Katika Picha: Maandamano ya wanahabari Leo

Status
Not open for further replies.
Kinachonishangaza mimi majenerali wetu ambao ni wakosoaji wakubwa wa vyombo vya habari vya nyumbani hawaoneshi mfano wa nini media nyumbani iwe. Basi angalau waandike ripoti moja ya uchunguzi, waifanyie utafiti wa kina halafu waichape kwenye gazeti lolote lile na tuone ubora wa habari hiyo ili na sisi wengine tufuate mfano. Tatizo hawatofanya hivyo bali wataketi kwenye viti vyao vya Ujenerali na tepe zao ziking'ara mabegani wakieleza kwa vifimbo vyao vyeusi vilivyonyoka jinsi gani hakuna vyombo vya habari Tanzania!

Wananikumbusha wale mabwanyeye ambao walikuwa wanasimama na vifimbo vyao pembeni ya shamba huku wanakunywa wanzuki wakicheka kicheko cha dharau, na meno yao wakikenua kwa kejeli; wakiwaelekeza wakulima kulima huku wao wenyewe wamesimama mahali penye magugu! Basi angalau wangeng'oa magugu wanayosimama juu yake ili iwe mfano kwa wanaojifunza kulima!

Mabwanyeye hao wanasema hawako tayari kufanya hivyo kwani watachafuka na hawakuja shamba na nguo za kubadilisha!

Hivi ndivyo walivyo wakosoaji wetu wanaotoa kauli za jumla dhidi ya waandishi wa habari na sekta ya habari nchini! "Tanzania hakuna media" wanatamka kiuvivu! Huku wakicheua vile walivyokula katika viti vyao vya uvivu wanawatangazia wengine pasipo aibu kuwa "Hakuna waandishi wa habari Tanzania!".

Tunapoomba basi watuoneshe mfano sisi wengine ambao fani ya uandishi hatuijui na hatuifanyi inavyostahili (kwa maoni yao) watatoa kila aina ya udhuru kwanini wao wasifanye!

Hawa ndio majenerali wetu wakosoaji wa media nchini ambao wamekaa pembeni na suruali zao vimepanda hadi kitovuni wakicheka cheka kwa kejeli wakiamini katika mawazo yao kuwa kwa vile wao wanasema hakuna media Tanzania basi ulimwengu mzima ukubali hivyo! Na hawa tutaendelea kuwapinga!
 
Kinachonishangaza mimi majenerali wetu ambao ni wakosoaji wakubwa wa vyombo vya habari vya nyumbani hawaoneshi mfano wa nini media nyumbani iwe. Basi angalau waandike ripoti moja ya uchunguzi, waifanyie utafiti wa kina halafu waichape kwenye gazeti lolote lile na tuone ubora wa habari hiyo ili na sisi wengine tufuate mfano. Tatizo hawatofanya hivyo bali wataketi kwenye viti vyao vya Ujenerali na tepe zao ziking'ara mabegani wakieleza kwa vifimbo vyao vyeusi vilivyonyoka jinsi gani hakuna vyombo vya habari Tanzania!

Wananikumbusha wale mabwanyeye ambao walikuwa wanasimama na vifimbo vyao pembeni ya shamba huku wanakunywa wanzuki wakicheka kicheko cha dharau, na meno yao wakikenua kwa kejeli; wakiwaelekeza wakulima kulima huku wao wenyewe wamesimama mahali penye magugu! Basi angalau wangeng'oa magugu wanayosimama juu yake ili iwe mfano kwa wanaojifunza kulima!

Mabwanyeye hao wanasema hawako tayari kufanya hivyo kwani watachafuka na hawakuja shamba na nguo za kubadilisha!

Hivi ndivyo walivyo wakosoaji wetu wanaotoa kauli za jumla dhidi ya waandishi wa habari na sekta ya habari nchini! "Tanzania hakuna media" wanatamka kiuvivu! Huku wakicheua vile walivyokula katika viti vyao vya uvivu wanawatangazia wengine pasipo aibu kuwa "Hakuna waandishi wa habari Tanzania!".

Tunapoomba basi watuoneshe mfano sisi wengine ambao fani ya uandishi hatuijui na hatuifanyi inavyostahili (kwa maoni yao) watatoa kila aina ya udhuru kwanini wao wasifanye!

Hawa ndio majenerali wetu wakosoaji wa media nchini ambao wamekaa pembeni na suruali zao vimepanda hadi kitovuni wakicheka cheka kwa kejeli wakiamini katika mawazo yao kuwa kwa vile wao wanasema hakuna media Tanzania basi ulimwengu mzima ukubali hivyo! Na hawa tutaendelea kuwapinga!

Najua kuwa itakuuma kama wewe ni journalist mzuri, kwa jinsi tunavyokufahamu.Haimaanishi kuwa waandishi wasikosolewe au basi kuwa kila anayekosolewa (ikiwemo mimi injinia) basi kila mtu ajaribu kufanya au kuwa kama huyo muhusika

Hatuwezi wote tukajaribu uinjinia kwa sababu mainjinia wanakosea na tunawakosoa, haiwezekani kuwa wote tuwe madaktari eti kwa sababu kuwa waliwafanyia operation tofauti wale wagonjwa, haiwezekani tujaribu kuwa rais Kikwete eti kwa sababu Kikwete kila siku anakosea.Kama ni hiyo hakuna anayetakiwa kukosolewa! tuache JF

Waandishi wa habari mpaka leo wana doa kubwa kabisa katika historia ya Tanzania ya kutuwekea kiongozi wa aina ya Kikwete, tuna mifano ya jinsi wanavyonunuliwa kama njugu.

Kwa nini hamtaki kukubali kuwa Kubenea alikosea??-AU KIBANDA AMEKOSEA? kukosea wakosee wengine akikosea Kubenea imekuwa Nongwa?? asisemwe yeye nani?

