Katoliki imesimamia nchi. Wapewe maua yao

Katoliki imesimamia nchi. Wapewe maua yao

PhD ni moja ya sifa za kuupata uaskofu RC mbali na umri wa kuzaliwa, umri katika utumishi (updre) na sifa nyingine za ziada.
Sio kweli. Hilo lipo KKKT lazima uwe na PhD ndio uupate uaskofu. Kwa katoliki wao wanaangalia IQ, busara, uwezo wa kuongoza na uthubutu wa imaamuzi ndio upendekezwe kwa papa kupata uaskofu. Katoliki hususani seminarini wanalelewa kukataa kabisa uchawa kwa maana ya kujipendekeza kwa mapadre, yaani utatimuliwa shule asee.
 
Hivi kwann mnakua na asili ya ubishi? Kwa akili ya kawaida tu nikuulize... Kusoma dini ni elimu ya mamb ya ulimwengu au mamb ya akhera? Kusoma kuanzia kayumba, sec mpaka vyuoni ni elimu ya akhera au elimu ya ulimwenguni?
Inshort kusoma na kujifunza both books ni jambo jema mathalani kusoma vya dini vinakufanya uwe khofu ya mwenyezimungu na unyenyekevu si kwa mwenyezimungu tu bali hata viumbe vyote alivyo viumba mwenyezimungu
Elimu ya ulimwengu imegawanyika sehemu mbili kwa njia ya kheri na njia shari mfano elimu dunia imezalisha silaha pombe sumu na kila jambo baya utalipata kupitia elimu dunia kitu ambacho ni tofauti na huwezi kupata kwny vitabu vya dini/lakini elimu dunia imetuletea uvumbuzi mwingi sana wa kisayansi matibabu,usafiri,hasa hasa sayansi ndo imekua muhimili muhimu duniani...
Hitimisho happ utaona elimu dunia ina mambo mawili jema na baya lkn elimu dunia imebaki na njia moja tuu jema kwhy binadamu chaguo ni lako upate elimu dunia bila kupata utambuzi wa kiroho ni juu yako au usome vyote kwa pamoja au lah..!
Muhimu utambuzi wa kiroho ni bora zaidi ulimwenguni.
 
Sio kweli. Hilo lipo KKKT lazima uwe na PhD ndio uupate uaskofu. Kwa katoliki wao wanaangalia IQ, busara, uwezo wa kuongoza na uthubutu wa imaamuzi ndio upendekezwe kwa papa kupata uaskofu. Katoliki hususani seminarini wanalelewa kukataa kabisa uchawa kwa maana ya kujipendekeza kwa mapadre, yaani utatimuliwa shule asee.
Lkn mlipokua machawa na vibaraka wa wakoloni hamkulisema hili na ikapelekea mpk waislam kuanzisha chama cha kisiasa tanganyika mwaka 1929...cha TAA ambacho kikawa Tanu baadaye CCM...
Hivo basi CCM wanatumia mbinu ile ile ya mkoloni divided and rule washajua hatuwezi kuwa shajara kwa vyvyt vile fimbo ni ile ile wanayotumia kuhubiri tunadumisha amani na mshikamano milele watakaa madarakani CCM...mana'ke ukiwa mpinzani wanaanza kukuchapa kwnz na Propaganda za udini cha msingi utatazamwa udini gani wa kutoka kanda gani kitakacho fuata ni makelele tuu full stop
 
Lkn mlipokua machawa na vibaraka wa wakoloni hamkulisema hili na ikapelekea mpk waislam kuanzisha chama cha kisiasa tanganyika mwaka 1929...cha TAA ambacho kikawa Tanu baadaye CCM...
Hivo basi CCM wanatumia mbinu ile ile ya mkoloni divided and rule washajua hatuwezi kuwa shajara kwa vyvyt vile fimbo ni ile ile wanayotumia kuhubiri Imani tunadumisha milele watakaa madarakani CCM...mana'ke ukiwa mpinzani wanaanza kukuchapa kwnz na Propaganda za udini cha msingi utatazamwa udini gani wa kanda gani kitako fuata ni makelele tuu full stop
WHAT ARE YOU TALKING ABOUT IN RELATION TO MY PREVIOUS POST?
 
