Hapa kuna vitu viwili vinakinzana.
Kuna watu wenye standards za Tanzania, ambapo waandishi wanaweza kusema "hatuwezi kumuandika Mkuchika by any means" halafu kesho yake wakamuandika.
Halafu kuna watu wanaotaka umakini na kila mtu kuheshimu maneno yake na ahadi zake.
Ukichagua lile la kwanza halafu kesho ukaanza kupiga kelele ufisadi unachekesha, ufisadi unaanza kidogo hivi hivi, mara umeona mikamera ukataka kuleta dramatics bila kupima maneno, ukatoa mitamko iliyokuzidi kimo ambayo kesho huwezi kuiheshimu.Kesho utapewa ofisi kwa sababu ya maneno yako ya kupinga rushwa "by any means" halafu utayasahau kama ulivyosahau kwamba "by any means" hatutam cover Mkuchika.
Halafu kuna watu humu wanaleta mambo ya "Us versus them", kwamba if you are against Mkuchika you must be with the journalist, and if you criticize the journalist you must be with Mkuchika, sorta like George Bush in his doctrine of "If you are not with us you are with the terrorist" .Yaani upumbavu huu hauamini mtu assertive anaweza kukaa na kuona makosa pande zote mbili. Kwamba kwa kuwa ni waandishi wa habari na wanaandika kuhusu ufisadi wasisemwe ni ujuha wa hali ya juu, kama wanachemka wanasemwa vizuri tu.
Yaani upumbavu huu hauamini mtu assertive anaweza kukaa na kuona makosa pande zote mbili.
Kwamba kwa kuwa ni waandishi wa habari na wanaandika kuhusu ufisadi wasisemwe ni ujuha wa hali ya juu, kama wanachemka wanasemwa vizuri tu.
Maxence Melo :JF Founder Join Date: Fri Oct 2006
Location: Dar es Salaam
Angalizo muhimu...
--------------------------------------------------------------------------------
Wakuu heshima zenu,
Kumradhi kwamba sijakuwepo hapa muda mrefu, nilikuwa na mzunguko mrefu nchini na nawashukuru wote niliokutana nao Morogoro, Dar, Tanga, Shinyanga, Tabora, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro, Iringa, Songea, Mbeya, Kagera, Musoma, Zanzibar, Singida, Kibaha, Dodoma na Karatu kwa namna mlivyonipokea. Nimejifunza mengi kwa jinsi tulivyoongea na nasikitika pia kwa muda mchache nilokuwa nao kupata kubadilishana nanyi mawazo. Yote tuliyoongelea yanafanyiwa kazi na matunda yake yataonekana soon. Nawashukuru wote walionipa ushirikiano wa namna moja ama nyingine wakati wa maandalizi hadi kufanikisha harusi yangu, ahsanteni sana.
Kutokana na kuwa mbali na jukwaa hili kuna mengi nayaona humu, kuna mambo hayaridhishi na ndiyo ningependa tuhadharishane ama kuelekezana.
Kama muasisi wa JF, ningependa kuwakumbusha kuwa hapa hoja inajibiwa na hoja. Haipendezi kabisa hoja kujibiwa kwa viroja!
Kuna namna flani ya uwakilishaji hoja ambayo nimeiona humu ikionekana wazi ni dhamira mbaya kabisa ya kuweza kuwakatisha tamaa wanachama flani kwa kujadili watu badala ya hoja.
Haijalishi mwanachama ni mzoefu wa muda gani hapa JF, wengine wamechelewa kupafahamu hapa na kama wamejiunga nasi basi tuwapokee kwa busara ili watambue kuwa wenyeji wao tu wakarimu. Tuwaelekeze kiungwana tunapoona wanaenda nje ya mstari na kuwasahihisha ili twende nao sawa. Wanaweza kuja na mawazo ambayo inaonesha wazi kuwa hawajui tulikotoka, vema tuwape links (kwakuwa zipo tu) ili badala ya kuchanganya mambo wasome kwanza kabla ya sisi kuwanukuu huku tukiwambia "Una vijipost viwili halafu una pointless au wewe ni ***** au mpumbavu wewe".