Mimi ni mhandisi wa ujenzi nikisia nyumba imebomoka naona kama ni mimi nimefanya kosa, naona aibu kusikia waandisi wa ujenzi Tanzania wanadharauliwa kisa eti mmoja amekosea, napata raha nikiangalia rekodi yangu ya kazi, lakini nawiwa pia niwe makini na kuwafundisha mainjinia wanafunzi wawe makini! huku na mimi nikiangalia nisifanye makosa;sijawahi kusema haya njooni mjenge na nyie kwa sababu wamekosea.

Maana kazi za uandishi wa haba ri,uandisi, udereva , usanii zinaonekana, ukikosea watu wanaona!


Ni kweli hawataweza kuandika hata paragraph moja kwasababu hawajajiita waandishi wa habari

Kibanda anaposema kuwa taarifa ya Kubenea haikuwa sahihi, huku wengine tuliliona mapema na wengine wanatetea tunachanganyikiwa!

Personally napenda uandishi wako, nina folder maalumu za nakala za mwanakijiji na Anbsert Ngurumo-ninawaheshimu. Wenzenu wanapokosea na wanapokoselewa mjikaze this is sign that MKJJ is good writer na unaona uchungu mtu kugeneralise wote, this is human nature.nani hajui kuwa TRA, wanaonekana wala rushwa, wahaya wanaonekana wanamajigambo, wanyakyusa tunaonekana tunapenda wanawake,you name it! makonda, CCM, wanafunzi wa jangwani, etc.

Taarifa ya Kubenea haikuwa na vithibitisho, pili haikuwa nzuri kwa taifa , tatu ililenga kutaka kumpa sifa za bure kikwete, nne ametukosea wasomaji wa mwanahalsi, tano hakuwa makini kama mpiganaji alitakiwa awe mwangalifu serikali isitafute weka point

narudia kupost maswali yangui haya kama hayana maana Ok, lakini naamini yatatusaidia fo future Kubenea kama aksri mwenzetu amekosea. Taarifa alizonazo haziwezi kuwa za siri kwani alianza kuwapa wananchi wote Tanzania


maswali kumi mnieleweshe waandishi wa habari.


1. Kama kubenea mnakiri kuwa taarifa yake haikuwa sahihi mnataka tuseme kuwa akifanya makosa asiwe punished simply because ana rekodi nzuri?

2. Kwa maneno ya Kibanda; Je ni habari ngapi ambazo zinaandikwa nchini aidha hazina vithibitisho( kumbukeni tarime) ambazo huwa published kila siku? we have to do some investigative news, kama SK naye taarifa haikuwa imeiva angecool down, au ndiyo utamaduni wa wahariri wengi(kuwa kama ALASIRI) title is good but content is gabbage? kisa mnataka tununue tu magazeti yenu?

3. Je niandike habari mbovu/mbaya haijahaririwa kwa sababu na gazeti lingine wanafanya hivyo?

4. Katika wahariri walioandamana ni wangapi basi ambao wameshaandika taarifa mbalimbali walau kama SK?

5. Mnaonyesha (wahariri/waandishi) mko wengi sana ukiachilia mbali na taarifa za ufisadi chache tunazozipata kupitia magazeti machache, je mmekubaliana nini? mtaandika kama Kubenea?,mngeieleza serikali kuwa mtaandika zaidi ya Kubenea, mnataka kubenea afunguliwe ili nyie muendelee kuwadumaza watanzania kwa habri za udaku na ugoni, huku maovu yamejificha kila kona Tanzania hayaripotiwi?

6. Mlipotoa kifungo kwa mkuchika hamuoni kuwa mna prove kumbe kuandikwa gazetini ni mpaka uwe 'somebody' na sio kwa manufaa ya wananchi? na msiowaandika nao mmewafungia? Kwa nini msimfungie Kikwete na usanii wake anaouleta hapa TZ? hamuwezi? why?

7. Kubenea, ni lini na namna gani anaweza kuthibitisha ukweli wa habari yake? maana kama umefungiwa kwa' uzembe' wako kama kibanda anavyosema je huoni hujatutendea haki sisi wananchi tunaoamini kuwa wewe ni smart guy

8. Je kabla ye Kubenea kufungiwa wahariri walikuwa hawajui kuwa sheria ya mwaka 76 imepitwa na wakati?(au hamsomi JF?) na je SK akifunguliwa leo mmejiandaa vipi kupingana na sheria hiyo?

9. Waandishi wa habari muwe mfano, vyama vya upinzani havitafanikiwa mpaka katiba ibadilishwe, je waandishi wa habari kama watu wa mstari wa mbele katika mapambano yeyote, hamuoni inaonyesha siku zote mnafanya kazi chini ya kiwango? tangu 76 ??

10. Kibanda ukisema kuwa habari ya SK haikuwa sahihi, ila unashangaa gazeti lingine limeandika kama hivyo unataka kutupa picha gani? huoni kuwa kuna ka utoto fulani hapa ambako nikidescribe vizuri nitaonekana nakutukana? why dont you be smart mpaka 'MAADUI WAKIWA NA NENO JUU YAKO WASHINDWE PA KUANZIA'




waberoya
 
Waberoya, lilipoanguka lile jengo pale Dar, na tunapoona barabara zilivyo mbaya au zinapojengwa kwa kulipuliwa au mhandisi anapofanya kitu kinyume cha maadili ya kazi yake itakuwa haki (kwa kiasi chochote kile) kusema kuwa "hakuna Wahandisi Tanzania" au uwezo wa kusema kwa Ujumla tu kuwa "uwezo wa Wahandisi Tanzania ni pathetic"? Hivi kweli tunashindwa kuqualify kauli nyepesi tu zinazomlenga mtu mmoja badala ya kufanya kile mwalimu wangu wa filosofia alikiita "haste generalization"?

Hivyo tunakubaliana na falacy ya "samaki mmoja akioza wameoza wote pia"? kuwa Injia mmoja akiharibu basi Mainjinia wote wameharibu? Kama kuna mtu ana issue na Kubenea why not deal with Kubenea, kama ni MwanaHalisi why not deal with Mwanahalisi, why this haste and uncalled condemnation of the whole group of professionals as if they a singular entity?

