Huu ndio ukweli mchungu watanzania wengi wamewahi kwenda kwa wataalam ila huwa ni siri ya kufa nayo kaburini, hakuna atayekubali kama ameenda au huwa anaenda kwa mganga
wahalifu hasa wa kusafirisha magendo, wizi, utapeli hawa karibu wote wanaenda kwa waganga
Wengi wakiumwa hospitali zikishindwa kutibu watahangaika sana makanisani misikitini na hospitali za ziada lakini mwishowe huamini ni ushirikina, ndipo safari kwa waganga zinapoanza
wafanyabiashara wengi biashara zikianza kuyumba wapo vulnerable kuamini kuna mkono wa mtu, pia mambo ya ulinzi wa kuzindika, kuvutia wateja, n.k. waganga wanatafutwa sana
wanawake wanaotaka malimbwata, kuroga wenzao, kupata waume, kutafuta watoto, n.k. wapo sana huko
wanasiasa kipindi cha ubunge huwa wanafanya kuwe na foleni huko
mtu akiibiwa ama kutaka kulipa kisasi huyoo kwa mganga
wakulima wengi ni wateja wa waganga
wahalifu hasa wa kusafirisha magendo, wizi, utapeli hawa karibu wote wanaenda kwa waganga
Wengi wakiumwa hospitali zikishindwa kutibu watahangaika sana makanisani misikitini na hospitali za ziada lakini mwishowe huamini ni ushirikina, ndipo safari kwa waganga zinapoanza
wafanyabiashara wengi biashara zikianza kuyumba wapo vulnerable kuamini kuna mkono wa mtu, pia mambo ya ulinzi wa kuzindika, kuvutia wateja, n.k. waganga wanatafutwa sana
wanawake wanaotaka malimbwata, kuroga wenzao, kupata waume, kutafuta watoto, n.k. wapo sana huko
wanasiasa kipindi cha ubunge huwa wanafanya kuwe na foleni huko
mtu akiibiwa ama kutaka kulipa kisasi huyoo kwa mganga
wakulima wengi ni wateja wa waganga