Elections 2015 Katika Ilani ya Uchaguzi ya CHADEMA 2015, haya ndiyo yaliyoahidiwa

Maboso

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
5,164
5,761
CHADEMA itafanya nini:
  • Kujenga reli mpya na kukarabati zilizopo kwa viwango vya kisasa kwa kuzingatia maslahi ya nchi. Hii ni pamoja na kujenga uwezo wa kuzalisha mataluma ya reli nchini.
  • Kuboresha bandari zilizopo na kujenga mpya kama vitega uchumi vya Taifa ili kurejesha biashara tulizopoteza kwa bandari za nchi jirani.
  • Kujenga barabara nchini kwa kuzingatia ubora hasa zile za vijijini.
  • Kujenga shirika la Ndege la Taifa linalojiendesha kwa misingi ya faida.
  • Kujenga miundombinu ya kisasa ili kuondoa misongamano ya magari hasa katika majiji ya Dar es salaam, Mwanza, Kuimarisha usafiri wa majini kwa kuboresha na kuweka miundo mbinu mipya.
Matokeo tarajiwa:
  • Bandari kuwa njia kuu ya uchumi kwa kuhudumia kilimo na viwanda. Na pia, kuchangia zaidi ya theluthi moja ya pato la Taifa.
  • Shirika la ndege la Taifa (Air Tanzania) kuimarishwa ili kutoa huduma nchini na nje ya nchi huku likijiendesha kibiashara zaidi na kwa fiada.
  • Wananchi hasa wa visiwani kupata huduma muhimu za kiuchumi na kijamii.
  • Mizigo yote mizito kusafirishwa kwa njia ya reli na meli ili kupunguza gharama na kuongeza tija katika uzalishaji. Kupunguza ajali na kulinda miundo mbinu.
  • Barabara zinazodumu na zilizo salama zaidi kwa watumiaji.
Sasa msikilize Lema



Na hii ndio Ilani ya uchaguzi ya Chadema 2015. Pitia ukurasa wa 40 na 41
 

Attachments

  • ILANI-YA-UCHAGUZI-MKUU-WA-RAIS-WABUNGE-NA-MADIWANI-UKAWA-2015-2020.pdf
    3.4 MB · Views: 2
..tujikite kwenye Shirika la Ndege la Taifa linalojiendesha kwa FAIDA.

..Je, ATCL inaendeshwa kwa faida?

..au ni lini ATCL itaanza kujitegemea na kupata faida?

..tukiweza kujibu maswali hayo ndipo tutakapojua busara ya kununua ndege za ma ilioni wakati hali yetu ya uchumi iko namna hii.
 
..tujikite kwenye Shirika la Ndege la Taifa linalojiendesha kwa FAIDA.

..Je, ATCL inaendeshwa kwa faida?

..au ni lini ATCL itaanza kujitegemea na kupata faida?

..tukiweza kujibu maswali hayo ndipo tutakapojua busara ya kununua ndege za ma ilioni wakati hali yetu ya uchumi iko namna hii.
Katika hali ya kawaida, huwezi kuanza kupata faida kwa muda mfupi kiasi hiki katika investment kubwa kama iliyofanywa kwa ATCL. Mpango mkakati wa miaka mitano kwa ATCL ilikuwa ni kuwekeza katika ununuzi wa ndege. Bila shaka mpango mkakati unaofuata hautakuwa ununuzi tena, bali namna gani ya kuzitumia hizi ndege kutengeneza biashara yenye faida kubwa na kuweza kurudisha pesa yote iliyotumika kufanya investment.
 
Katika hali ya kawaida, huwezi kuanza kupata faida kwa muda mfupi kiasi hiki katika investment kubwa kama iliyofanywa kwa ATCL. Mpango mkakati wa miaka mitano kwa ATCL ilikuwa ni kuwekeza katika ununuzi wa ndege. Bila shaka mpango mkakati unaofuata hautakuwa ununuzi tena, bali namna gani ya kuzitumia hizi ndege kutengeneza biashara yenye faida kubwa na kuweza kurudisha pesa yote uliyotumiwa kufanya investment.
Umemaliza
 
..tujikite kwenye Shirika la Ndege la Taifa linalojiendesha kwa FAIDA.

..Je, ATCL inaendeshwa kwa faida?

..au ni lini ATCL itaanza kujitegemea na kupata faida?

..tukiweza kujibu maswali hayo ndipo tutakapojua busara ya kununua ndege za ma ilioni wakati hali yetu ya uchumi iko namna hii.
Kwa sasa wenye ilani wanatuambia ndege siyo kipaumbele haijalishi inajiendesha kwa faida au hasara kwa kuwa hakuna wanakijiji kwenye ziara za viongozi waliowahi kutaja kero yao kuwa usafiri wa anga.

Vipi una maoni gani kuhusu hilo?
 