Hivi kweli unakubali kuwa "hakuna Uandishi wa habari Tanzania" au "Hakuna vyombo vya habari Tanzania"? Really?
 
Picha bado sizioni!, inakuja meseji kwenye position ya picha inayosema "Bandwidth used out"

Same message...




I get the same thing.

Kapicha kenyewe,
Bandwidth.jpg



[media]http://pichaz.jamiiforums.com/skin/default/sys_icons/Bandwidth.jpg[/media]
Kanatoka JF, hii sidhani ni tatizo lililopo kwa service provider wangu




.
 
John Mnyika

KWA niaba ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA-BAVICHA), kama sehemu ya wadau wa sekta ya habari nchini, tunaunga mkono maandamano ya amani yaliyofanywa jana na waandishi wa habari, kupinga hatua ya serikali kulifungia kwa muda gazeti la MwahaHALISI.

Tunawapongeza wahariri kwa mshikamano wenu katika kipindi hiki cha majaribu, endeleeni kusimama pamoja, ni umoja wenu ndio utakaowakinga dhidi mtu au chombo chochote kinachoingilia uhuru wenu.

Mshikamano wenu ni ishara ya kushindwa kwa mkakati wa ‘wagawe uwatawale’ na imani kwamba umoja ni nguvu. Wahariri wote hawapaswi kukaa kimya kuhusu kufungiwa kwa MwanaHALISI, kwa kuwa leo ni gazeti hilo, kesho litakuwa jingine, hivyo ni vema kuungana ili kulinda uhuru, taaluma na sekta ya habari nchini.

Kwetu hatua ya serikali tunaitafsiri zaidi ya kufungia gazeti la MwanaHALISI, ni kufungia uhuru wa kusambaza na kupokea habari.

Hivyo hatua hiyo ni kinyume cha haki za binadamu, utawala bora pia ni kikwazo kwa demokrasia na maendeleo.

Hakika serikali na viongozi wake wamevuka mstari wa kukubali kukosolewa, sasa wameanza kufungia uhuru wa fikra mbadala.

Hatua ya waziri mwenye dhamana ya habari kugeuka mlalamikaji, mwendesha mashitaka na mfungaji ni mwelekeo mbovu wa kupuuza taasisi za kusimamia uwajibikaji na haki.

Uamuzi uliofanywa na serikali hauna tofauti na unaofanywa na raia wanaojichukulia sheria mikononi (mob justice).

Kwa serikali inayoheshimu misingi ya asili ya haki, tulitarajia chombo chochote cha habari, kikivunja sheria ama kukiuka maadili dhidi ya serikali, viongozi wake ama watu binafsi, mashitaka ama malalamiko yangepelekwa kwa taasisi zinazohusika, mathalani Baraza la Habari (MCT) ama Mahakama.

Hatua ya serikali kufungia kwa miezi mitatu gazeti la MwanaHALISI, imechukuliwa kwa mujibu wa sheria iliyopo, imekiuka misingi ya asili ya utawala wa sheria.

Kwani kulikuwa na sheria nyingine nzuri ambazo serikali ingeweza kutumia kupitia mahakama lakini ikaamua kuchagua kutumia sheria mbaya kwa kutumia mamlaka ya waziri.

Itakumbukwa, wadau wa habari na hata serikali yenyewe imekiri kwamba sheria iliyotumiwa ni mbovu, inayohitaji kufutwa ama kufanyiwa marekebisho makubwa, ikiwemo kupunguza mamlaka ya viongozi wa serikali dhidi ya vyombo vya habari.

Sheria yoyote inayotambulika kuwa mbovu katika jamii, inapoteza uhalali wa kihaki (legitimacy) miongoni mwa umma, hivyo kuendelea kuitumia ni kuteteresha misingi ya utawala wa sheria na kutoa mfano mbaya kwa vijana nchini na wananchi kwa ujumla.

Hivyo, tunachukua fursa hii kuitaka serikali kuharakisha mchakato wa kupitisha sheria ya vyombo vya habari na sheria ya uhuru wa taarifa.

Aidha, tumeshangazwa na uamuzi wa serikali kufanya maamuzi yake kwa ubaguzi kwa kulichukulia hatua gazeti la MwanaHALISI na kukwepa kuyachukulia hatua magazeti mengine yaliyoandika habari inayoshabihiana na maudhui ya habari iliyoandikwa na gazeti hilo.

Kwa muda mrefu sasa, habari za uwepo wa viongozi ama makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) yenye kupanga ‘kumng’oa’ Rais Jakaya Kikwete miongoni mwa wanaotarajiwa kugombea urais kupitia chama hicho mwaka 2010 zimeandikwa na magazeti mbalimbali.

Hatua hii ya kibaguzi inaibua maswali kuhusu dhamira ya serikali kulifungia gazeti hilo wakati huu ambapo mchango wa gazeti hilo na mengine yaliyo mstari wa mbele kupinga ufisadi na kutetea rasilimali za taifa unahitajika kwa kiasi kikubwa.

Hata baada ya kulifungia gazeti la MwanaHALISI, habari za aina hiyo zimeendelea kuandikwa, ikiwemo na vyombo vya habari vya nje, mathalani Oktoba 24 mwaka huu, kutoka Ufaransa, gazeti la Africa Intelligence, lilimtaja Rostam Aziz, kukusanya fedha kwa ajili ya kufadhili kundi lake kwenye uchaguzi huo.

Katika muktadha huo, serikali haikupaswa kulifungia gazeti la MwanaHALISI mara moja, kama imeonyesha wazi kushindwa kuyachukulia hatua magazeti mengine.

Kadhalika kwa mtiririko wa matukio katika taifa letu, kuna mwelekeo wa serikali na CCM kuminya maoni yenye kumkosoa au kumgusa Rais Kikwete.

Mjadala wa Rais Kikwete ‘kung’olewa’ katika uchaguzi mwaka 2010 unaelekea kuichukiza kwa kiasi kikubwa serikali na CCM.