Mgalatia umekuja speed sanaa au umesha practice waraka wa Papa Francis nini?..wkt wa vugu vugu wa kuanzisha chama cha kisiasa tanganyika mwaka 1929 hao mashekhe walikua hawana hata masters wala PhD...msukumo huo ulitokana na unyanyasaji na ukandamizaji upendeleo mlioupata kutoka kwa wakoloni mnachokataa ni kipi na kipo wazi kabisa
Wakoloni wakafurahia divided and rule muislam hasomi bila ya kubatizwa au ruhusa maalum kama ni mtoto wa chifu.waislam hawakukaa barazani awamu ya pili chama cha TAA kiliundwa mwaka 1951 hata kambalage hajulikani huku nyie wagalatia mkiwa wanufaika wakubwa wa elimu kutokana na usnitch wenu kwa mkoloni...mpk 1955 chama rasmi cha TANU kilipoundwa kidogo wagalatia sasa mkaanza kunga'ta na kupuliza...SASA BARAZA LIPI WAISLAMU WALIKAA?..au la Roma?
Sikia wasomi wengi walio.na umri mkubwa kwasasa wazazi wao hawakuwa na elimu ya darasani kabisa lakini hiyo haikuwafanya kushindwa kuwapeleka watoto shule, nyie hao masheih wakaishia kufuga ndevu 😂😂
 
PhD ni moja ya sifa za kuupata uaskofu RC mbali na umri wa kuzaliwa, umri katika utumishi (updre) na sifa nyingine za ziada.
Wamejengq taasisi na siyo individuals.

Sisi tuliiga mfumo wao wa governance ila individuals wameupoka...wenye mamlaka wanataka wawe juu ya Sheria Kisha wale wasivyovipanda.
 
Sikia wasomi wengi walio.na umri mkubwa kwasasa wazazi wao hawakuwa na elimu ya darasani kabisa lakini hiyo haikuwafanya kushindwa kuwapeleka watoto shule, nyie hao masheih wakaishia kufuga ndevu 😂😂
Wewe kusoma kwako kote unajua ndevu zinafungwa?..ndevu zinawekwa weeh mgalatia fanya uwezavyo kila njia uanze kupractice waraka wa Papa Francis deeply utaona matokeo yake mazuri
 
Usisahau kuwa ndio wenye kashfa za ulawiti kwa watoto

Hawa unaowasifia akiingia mkatolik huwa wako kimya hata watiwe kidole jichoni hawasemi chochote ila shida aingie asiye mkatolik ndio hujifanya wazalendo hakuna mfano wao
 
Katoliki imesimamia nchi wapewe maua yao. Hakuna uchawa, kudanganya wala kuunga mkono mambo ya kijinga. wakatoliki wapewe maua yao




UKWELI Mchungu: Mali za Tanzania nzima (namba 1-Serikali) na (namba 2-Kanisa la Katoliki) . Kesho wakisema wanasimamisha mashule yao, hospitali na vitegauchumi vyao vyote mpaka mabadiliko ya sheria yafanyike serikali kesho kutwa inafanya mabadiliko tena bila mgomo.

Sababu kubwa sio tu kwamba wakatoliki ni wengi lakini kwa Tanzania hakuna kampuni yeyote ya binafsi au shirika lolote lenye uwekezaji mkubwa nchini na kwa miaka mingi zaidi ya kanisa la katoliki. Kanisa la katoliki liko nyuma ya serikali pekee.

Lakini thamani ya manyumba, viwanja, mashule, mahospitali, mahosteli na vyuo ni zaidi ya kampuni yeyote au shirika lolote Tanzania. Ukweli ni mchungu lakini tukitaka mabadiliko ya haraka ni hawa jamaa kutishia mgomo.

Ukweli ni kwamba maongezi yamesha anza kuhakikisha wanasimama na haki tena kwa support kubwa na makanisa mengine Duniani kama walivyofanya Congo
Unaota na hao wala kitimoto wenzio.
 
Back
Top Bottom