CHADEMA itafanya nini:
  • Kujenga reli mpya na kukarabati zilizopo kwa viwango vya kisasa kwa kuzingatia maslahi ya nchi. Hii ni pamoja na kujenga uwezo wa kuzalisha mataluma ya reli nchini.
  • Kuboresha bandari zilizopo na kujenga mpya kama vitega uchumi vya Taifa ili kurejesha biashara tulizopoteza kwa bandari za nchi jirani.
  • Kujenga barabara nchini kwa kuzingatia ubora hasa zile za vijijini.
  • Kujenga shirika la Ndege la Taifa linalojiendesha kwa misingi ya faida.
  • Kujenga miundombinu ya kisasa ili kuondoa misongamano ya magari hasa katika majiji ya Dar es salaam, Mwanza, Kuimarisha usafiri wa majini kwa kuboresha na kuweka miundo mbinu mipya.
Matokeo tarajiwa:
  • Bandari kuwa njia kuu ya uchumi kwa kuhudumia kilimo na viwanda. Na pia, kuchangia zaidi ya theluthi moja ya pato la Taifa.
  • Shirika la ndege la Taifa (Air Tanzania) kuimarishwa ili kutoa huduma nchini na nje ya nchi huku likijiendesha kibiashara zaidi na kwa fiada.
  • Wananchi hasa wa visiwani kupata huduma muhimu za kiuchumi na kijamii.
  • Mizigo yote mizito kusafirishwa kwa njia ya reli na meli ili kupunguza gharama na kuongeza tija katika uzalishaji. Kupunguza ajali na kulinda miundo mbinu.
  • Barabara zinazodumu na zilizo salama zaidi kwa watumiaji.
Sasa msikilize Lema



Na hii ndio Ilani ya uchaguzi ya Chadema 2015. Pitia ukurasa wa 40 na 41
Lema anachekesha angekuwaje Mbunge bila kuwa na washangiliaji?
 
..tujikite kwenye Shirika la Ndege la Taifa linalojiendesha kwa FAIDA.

..Je, ATCL inaendeshwa kwa faida?

..au ni lini ATCL itaanza kujitegemea na kupata faida?

..tukiweza kujibu maswali hayo ndipo tutakapojua busara ya kununua ndege za ma ilioni wakati hali yetu ya uchumi iko namna hii.
Kwa sasa ATCL ipo kwenye "workout" ni lazima ibebwe kwa kipindi fulani
 
Katika hali ya kawaida, huwezi kuanza kupata faida kwa muda mfupi kiasi hiki katika investment kubwa kama iliyofanywa kwa ATCL. Mpango mkakati wa miaka mitano kwa ATCL ilikuwa ni kuwekeza katika ununuzi wa ndege. Bila shaka mpango mkakati unaofuata hautakuwa ununuzi tena, bali namna gani ya kuzitumia hizi ndege kutengeneza biashara yenye faida kubwa na kuweza kurudisha pesa yote iliyotumika kufanya investment.

..good.

..Je, wakati atcl haitengenezi faida serikali imepanga kulipa shirika RUZUKU kiasi gani?

..na baada ya hiyo miaka mitano ya kubebwa na serikali tunatarajia atcl itengeneze faida kiasi gani?

..Rwanda Airways walikuwa na mpango wa miaka 5. Baadae wakasema miaka 10. Rwanda hawajawahi kupata faida tangu waanzishe shirika lao.Majuzi wamesalimu amri kwa kuingia ubia na Qatar Airways.

..South Africa wana abiria wengi kuliko sisi. Na pia wana uchumi imara kuliko wa kwetu. Miaka miwili iliyopita walilazimika kulipatia shirika lao la ndege usd 300 million ili liweze kujiendesha.

..Bahamas wanapokea watalii wengi mara 4 ya watalii wanaokuja Tz. Shirika lao la ndege mwaka jana limepata faida ya usd 500,000.

..Kwa hiyo mimi kwa maoni yangu nadhani kumiliki shirika la ndege ni BIASHARA KICHAA / PASUA KICHWA. Ina gharama kubwa ktk uwekezaji, na faida kiduchu mno.
 
Kwa sasa wenye ilani wanatuambia ndege siyo kipaumbele haijalishi inajiendesha kwa faida au hasara kwa kuwa hakuna wanakijiji kwenye ziara za viongozi waliowahi kutaja kero yao kuwa usafiri wa anga.

Vipi una maoni gani kuhusu hilo?

..Na nyinyi mnaunga mkono manunuzi ya ndege haijalishi kama atcl itaendeshwa kwa hasara kwa muda mrefu.
 
Kama mliyaona haya yote, ni kwanini mliyaweka katika ilani yenu ya 2015?
Inamaana msingetekeleza ilani hiyo au ndio kila kitu kupinga tu
..good.

..Je, wakati atcl haitengenezi faida serikali imepanga kulipa shirika RUZUKU kiasi gani?

..na baada ya hiyo miaka mitano ya kubebwa na serikali tunatarajia atcl itengeneze faida kiasi gani?

..Rwanda Airways walikuwa na mpango wa miaka 5. Baadae wakasema miaka 10. Rwanda hawajawahi kupata faida tangu waanzishe shirika lao.Majuzi wamesalimu amri kwa kuingia ubia na Qatar Airways.