Gazeti la MwanaHALISI liliandika habari ya namna hiyo, likafungiwa na serikali. Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, akiwa katika ‘Operesheni Sangara’, alitoa hoja hiyo, na matokeo yake CCM ikaibuka na kujibu kwa vitisho na vihoja.

Vijana wa Tanzania wanapenda kupata mfano wa uongozi bora wenye kukubali kukosolewa na kukubali mabadiliko badala ya uongozi legelege wenye kuendeleza udikteta wa kimawazo, hivyo kuminya fikra huru.

Si dhambi kwa CHADEMA, ama mtu yoyote kutaka kuiondoa CCM ama kiongozi wake yeyote madarakani mwaka 2010 kwa njia za kidemokrasia.

Mwisho, tunatoa mwito kwa Watanzania kusoma alama za nyakati na kuunga mkono harakati za wahariri na wadau wa sekta ya habari kutetea uhuru wa kweli katika taifa letu.

Jamii itambue kwamba kitisho cha uhuru na haki kwa mtu fulani au mahali fulani, ni tishio kwa watu na mahali pote. Yanayofanywa kwa vyombo vya habari, yanaweza pia kufanywa kwa watetezi wengine, kwani hivi karibuni taifa limeshuhudia asasi ya HakiElimu, ikitishiwa kutokana na jitihada zake za kuhamasisha mabadiliko ya fikra katika sekta ya elimu na kupiga vita ufisadi unaoathiri sekta hiyo.

Tupo katika kipindi cha majaribu, kuibuka kwa mijadala yenye kuchochea mgawanyiko au ubaguzi, kuongezeka kwa matabaka na malalamiko juu ya hali za maisha.

Katika wakati huu ambapo misingi ya nchi yetu iliyopo katika ngao ya taifa ya uhuru na umoja inapotikiswa, ni wakati wa kuunganisha ‘nguvu ya umma’ kupinga aina zote za ufisadi na kutetea rasilimali za taifa kwa kuhamasisha maadili, fikra mbadala na mabadiliko ya kweli.

Kuunga mkono maandamano ya wadau wa sekta ya habari ni sehemu ya azima hiyo. Mshikamano, daima; pamoja tutashinda!

JJ

0754 – 694 553

Chanzo: Udokozi toka makala za Tanzania Daima
 
Mkuu naomba ujibu na mengine mengi, we have to admit where we made mistake, and how to remedy for future, usimtetee Kubenea, pitia mswali yangu 10 yote yanarelate.

BY THE WAY ANAYETAKIWA KUFUNGUA KESI NI NANI? NI KUBENEA AU SERIKALI, WAMESHAMFUNGIA! WAMEMALIZA KAZI KAMA KUBENEA HE IS SURE? KWA NINI ASIENDE MAHAKAMANI? EU siyo standard wala siyo dira ya kutuonyesha nani mwenye makosa! na kama akirudi LAZIMA SERIKALI ITUELEZE NI NANI MWENYE MAKOSA! AU NI YALEYALE CHANGA LA MACHO KUWA GAZETI NI LA JK?? KUBENEA LAZIMA ASEME UKWELI NA AUWEKE WAZI ALILIANZISHA YEYE, personally akirudi nitazidi kususpect taarifa ile ni ya kumsifia Kikwete ambaye hafanyi lolote nchi hii juu ya mafisadi? ukweli utajulikana

JIBU LAKO FM; LINAELEZEA KUBENEA HAKUTUMIA BUSARA KUANDIKA ILE TAARIFA!!!, MPAKA MAWAKILI WAKE WANAMZUIA ASISEME!!! INA MAANA WAS HEAVY NEWS!!! ISN'T IT, HIVI KIUANDISHI NI LAZIMA UANDIKE HABARI YEYEOTE ILE? NINI MAANA YA UHARIRI?

MKINIELEWESHA SWALA LA KIBANDA, KUSEMA KUBENEA ALIKOSEA NITAWAELEWA AU KUBENEA ANATAKIWA AFANYE MAKOSA KWA SABABU NI KUBENEA? au kwa sababu wengine wanafanya? at what point should we sit down na kujiona mmioja wa wapiganaji wenzetu walishika silaha vibaya na tujipange yasitokee tena? au vita hatuangalii tunapokosea? he made mistake so as government but who is strong then? who is looser now? government or citizen? I guess is we, I am the most looser and Kubenea is a source!
Rudia maswali yangu 10, kama na wewe ni mhariri nijibu au kama unataka kuwasaidia wahariri sawa!

waberoya

Mkuu Waberoya, haya kula elimu ya bure hapa chini kutoka kwa Mnyika:-

John Mnyika

KWA niaba ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA-BAVICHA), kama sehemu ya wadau wa sekta ya habari nchini, tunaunga mkono maandamano ya amani yaliyofanywa jana na waandishi wa habari, kupinga hatua ya serikali kulifungia kwa muda gazeti la MwahaHALISI.

Tunawapongeza wahariri kwa mshikamano wenu katika kipindi hiki cha majaribu, endeleeni kusimama pamoja, ni umoja wenu ndio utakaowakinga dhidi mtu au chombo chochote kinachoingilia uhuru wenu.

Mshikamano wenu ni ishara ya kushindwa kwa mkakati wa ‘wagawe uwatawale’ na imani kwamba umoja ni nguvu. Wahariri wote hawapaswi kukaa kimya kuhusu kufungiwa kwa MwanaHALISI, kwa kuwa leo ni gazeti hilo, kesho litakuwa jingine, hivyo ni vema kuungana ili kulinda uhuru, taaluma na sekta ya habari nchini.

Kwetu hatua ya serikali tunaitafsiri zaidi ya kufungia gazeti la MwanaHALISI, ni kufungia uhuru wa kusambaza na kupokea habari.

Hivyo hatua hiyo ni kinyume cha haki za binadamu, utawala bora pia ni kikwazo kwa demokrasia na maendeleo.

Hakika serikali na viongozi wake wamevuka mstari wa kukubali kukosolewa, sasa wameanza kufungia uhuru wa fikra mbadala.