Ni heri asiyejua akakosea na kuelekezwa kuliko anayejua akakosea makusudi. Tuwaheshimu wenzetu ili kupitia sisi wajifunze zaidi na zaidi.
Kuna mengi nimeyaona humu lakini nikasema hapana, ni heri kuwakumbusha kuwa hoja hujibiwa na hoja. Kutaniana kupo lakini nako kukizidi inashusha hadhi ya mchangiaji. Nimeombwa na moderation crew kuwa nitie neno nami nikaona nisisite kufanya hivyo.
Nawashukuru Admins, moderators na baadhi ya wanachama kwa ushirikiano mnaonekana kuutoa katika kuhakikisha tunahabarika na kuburudika kupitia JF.
Mengine tutaendelea kushirikishana kadiri muda utakavyopatikana na nawatakia kila la kheri katika uchangiaji wa hoja mbalimbali.
Mac
Hii tabia ipo sana siyo kwako tu ndugu yangu bali nimeiona kwa mzee mwenzangu FMES, bwana mdogo YNIM, na wengine wengi. I reallyl don't get it.
Mkulu Wangu MMJ,
Hapo hukunitendea haki, umelisema hili neno mara nyingi sana na nimekujibu mara nyingi sana kua sijawahi kumchokoza member yoyote hapa na hilo neno,
lakini Yes nimelijibu mara nyingi sana baada ya kurushiwa kwanza, kama nilivyorushiwa hapa, kama kuna mwenye ushahidi kuwa nimewahi kumrushia kwanza, ajitokeze hapa na ushahidi! Nitabeba msalaba wangu!
Otherwise, hujanitendea haki hapa.
I still don't understand kwanini Pundit katika kuonesha hoja za mtu mwingine kuwa ni dhaifu umelazimika kutumia maneno ya "upumbavu, na ujuha" kumdescribe mtu unayetofautiana naye au positions zake?
hivi hoja haiwezi kupingwa na hoja za mtu kukataliwa bila kuitana majina kwani nyume ya hicho ni madai ya kuwa bora zaidi "I'm smart, I'm more intelligent, n.k". Nadhani kwa jinsi hoja unavyozipangua ndivyo watu wanaweza kuona jinsi gani hoja zako zina nguvu.
Hii tabia ipo sana siyo kwako tu ndugu yangu bali nimeiona kwa mzee mwenzangu FMES, bwana mdogo YNIM, na wengine wengi. I reallyl don't get it.
Ila kama ni kweli mtu anaamini kuwa fulani ni mjinga, juha, mpumbavu n.k then its a fair game. Naamini ujuha, upumbavu au sifa nyingine yeyote ya mtu inaoneshwa kwa kuchambua hoja zake na kuziweka tupu mbele ya hadhara.
mzee sijasema mtu aliyetumia kwanza ndio maana nimesema na wengine wengi. Ninaamini kabisa kuwa mtu akiniita mimi "mpumbavu" na mimi nikigeuka na kumuita "mpumbavu" siyo kuwa ninalipiza kisasi bali ninakuwa nimeshuka katika level yake.
1.
Okay wewe unaamini hivyo, lakini sio lazima na mimi niamini hivyo, maana level za busara zinazidiana, I mean no question kwamba kufikia level ya maturity uliyonayo sasa uliwahi kupitia huku, ambako mimi bado nipo yaani kwenye jino kwa jino, kwako wewe ni kushuka kwangu mimi ni ku-get even na it is about respect.
I still don't understand kwanini Pundit katika kuonesha hoja za mtu mwingine kuwa ni dhaifu umelazimika kutumia maneno ya "upumbavu, na ujuha" kumdescribe mtu unayetofautiana naye au positions zake?
hivi hoja haiwezi kupingwa na hoja za mtu kukataliwa bila kuitana majina kwani nyume ya hicho ni madai ya kuwa bora zaidi "I'm smart, I'm more intelligent, n.k". Nadhani kwa jinsi hoja unavyozipangua ndivyo watu wanaweza kuona jinsi gani hoja zako zina nguvu.
