Mm nilimchagua Magufuli Kwa kuwa ilani ya CCM kimoja Wapo ilikuwa Ni kumpa elimu mtoto wa kike hata baada ya kuujifungua...lakini ilikuwa Ni utapeli mkubwa Na mijitu haina hata aibu imetulia....Rasmi siyapendi majitu ya hivi
Ndipo hapo imebidi nijikite kuangalia ilani yao je waliahidi kitu gani? Sasa nimebaki kuchanganyikiwa nikidani labda hawa wanaopinga maendeleo sio walioitangaza hii ilani au pengine waliiunga mkono kwa kulazimisha.