Hatua ya waziri mwenye dhamana ya habari kugeuka mlalamikaji, mwendesha mashitaka na mfungaji ni mwelekeo mbovu wa kupuuza taasisi za kusimamia uwajibikaji na haki.

Uamuzi uliofanywa na serikali hauna tofauti na unaofanywa na raia wanaojichukulia sheria mikononi (mob justice).

Kwa serikali inayoheshimu misingi ya asili ya haki, tulitarajia chombo chochote cha habari, kikivunja sheria ama kukiuka maadili dhidi ya serikali, viongozi wake ama watu binafsi, mashitaka ama malalamiko yangepelekwa kwa taasisi zinazohusika, mathalani Baraza la Habari (MCT) ama Mahakama.

Hatua ya serikali kufungia kwa miezi mitatu gazeti la MwanaHALISI, imechukuliwa kwa mujibu wa sheria iliyopo, imekiuka misingi ya asili ya utawala wa sheria.

Kwani kulikuwa na sheria nyingine nzuri ambazo serikali ingeweza kutumia kupitia mahakama lakini ikaamua kuchagua kutumia sheria mbaya kwa kutumia mamlaka ya waziri.

Itakumbukwa, wadau wa habari na hata serikali yenyewe imekiri kwamba sheria iliyotumiwa ni mbovu, inayohitaji kufutwa ama kufanyiwa marekebisho makubwa, ikiwemo kupunguza mamlaka ya viongozi wa serikali dhidi ya vyombo vya habari.

Sheria yoyote inayotambulika kuwa mbovu katika jamii, inapoteza uhalali wa kihaki (legitimacy) miongoni mwa umma, hivyo kuendelea kuitumia ni kuteteresha misingi ya utawala wa sheria na kutoa mfano mbaya kwa vijana nchini na wananchi kwa ujumla.

Hivyo, tunachukua fursa hii kuitaka serikali kuharakisha mchakato wa kupitisha sheria ya vyombo vya habari na sheria ya uhuru wa taarifa.

Aidha, tumeshangazwa na uamuzi wa serikali kufanya maamuzi yake kwa ubaguzi kwa kulichukulia hatua gazeti la MwanaHALISI na kukwepa kuyachukulia hatua magazeti mengine yaliyoandika habari inayoshabihiana na maudhui ya habari iliyoandikwa na gazeti hilo.

Kwa muda mrefu sasa, habari za uwepo wa viongozi ama makundi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) yenye kupanga ‘kumng’oa’ Rais Jakaya Kikwete miongoni mwa wanaotarajiwa kugombea urais kupitia chama hicho mwaka 2010 zimeandikwa na magazeti mbalimbali.

Hatua hii ya kibaguzi inaibua maswali kuhusu dhamira ya serikali kulifungia gazeti hilo wakati huu ambapo mchango wa gazeti hilo na mengine yaliyo mstari wa mbele kupinga ufisadi na kutetea rasilimali za taifa unahitajika kwa kiasi kikubwa.

Hata baada ya kulifungia gazeti la MwanaHALISI, habari za aina hiyo zimeendelea kuandikwa, ikiwemo na vyombo vya habari vya nje, mathalani Oktoba 24 mwaka huu, kutoka Ufaransa, gazeti la Africa Intelligence, lilimtaja Rostam Aziz, kukusanya fedha kwa ajili ya kufadhili kundi lake kwenye uchaguzi huo.

Katika muktadha huo, serikali haikupaswa kulifungia gazeti la MwanaHALISI mara moja, kama imeonyesha wazi kushindwa kuyachukulia hatua magazeti mengine.

Kadhalika kwa mtiririko wa matukio katika taifa letu, kuna mwelekeo wa serikali na CCM kuminya maoni yenye kumkosoa au kumgusa Rais Kikwete.

Mjadala wa Rais Kikwete ‘kung’olewa’ katika uchaguzi mwaka 2010 unaelekea kuichukiza kwa kiasi kikubwa serikali na CCM.

Gazeti la MwanaHALISI liliandika habari ya namna hiyo, likafungiwa na serikali. Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, akiwa katika ‘Operesheni Sangara’, alitoa hoja hiyo, na matokeo yake CCM ikaibuka na kujibu kwa vitisho na vihoja.

Vijana wa Tanzania wanapenda kupata mfano wa uongozi bora wenye kukubali kukosolewa na kukubali mabadiliko badala ya uongozi legelege wenye kuendeleza udikteta wa kimawazo, hivyo kuminya fikra huru.

Si dhambi kwa CHADEMA, ama mtu yoyote kutaka kuiondoa CCM ama kiongozi wake yeyote madarakani mwaka 2010 kwa njia za kidemokrasia.

Mwisho, tunatoa mwito kwa Watanzania kusoma alama za nyakati na kuunga mkono harakati za wahariri na wadau wa sekta ya habari kutetea uhuru wa kweli katika taifa letu.

Jamii itambue kwamba kitisho cha uhuru na haki kwa mtu fulani au mahali fulani, ni tishio kwa watu na mahali pote. Yanayofanywa kwa vyombo vya habari, yanaweza pia kufanywa kwa watetezi wengine, kwani hivi karibuni taifa limeshuhudia asasi ya HakiElimu, ikitishiwa kutokana na jitihada zake za kuhamasisha mabadiliko ya fikra katika sekta ya elimu na kupiga vita ufisadi unaoathiri sekta hiyo.

Tupo katika kipindi cha majaribu, kuibuka kwa mijadala yenye kuchochea mgawanyiko au ubaguzi, kuongezeka kwa matabaka na malalamiko juu ya hali za maisha.

Katika wakati huu ambapo misingi ya nchi yetu iliyopo katika ngao ya taifa ya uhuru na umoja inapotikiswa, ni wakati wa kuunganisha ‘nguvu ya umma’ kupinga aina zote za ufisadi na kutetea rasilimali za taifa kwa kuhamasisha maadili, fikra mbadala na mabadiliko ya kweli.