Hii tabia ipo sana siyo kwako tu ndugu yangu bali nimeiona kwa mzee mwenzangu FMES, bwana mdogo YNIM, na wengine wengi. I reallyl don't get it.
Ila kama ni kweli mtu anaamini kuwa fulani ni mjinga, juha, mpumbavu n.k then its a fair game. Naamini ujuha, upumbavu au sifa nyingine yeyote ya mtu inaoneshwa kwa kuchambua hoja zake na kuziweka tupu mbele ya hadhara.
Quote: Mwanakijiji
I still don't understand kwanini Pundit katika kuonesha hoja za mtu mwingine kuwa ni dhaifu umelazimika kutumia maneno ya "upumbavu, na ujuha" kumdescribe mtu unayetofautiana naye au positions zake?
hivi hoja haiwezi kupingwa na hoja za mtu kukataliwa bila kuitana majina kwani nyume ya hicho ni madai ya kuwa bora zaidi "I'm smart, I'm more intelligent, n.k". Nadhani kwa jinsi hoja unavyozipangua ndivyo watu wanaweza kuona jinsi gani hoja zako zina nguvu.
Mwanakijiji,
Naamini hapa tunaongea hoja. Ukiwa sensitive kwa sababu hoja yako imeitwa "upumbavu" nitashangaa.Mimi mtu akiiita hoja yangu "upumbavu" nitaelewa kuwa hajanitukana, na anaeleza weakness ya hoja yangu.
Kwa hiyo "upumbavu" si tusi, ni description tu ya kitu na kama mtu anatoa hoja za kipumbavu kama hizi za "if you are not with the journalists you are with Mkuchika" then inafaa kuonyesha upumbavu wa hoja hii.
Sioni tabu kusema hivyo pale panapostahili kwa sababu nafikiri mbiu yetu ni kuwa tunaongea kwa uwazi.Sijamtusi mtu, nimeonyesha udhaifu wa hoja tu.
Si ajabu kwa mtu smart akaingia mkenge na kushabikia hoja ya kipumbavu, kwa hiyo tukimkanya kwamba asishabikie hoja ya kipumbavu si kweli kwamba yeye amekuwa mpumbavu, ila anashabikia hoja ya kipumbavu.
Nasema tena, kuamini kwamba waandishi wa habari wasisemwe hata wanapokosea, kwa sababu tu wanaandika habari za ufisadi, ni ujuha wa hali ya juu.
Quote:
Originally Posted by Majita
Wangekuwa vilaza usingekuwa na huo mshawasho wa kuona wataandika nini.Kilaza ni wewe unayesubiri kuona vilaza wataandika nini.Assume wasipoandika huyo mkuchika tutakuitaje????
Quote: Mchukia Ufisadi
Tutamuita Kilaza. Na hadi sasa inaelekea hakuandikwa kwa magazeti mawili niliyoona. Ngoja tusubiri.
Quote: Masatu
Mie nasubiri magazeti ya kesho kuona kama wataandika habari za maandamano ya Mkuchika. Hawa jamaa ni vilaza tu hawajui walifanyalo ni wa kusamehewa....
tatizo ni kuwa premise yako is wrong; kwanini unafikiri watu "wanaamini waandishi wa habari wasisemwe"? Waandishi wa habari ni sehemu ya jamii na wao wanastahili kipimo kile kile wanachowapimia wengine. Sasa ili iwe "Ujuha wa hali ya juu" huna budi kuonesha ni wapi mtu kasema au kaashiria kuwa "waandishi wasisemwe".
Tutamuita Kilaza. Na hadi sasa inaelekea hakuandikwa kwa magazeti mawili niliyoona. Ngoja tusubiri.