..South Africa wana abiria wengi kuliko sisi. Na pia wana uchumi imara kuliko wa kwetu. Miaka miwili iliyopita walilazimika kulipatia shirika lao la ndege usd 300 million ili liweze kujiendesha.

..Bahamas wanapokea watalii wengi mara 4 ya watalii wanaokuja Tz. Shirika lao la ndege mwaka jana limepata faida ya usd 500,000.

..Kwa hiyo mimi kwa maoni yangu nadhani kumiliki shirika la ndege ni BIASHARA KICHAA / PASUA KICHWA. Ina gharama kubwa ktk uwekezaji, na faida kiduchu mno.
 
Kama mliyaona haya yote, ni kwanini mliyaweka katika ilani yenu ya 2015?
Inamaana msingetekeleza ilani hiyo au ndio kila kitu kupinga tu

..mimi sikuhusika kuandika ilani ya cdm.

..pia nimesema nilikuwa napinga serikali kumiliki shirika la ndege tangu Jpm hajaingia madarakani. Unaweza kutafuta mabandiko yangu hapa JF kujiridhisha.

..nyinyi mna ugonjwa wa kumuabudu Jpm. Kila uamuzi anaoufanya hata kama unasababisha hasara mnamuunga mkono.
 
..good.

..Je, wakati atcl haitengenezi faida serikali imepanga kulipa shirika RUZUKU kiasi gani?

..na baada ya hiyo miaka mitano ya kubebwa na serikali tunatarajia atcl itengeneze faida kiasi gani?

..Rwanda Airways walikuwa na mpango wa miaka 5. Baadae wakasema miaka 10. Rwanda hawajawahi kupata faida tangu waanzishe shirika lao.Majuzi wamesalimu amri kwa kuingia ubia na Qatar Airways.

..South Africa wana abiria wengi kuliko sisi. Na pia wana uchumi imara kuliko wa kwetu. Miaka miwili iliyopita walilazimika kulipatia shirika lao la ndege usd 300 million ili liweze kujiendesha.

..Bahamas wanapokea watalii wengi mara 4 ya watalii wanaokuja Tz. Shirika lao la ndege mwaka jana limepata faida ya usd 500,000.

..Kwa hiyo mimi kwa maoni yangu nadhani kumiliki shirika la ndege ni BIASHARA KICHAA / PASUA KICHWA. Ina gharama kubwa ktk uwekezaji, na faida kiduchu mno.
Hahahahaha kwa hyo Bahamas wanapata faida kwenye utalii na sio hyo biashara uliyosema KICHAA. nadhani ndio lengo la serikali yetu pia. Sio watalii wapande Kenya Airline watue Nairobi then waletwe na Gari zao Tz. Magu aendelee kununua mandege hata buku. Hii ni kama kuuza Duka unapata hasara ya mafuta ya kupikia faida inatoka kwenye chumvi na viberiti....
 
CHADEMA itafanya nini:
  • Kujenga reli mpya na kukarabati zilizopo kwa viwango vya kisasa kwa kuzingatia maslahi ya nchi. Hii ni pamoja na kujenga uwezo wa kuzalisha mataluma ya reli nchini.
  • Kuboresha bandari zilizopo na kujenga mpya kama vitega uchumi vya Taifa ili kurejesha biashara tulizopoteza kwa bandari za nchi jirani.
  • Kujenga barabara nchini kwa kuzingatia ubora hasa zile za vijijini.
  • Kujenga shirika la Ndege la Taifa linalojiendesha kwa misingi ya faida.
  • Kujenga miundombinu ya kisasa ili kuondoa misongamano ya magari hasa katika majiji ya Dar es salaam, Mwanza, Kuimarisha usafiri wa majini kwa kuboresha na kuweka miundo mbinu mipya.
Matokeo tarajiwa:
  • Bandari kuwa njia kuu ya uchumi kwa kuhudumia kilimo na viwanda. Na pia, kuchangia zaidi ya theluthi moja ya pato la Taifa.
  • Shirika la ndege la Taifa (Air Tanzania) kuimarishwa ili kutoa huduma nchini na nje ya nchi huku likijiendesha kibiashara zaidi na kwa fiada.
  • Wananchi hasa wa visiwani kupata huduma muhimu za kiuchumi na kijamii.
  • Mizigo yote mizito kusafirishwa kwa njia ya reli na meli ili kupunguza gharama na kuongeza tija katika uzalishaji. Kupunguza ajali na kulinda miundo mbinu.
  • Barabara zinazodumu na zilizo salama zaidi kwa watumiaji.
Sasa msikilize Lema



Na hii ndio Ilani ya uchaguzi ya Chadema 2015. Pitia ukurasa wa 40 na 41

Uende mbali think wide! huwezi kufanya hayo yote wakati wananchi hawana maji, you have to srike the balance. There is no striking balance with Jiwe!
 
Back
Top Bottom