawaongelea Wakatholiki tu. We kimekuuma nini mkuu.
 
Sikutarajia hata siku Moja unge kuja na hoja za hovyo namna hii, harafu ndo ulisema umeenda kugombea ubunge, wewe utakuwa mbunge wa namna gani unakashifu dini ya watu wengine. Ambao wanaweza kuwa wapiga kura wako.
Mbona mtoa mada hajaongelea dini ya MTU mwingine yeye kawaongelea Wakatholiki tu. We kimekuuma nini mkuu.
siwezi kua mbunge wa wakatoliki waabaguzi na makasisi walawiti gentleman.

ni mbunge wa wananchi na waTanzania wote.
waambie na wenzako 🐒
 
Katoliki imesimamia nchi wapewe maua yao. Hakuna uchawa, kudanganya wala kuunga mkono mambo ya kijinga. wakatoliki wapewe maua yao
Aisee ile imani iliyokuwa imetoweka imerudi na hii ndio maana halisi ya Kanisa
 
Katoliki imesimamia nchi wapewe maua yao. Hakuna uchawa, kudanganya wala kuunga mkono mambo ya kijinga. wakatoliki wapewe maua yao
Kipindi rais muislam,2000 walitoa waraka wa kumuunga mkono mkapa
 
Ila PhD nyingi ni za "spirituality". Nje ya kanisa hazina kazi, labda uingie kwenye siasa kama Silaa.
 
Acha upotoshaji mkutano wa Tabora haukitishwa na katoliki wala hawakuthubutu..nyie wagalatia ndo mlikua wanufaika wakubwa wa ukoloni kulikoni vijana wa kiislam kipindi hicho Nyerere alipoingia madarakani akawa hana option nyngn wasomi wachache wa kiislam akawateua kila idara serikalini mkazikamata...Nchi ikawa mikononi mwenu mkaanza kumkengeuka kila kona mkafanya ufisadi na kupora ardhi..nchi mkaipeleka mrama sasa ndo mnajifanya kupaza sauti kuhusu nini na tokea mwanzo mlikua mafisadi haswa
Sasa wewe uliyeishia madrasa unabishana na mimi niliyekuwepo! Hata hivyo wapi nimeandika mkutano ulitayarishwa na kanisa Katoliki!
 
Ila kama vile TCRA wanazibinya kiaina Radio za RC baada ya kutangaza yale maombi, Kuna Radio Moja inamilikiwa na RC pale Arusha , sijaisikia hewani nafikiri Tokea Jmosi

Naona kuna namna ya maelekezo toka juu
 
Ila wkt wa kutafuta uhuru lugha haikua hii wkt huo nyie wagalatia ndo wanufaika wakubwa..Nyerere alipoingia madarakani kabidhiwa nchi nyie ndo mlikua wanufaika kwa kuwa mlipata fursa ya kusoma na kusomeshwa na mkoloni kwa misingi ya ubaguzi wa dini
Mkaanza ufisadi na kumchezea shere mgalatia mwenzenu Nyerere...nchi ikakosa kusonga mbele sasa ndo mnajifanya nyie ndo mnajua hatma ya hii nchi kwa kuwa?
Si unaona jinsi Somalia ilivyopiga hatua Kiuchumi
 
Si unaona jinsi Somalia ilivyopiga hatua Kiuchumi
Afrca ya kati..Congo mbn husemi acha udwanzi wewe kujitia upofu kuna kiongozi yyt Africa atamnyoeshea mwenzie kidole yy kakamilika ukimtoa Mandela na rais wa zamani wa Botswana jina limenitoka..
Hilo kanisa katoliki linashndwa nini kutuliza hali ya kisiasa Congo ambalo ni taifa la kigalatia acha kuchanganya miujiza yenu na hali ya kisiasa za nchi na nchi na ambazo Africa tumeshndwa kustabilize hali zetu za kimaisha tokea watuache wakoloni kila kona vita kupinduana umaskini maradhi uroho wa madaraka sasa unataka kuwasingizia nini somalia ?yanii kwa maana hiyo kwngne ni raha raha tu si ndio?..hebu tumbukia Mozambique au Zambia shuka kidogo hapo Malawi uone hali ikoje kwa wagalatia wenzio
 
Back
Top Bottom