Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Ilani ya uchaguzi ya CHADEMA ya mwaka 2015 pamoja na mambo mengine, ilikuwa na mambo yafuatayo;
1. Kujenga reli mpya na kukarabati zilizopo kwa viwango vya kisasa kwa kuzingatia maslahi ya nchi.
2. Kuboresha bandari zilizopo na kujenga mpya kama vitega uchumi vya taifa ili kurejesha biashara tulizopoteza kwa nchi jirani.
3. Kujenga barabara nchini kwa kuzingatia ubora
4. Kujenga shirika la ndege la taifa
5. Kujenga miundombinu ya kisasa kwa lengo la kuondoa misongamano ya magari katika majiji, kuimarisha usafiri wa majini kwa kuboresha na kuweka miundombinu mipya.
1. Kujenga reli mpya na kukarabati zilizopo kwa viwango vya kisasa kwa kuzingatia maslahi ya nchi.
2. Kuboresha bandari zilizopo na kujenga mpya kama vitega uchumi vya taifa ili kurejesha biashara tulizopoteza kwa nchi jirani.
3. Kujenga barabara nchini kwa kuzingatia ubora
4. Kujenga shirika la ndege la taifa
5. Kujenga miundombinu ya kisasa kwa lengo la kuondoa misongamano ya magari katika majiji, kuimarisha usafiri wa majini kwa kuboresha na kuweka miundombinu mipya.