Kuunga mkono maandamano ya wadau wa sekta ya habari ni sehemu ya azima hiyo. Mshikamano, daima; pamoja tutashinda!

JJ

0754 – 694 553
 
Tunapoomba basi watuoneshe mfano sisi wengine ambao fani ya uandishi hatuijui na hatuifanyi inavyostahili (kwa maoni yao) watatoa kila aina ya udhuru kwanini wao wasifanye!

Hawa ndio majenerali wetu wakosoaji wa media nchini ambao wamekaa pembeni na suruali zao vimepanda hadi kitovuni wakicheka cheka kwa kejeli wakiamini katika mawazo yao kuwa kwa vile wao wanasema hakuna media Tanzania basi ulimwengu mzima ukubali hivyo! Na hawa tutaendelea kuwapinga!


Very soon watagundua kua Tanzania sio USA, maana hapo ndipo wanapotatizwa maana hakuna ugonjwa mbaya kama ulimbukeni.
 
Kwa nini hamtaki kukubali kuwa Kubenea alikosea??-AU KIBANDA AMEKOSEA? kukosea wakosee wengine akikosea Kubenea imekuwa Nongwa?? asisemwe yeye nani? Kibanda anaposema kuwa taarifa ya Kubenea haikuwa sahihi, huku wengine tuliliona mapema na wengine wanatetea tunachanganyikiwa!

Kubenea hakuwa wrong, serikali inajua hilo na binafsi ninamtetea mpaka mwisho kwa sababu kabla hata Kubenea hajaandika tayari nilishauona baadhi ya ushahidi unaoudai na ninao, na nilikuwa wa kwanza hata kukisema wazi kikao cha siri cha Morogoro na yalkiyokubalika kwenye kile kikao ndiyo yaliyopelkea Kubena kuandika habari iliyomfanya kufungiwa gazeti,

Kwa hiyo kama kukosea hapa anayekosea ni wewe unayejaribu kutufanya tuamini kwamba kwa sababu wewe hujaonyeshwa huo ushahidi basi Kubenea ana makosa, Kubenea was right tena 100% uongo mzito against serikali husababishwa kufungwa jela sio kufungiwa gazeti, muulize muandishi anayeitwa Balinagwe, alipokutwa na ushahidi kama huo ambao unaudai kwa nguvu kutoka kwa Kubenea, serikali ilimfunga jela six months kwa hiyo mkuu unaonekana ni mgeni sana na hii serikali how it works, tunaoijua hatuishangai na hatiuwashangai pia watu kama wewe ambao hawaielewi vizuri, maana tunazo records za kutosha on that, ndio maana we stand strongly with Kubenea.


Taarifa ya Kubenea haikuwa na vithibitisho, pili haikuwa nzuri kwa taifa , tatu ililenga kutaka kumpa sifa za bure kikwete, nne ametukosea wasomaji wa mwanahalsi, tano hakuwa makini kama mpiganaji alitakiwa awe mwangalifu serikali isitafute weka point

Taarifa ya Kubenea ilikuwa sahihi tena kwa 100%, mabalozi wa EU wameziona na mpaka kuiuliza serikali ijibu ni kwa nini wamelifungia gazeti, kwa taarifa yako kama taarifa ya Kubenea isingekua sahii serikali ingemfunga na sio kulifungia gazeti tu,

Taarifa ilikuwa sahiii ndio maana we stand with Kubenea mpaka mwisho, na tunasubiri kwa hamu sana kifungo kiishe ili turudi kazini with more mawe than ever, hizi kelele za mlango huwa hazizuii watu ndani kulala, ni just kelele za mlango tu!
 
tatizo serikali/mkuchika hajui nini maana ya mwanahalisi na nani ni nani humo.....salva acheni kumuumiza mkubwa wenu kwa shinkizo la mzigo wa kisiasa aliojibebesha (mafisadi maarufu)....



Nina wasiwasi uamuzi wa mkuchika ni moja ya hatua za mwanzo za kumuundoa jk mwaka 2010 kwa kuchochea chuki ya moja kwa moja kati ya waandishi na jk ili ikifika 2010 waseme kuwa hauziki na mzigo kwa ccm halafu wamtafute kanyaboya atakayeweza kuaminika kwa maslahi ya chama na mfumo fisadi....

Tanzanianjema

walikolala wao wewe umeamkia
 
Mwanahalisi kafanya makosa kwa kuandika habari zisizo na evidence halafu asiadhibiwe, waandishi cum wahariri wanakubali; to the contrary baadhi yao waandamane kupinga kwa nini gazeti lifungiwe!

Hakuna excuse, ni kuwa waandishi walichemka over the boiling point pale walipoanza na kumfungia Mkuchika kwenye media coverage, na pili kuja kuandamana kisa eti mwanahalisi limefungiwa..tena kwa kosa ambalo liko dhahiri. Nilitegemea wangemuonya mwenzao kuwa aandike kufata ethics za kazi yao, ambayo ni investigative journalism...inaambatana na evidence. Vinginevyo hiyo habari yake angeipublish Global publishers. Na hata kama Mkuchika kakurupuka, response ya waandishi imechemka. They would have sat and critically think about the actual steps to be taken against the punishment.

Ni vigumu kuamini eti Kubenea ana evidence na anasubiri apelekwe mahakamani ndio atoe evidence huko. Hapa alikuwa anamfool nani? wananchi (wasomaji) au serikali. Kama alikuwa anaifool serikali amepata alichokitaka. Kama alikuwa akifool wananchi, ni dhahiri sio mara ya kwanza kufool. Kuaminika katika kazi isiwe sababu ya kusema eti hatokosea, yeye ni binadamu na si malaika, akiri udhaifu au atoe ushahidi. Kumuamini yeye na gazeti la mwanahalisi isiwe ndio ngao ya kutafuta sympathy ya wananchi na kufukia makosa anayoyafanya.

I am not a journalist and I will never be. Waandishi wanaitegemea fani yangu kama ninavyoitegemea fani yao. Hata siku moja, never on planet earth ikatokea eti nikurupuke na kuanza kutoa news.... na wajibu wangu kwa jamii katika fani yangu nani afanye? hao waandishi eeh? kila mmoja anaiweza kazi ya mwenzie sio? Kama kila mtu anakurupuka kuwa mwandishi, no wonder wanaosema Tanzania hakuna media. Kwani inaposemwa serikali ni ya kifisadi, sio lazima kuwa kila aliye serikalini ni fisadi. Kubali critics uweke fani yako kwenye mstari.

Kuwa nje ya nchi sio lazima iwe USA. Na kuwa nje ya nchi hata kama sio Marekani haihusu kutokulifanyia au kulipigania Taifa. Kila mtu anapigania Taifa kwa anavyoweza na anonimity ya hapa JF haiwezi kukueleza mtu anapigania nchi yake ama kavuta suruali hadi chini ya kitovu na kubaki kuchekelea.

On the other hand, hakuna kitu kibaya kama dhana, kupost hapa kwa ajili ya chuki na wivu, hayo ni mambo ya kwenye rusha roho au kwenye kitchen party. Hapa kila mtu ameregister voluntarily, bila kujua nani anajua nini na nani hajui nini. So let one free not to concur with your know abouts. Hata maandishi yawe mengi na makubwa kiasi gani, huwezi kujua kila kitu dunia hii.
 
Of course,Uhuru/Mzalendo is more than a joke,as it it NEW Habari corp papers or TBC.Lakini tuna magazeti kama Mwanahalisi,Raia Mwema,Cheche la Mwanakijiji,na mengineyo

Cheche limeshakuwa gazeti? Hongera MKJJ
 




I get the same thing.

Kapicha kenyewe,
Bandwidth.jpg



[media]http://pichaz.jamiiforums.com/skin/default/sys_icons/Bandwidth.jpg[/media]
Kanatoka JF, hii sidhani ni tatizo lililopo kwa service provider wangu




.


Sasa naziona.




.
 
Mwanahalisi kafanya makosa kwa kuandika habari zisizo na evidence halafu aadhibiwe, na kati ya hao waandishi waandamane kupinga kwa nini gazeti lifungiwe!

Hakuna excuse ya kuwa waandishi walichemka over the boiling point pale walipoanza na kumfungia Mkuchika kwenye media coverage, na pili kuja kuandamana kisa eti mwanahalisi limefungiwa..tena kwa kosa ambalo liko dhahiri. Nilitegemea wangemuonya mwenzao kuwa aandike kufata ethics za kazi yao, ambayo ni investigative journalism...inaambatana na evidence. Vinginevyo hiyo habari yake angeipublish Global publishers. Hata kama Mkuchika kakurupuka, response ya waandishi imechemka. They would have sat and critical think about the actual steps to be taken againt the punishment.

Ni vigumu kuamini eti Kubenea ana evidence na anasubiri apelekwe mahakamani ndio atoe evidence huko. Hapa alikuwa anamfool nani? wananchi (wasomaji) au serikali. Kama alikuwa naifool serikali amepata alichokitaka. Kama alikuwa akifool wananchi, ni dhahiri sio mara ya kwanza kufool. Kuaminika katika kazi kazi isiwe sababu ya kusema eti hatokosea, yeye ni binadamu na si malaika, akiri udhaifu au atoe ushahidi. Kumuamini yeye na gazeti la mwanahalisi isiwe ndio ngao ya kutafuta sympathy ya wananchi na kufukia makosa anayoyafanya.

I am not a journalist and I will never be. Waandishi wanaitegemea fani yangu kama ninavyoitegemea fani yao. Hata siku moja, never on planet earth ikatokea eti nikurupuke na kuanza kutoa news.... na na wajibu wangu kwa jamii yangu katika fani yangu nani afanye? hao waandishi eeh? kila mmoja anaiweza kazi ya mwenzie sio. Kama kila amtu anakurupuka kuwa mwandishi, no wonder wanaosema Tanzania hakuna media. Kwani inaposemwa serikali ni ya kifisadi, sio lazima kuwa kila aliye serikalini ni fisadi. Kubali critics uweke fani yako kwenye mstari.

Kuwa nje ya nchi sio lazima iwe USA. Na kuwa nje ya nchi hata kama sio Marekani haihusu kutokulifanyia au kulipigania Taifa. Kila mtu anapigania Taifa kwa anavyoweza na anonimity ya hapa JF haiwezi kukueleza mtu anapigania nchi yake ama kavuta suruali hadi chini ya kitovu na kubaki kuchekelea.

On the other hand, hakuna kitu kibaya kama dhana, kupost hapa kwa ajili ya chuki na wivu, hayo ni mambo ya kwenye rusha roho au kwenye kitchen party. Hapa kila mtu ameregister voluntarily, bila kujua nani anajua nini na nani hajui nini. So let one free and not concur with your know abouts. Hata maandishi yawe mengi na makubwa kiasi gani, huwezi kujua kila kitu dunia hii.

Jamani Mama

Sasa huo ushahidi angeumwaga wapi wakati gazeti limefunguliwa? Si wamfungulie aendelee kuumwaga? Kama hana ushahidi kwa nini hawaendi kumfunga kwa kufanya uchochezi dhidi ya Rais kama walivyomshtaki Mtikila kwa kusema Mkapa ni raia wa Msumbiji?

Asha
 
Jamani Mama

Sasa huo ushahidi angeumwaga wapi wakati gazeti limefunguliwa? Si wamfungulie aendelee kuumwaga? Kama hana ushahidi kwa nini hawaendi kumfunga kwa kufanya uchochezi dhidi ya Rais kama walivyomshtaki Mtikila kwa kusema Mkapa ni raia wa Msumbiji?

Asha

Dear Asha

ni kwamba baada ya kujulikana kuwa habari aliyooandika ina walakin wa ushahidi, ikajaelezwa kuwa ushahidi anao na utapewa mawakili wake tu. Sasa hapa si kuthibitisha kuwa alitoa habari either kimafumbo au kuna kitu zaidi ya hicho ambacho hakutaka sisi wananchi tusio na DATAZ tukijue. Angesema kwenye hiyo makala kuwa ushahidi ni one, two, three sio kuchezea akili za watu hadi watu kumtetea kwa kitu ambacho hakijulikani undani wake. Kwa hili anastahili adhabu, ya kufungiwa na sio kufunguliwa.

Pili serikali imelifungia gazeti na si mwandishi. Kama ana uchungu na career yake, kwa nini basi asitoe ushahidi huo kwa njia yeyote ile iwayo? na kama ameonewa kwa nini haipeleki serikali mahakamani?
 
Dear Asha

ni kwamba baada ya kujulikana kuwa habari aliyooandika ina haina ushahidi, ikaelezwa kuwa ushahidi anao na utapewa mawakili wake tu. Sasa hapa si kuthibitisha kuwa alitoa habari either kimafumbo au kuna kitu zaidi ya hicho ambacho hakutaka sisi wananchi tusio na DATAZ tukijue. Angesema kwenye hiyo makala kuwa ushahidi ni one, two, three sio kuchezea akili za watu hadi watu kumtetea kwa kitu ambacho hakijulikani undani wake. Kwa hili anastahili adhabu.

Pili serikali imelifungia gazeti na si mwandishi. Kama ana uchungu na career yake, kwa nini basi asitoe ushahidi huo kwa njia yeyote ile iwayo? na kama ameonewa kwa nini haipeleki serikali mahakamani?


Dear Mama

perhaps I should begin by quoting you "Only God knows everything, Man can not know everything but can learn to know many things"

Why are you forcing Kubenea to go to court and you are not forcing the victims of the story that is Kikwete, Ridhwan Kikwete, Lowassa, Rostam or the Wenyeviti wa mikoa to rush to court?

The story was clear, it indicated the sources- now the ushahidi that the government wants from MwanaHALISI is for the editor to reveal his source as the confirmation that the story is true.

That being the case, the only place MwanaHALISI can reveal such sources is in COURT if the victims of the story decides to sue the paper.

The story was all about the secret meetings of CCM groups and the sources are the cycles inside and outside the respective groups.

Regarding Ridhwan being used by Lowassa against his father, Ridhwan himself had testified through his interview with Tanzania Daima that he is supporting Beno Malissa. Benno, apparently, is supported by Lowassa who apparrantely is no longer in sound terms with his father.

We readers have read all this sequence of events in variety of papers, don't you see the writings at the wall?

Asha
 
Dear Mama

perhaps I should begin by quoting you "Only God knows everything, Man can not know everything but can learn to know many things"

Why are you forcing Kubenea to go to court and you are not forcing the victims of the story that is Kikwete, Ridhwan Kikwete, Lowassa, Rostam or the Wenyeviti wa mikoa to rush to court?

The story was clear, it indicated the sources- now the ushahidi that the government wants from MwanaHALISI is for the editor to reveal his source as the confirmation that the story is true.

That being the case, the only place MwanaHALISI can reveal such sources is in COURT if the victims of the story decides to sue the paper.

The story was all about the secret meetings of CCM groups and the sources are the cycles inside and outside the respective groups.

Regarding Ridhwan being used by Lowassa against his father, Ridhwan himself had testified through his interview with Tanzania Daima that he is supporting Beno Malissa. Benno, apparently, is supported by Lowassa who apparrantely is no longer in sound terms with his father.

We readers have read all this sequence of events in variety of papers, don't you see the writings at the wall?

Asha


Let us learn to be responsible for our actions. Let him accept the punishment ,as he deserves it. Was a landslide with his mind, pen, keyboard or whatever and he will publish again after three months. Let the emotions not drive away from the reality.

I ve read the papers, and from what some editors are saying, that they know that Saed was not right in his article but what they are protesting is the ban of Mwanahalisi!!!!! Gimme a break, what kinda punishment they wanted for Mwanahalisi. If I was Kabanda I would slap Saed's cheeks twice and tell him 'watch out buddy'.

Ridhwan or whoever thinks against Kikwete is something else, why didnt he gave the ful story once? Why waiting for the court? plead guilty......This is an enigma of the end of this decade in Tanzanian media! Is that the evidence he will use against the punishment? Thank God I think against this.

I am not forcing any one to go to court, I think those awaiting the evidence before court are the ones forcing either part of this case to be put on trial.
 
Waberoya, lilipoanguka lile jengo pale Dar, na tunapoona barabara zilivyo mbaya au zinapojengwa kwa kulipuliwa au mhandisi anapofanya kitu kinyume cha maadili ya kazi yake itakuwa haki (kwa kiasi chochote kile) kusema kuwa "hakuna Wahandisi Tanzania" au uwezo wa kusema kwa Ujumla tu kuwa "uwezo wa Wahandisi Tanzania ni pathetic"? Hivi kweli tunashindwa kuqualify kauli nyepesi tu zinazomlenga mtu mmoja badala ya kufanya kile mwalimu wangu wa filosofia alikiita "haste generalization"?

Hivyo tunakubaliana na falacy ya "samaki mmoja akioza wameoza wote pia"? kuwa Injia mmoja akiharibu basi Mainjinia wote wameharibu? Kama kuna mtu ana issue na Kubenea why not deal with Kubenea, kama ni MwanaHalisi why not deal with Mwanahalisi, why this haste and uncalled condemnation of the whole group of professionals as if they a singular entity?

Hivi kweli unakubali kuwa "hakuna Uandishi wa habari Tanzania" au "Hakuna vyombo vya habari Tanzania"? Really?


Tuko pamoja kaka, OK, not all Journalist mbona nimepoint out your good. nilikuwa namtetea Game theory alivyogeneralise all media nikasema that sentense is common katika society yetu, common is not always right, sio vizuri kugeneralise wote , I agree with you. I n my case nina mpoint Kubenea.

QN: What is your take in this issue? Is Kibanda wrong saying Kubenea's news was not right/proper or whatever?

Thanks bro.

waberoya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom