Mazingira yalionesha wazi kuwa Kibaki alipora ushindi kule Kenya tukizingatia matamshi ya Bwana Kiviutu aliyekuwa mkurugenzi wa tume ya uchaguzi Kenya.
Hata Zanzibar 1995 kulikuwa na kila dalili za mshindi kuwa ni Seif. Hata kituo cha DTV kilishatangaza kabla ya kupigwa mkwara ya tume kutangaza kuwa komandoo kashinda kwa chini ya asilimia moja. Nafikiri kijana ana hoja.
hapo sawa.uko sahihi kabisa.sasa yeye anachukua ile hali ya kenya anailinganisha na ushindani na matokeo katika uchaguzi wa raisi tanzania 2010.hivi ni sahihi kulinganisha chaguzi hizi mbili?
mimi nadhani utoto wako na kutofuatilia mambo kweli utakuwa umechangia kufikiri kama unavyofikiri.kwani kenya ODINGA alipata kura ngapi na KIbaki alipata ngapi?ni upi ulikuwa msimamo wa tume ya uchaguzi ya kenya kuhusu matokeo?ni upi ulikuwa msimamo wa waangalizi wa kumataifa kuhusu matokeo yale?ni upi ulikuwa msimamo wa mashirika ya kimataifa na mataifa mbalimbali juu ya uchaguzi ule?je?unafahamu slaa alipata kura asilimia ngapi dhidi ya rais kipenzi cha watu Ndug.JAKAYA KIKWETE? JE?unafahamu nini ulikuwa msimamo wa tume ya uchaguzi tanzania na waangalizi mbalimbali wa uchaguzi?je?unadhani slaa alikuwa na haki ya kukataa matokeo;au kufanya hivyo ingekuwa ni kosa kisheria na madhara yote ambayo yangejitokeza ingekuwa ni matokeo ya kosa hilo?kama kufanya hivyo ingekuwa ni kosa;vipi umpongeze mtu kwa kutofanya kitu ambacho hata hivyo hakutakiwa akifanye?
Hebu nisaidie nimejaribu kutafuta matokeo ya urais kwa kila jimbo kwenye tovuti ya Tume ya taifa ya uchaguzi (2010 )nimeshindwa ! Wewe uliyapataje kaka ? Bila shaka unaweza kunisaidia , unaonekana una akili sana .
ufisadi mkubwa kwenye nchi hii ulifanyika kipindi cha mkapa.alivyo ingia kikwete akaachia watu uhuru wa hali ya juu,ndo mimi na wewe tukajua kwamba kumbe kuna ufisadi.kuhusu kuwa kikwete ni kipenzi cha nani wewe angalia matokeo ya uchaguzi mwaka 2005 na 2010 utajua ni kipenzi cha nani.tutumie facts bwana tuache chuki binafsi.au huamini matokeo ya demokrasia?
Watu waliopiga kura 2010 nafikiri hawazidi 50% ya waliojiandikisha na pia hawazidi 27% ya idadi ya watanzania wakati huo, sasa mimi nawaza tu huenda wale ambao huwa hawapigi kura hufanya hivyo kwa kuamini hata wakipiga kura kumchagua mtu kutoka chama kingine tume itatangaza mshindi toka ccm! sasa mimi nawaza tu hawa watu sasa wanaona uwezekano wa matokeo kutangazwa kwa utashi wa wengi yawezekana 2015 na watapiga kura, sasa fikiri kwa kutumia akili na utapata jibu la 2015.
mimi nadhani utoto wako na kutofuatilia mambo kweli utakuwa umechangia kufikiri kama unavyofikiri.kwani kenya ODINGA alipata kura ngapi na KIbaki alipata ngapi?ni upi ulikuwa msimamo wa tume ya uchaguzi ya kenya kuhusu matokeo?ni upi ulikuwa msimamo wa waangalizi wa kumataifa kuhusu matokeo yale?ni upi ulikuwa msimamo wa mashirika ya kimataifa na mataifa mbalimbali juu ya uchaguzi ule?je?unafahamu slaa alipata kura asilimia ngapi dhidi ya rais kipenzi cha watu Ndug.JAKAYA KIKWETE? JE?unafahamu nini ulikuwa msimamo wa tume ya uchaguzi tanzania na waangalizi mbalimbali wa uchaguzi?je?unadhani slaa alikuwa na haki ya kukataa matokeo;au kufanya hivyo ingekuwa ni kosa kisheria na madhara yote ambayo yangejitokeza ingekuwa ni matokeo ya kosa hilo?kama kufanya hivyo ingekuwa ni kosa;vipi umpongeze mtu kwa kutofanya kitu ambacho hata hivyo hakutakiwa akifanye?
watu waliopiga kura 2010 nafikiri hawazidi 50% ya waliojiandikisha na pia hawazidi 27% ya idadi ya watanzania wakati huo, sasa mimi nawaza tu huenda wale ambao huwa hawapigi kura hufanya hivyo kwa kuamini hata wakipiga kura kumchagua mtu kutoka chama kingine tume itatangaza mshindi toka ccm! Sasa mimi nawaza tu hawa watu sasa wanaona uwezekano wa matokeo kutangazwa kwa utashi wa wengi yawezekana 2015 na watapiga kura, sasa fikiri kwa kutumia akili na utapata jibu la 2015.
Hebu nisaidie nimejaribu kutafuta matokeo ya urais kwa kila jimbo kwenye tovuti ya Tume ya taifa ya uchaguzi (2010 )nimeshindwa ! Wewe uliyapataje kaka ? Bila shaka unaweza kunisaidia , unaonekana una akili sana .
Baada ya siku tano za kusubiri matokeo ya kura zilizopigwa na wananchi siku ya Jumapili, Oktoba 31, 2010 ili kumpata mtu atakayekimiliki kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kipindi cha kuanzia Novemba 2010 hadi Oktoba 2015, hatimaye matokeo hayo yametolewa na Tume ya Uchaguzi Tanzania, NEC, katika viwanja vya Karimjee jijini Dar Es Salaam. Maelezo kwa ufupi yalikuwa ni kwa vielelezo vifuatavyo:
Watu waliojiandikisha kupiga kura walikuwa 20,137,303 (idadi hiyo ilipungua hadi Milioni 19 kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za vifo, safari, kupoteza shahada, nk).
Watu waliopiga kura walikuwa 8,626,283 sawa na asilimia 42.84% (ya wote waliojiandikisha)
Kura zilizoharibika ni 227,889 ambazo ni asilimia 2.64% ya kura zote zilizopigwa.
Kura halali zilikuwa 8,393,394 yaani asilimia 97.36% ya kura zote zilizopigwa.
Matokeo kwa mlinganyo wa kura kwa vyama na wagombezi wake ni kama ifuatavyo:
Dovutwa Yahmi Nassoro/UPDP kura 13,176 = 0.15%
Mgahywa Muttamwega Bhatt/TLP kura 17,482 = 0.20%
Rungwe Hashim Spunga/NCCR-Mageuzi kura 26,388 = 0.31%
Kuga Peter Mziray/APPT Maendeleo kura 96,933 = 1.12%
Lipumba Ibrahim Haruna/CUF kura 695,667 = 8.06%
Slaa Willibrod Peter/CHADEMA kura 2,271,941 = 26.34%
Kikwete Jakaya Mrisho/CCM kura 5,276,827= 61.17%
Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete ataapishwa rasmi kesho Jumamosi 6 Novemba 2010 kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hafla hiyo itafanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar Es Salaam. Kikwete anaishika nafasi hii kwa mara ya pili na ya mwisho kwa mujibu wa maelekezo ya katiba ya sasa ya Tanzania.
Kwa taarifa zaidi, maswali, ushauri, mapendekezo, dukuduku nk, tafadhali wasiliana na NEC.go.tz
Kwanza nikupongeze kwakutukumbusha kuwa,....kilichotokea mwaka 2005ni hekima maana kiukweli kuna utofauti mkubwa sana kati ya dokt wakupewa na wakusomea tunahitaji kiongozi kama huyo aongoze tz. Labda niwakumbushe wana jf kuwa d.p. Slaa akisema kuwa hataki rushwa anamaanisha kuwa hataki hata ukimtazama unaona kuwa kauli hiyo ina toka moyoni, nimtu mkweli na ana hofu kwa Mungu, Anauchungu juu ya watz
Dogo kaza buti unaonyesha una uelewa mzuri, na inaonekana wewe ni mzuri sana, ushauri pigana na shule kwanza halafu baadae uje kukabana na magamba ukiwa kama kamanda!
mimi nadhani utoto wako na kutofuatilia mambo kweli utakuwa umechangia kufikiri kama unavyofikiri.kwani kenya ODINGA alipata kura ngapi na KIbaki alipata ngapi?ni upi ulikuwa msimamo wa tume ya uchaguzi ya kenya kuhusu matokeo?ni upi ulikuwa msimamo wa waangalizi wa kumataifa kuhusu matokeo yale?ni upi ulikuwa msimamo wa mashirika ya kimataifa na mataifa mbalimbali juu ya uchaguzi ule?je?unafahamu slaa alipata kura asilimia ngapi dhidi ya rais kipenzi cha watu Ndug.JAKAYA KIKWETE? JE?unafahamu nini ulikuwa msimamo wa tume ya uchaguzi tanzania na waangalizi mbalimbali wa uchaguzi?je?unadhani slaa alikuwa na haki ya kukataa matokeo;au kufanya hivyo ingekuwa ni kosa kisheria na madhara yote ambayo yangejitokeza ingekuwa ni matokeo ya kosa hilo?kama kufanya hivyo ingekuwa ni kosa;vipi umpongeze mtu kwa kutofanya kitu ambacho hata hivyo hakutakiwa akifanye?
je wewe unajua idadi ya jumla ya kura za urais 2010 ? Maana mpaka leo hii idadi ijatolewa ,nani vema ukazingatia kwenye kesi ya mnyika jimbo moja tuu la ubunge zilipatikana kura za watu hewa elfu kumi na nne .zidisha mara majimbo yote ambayo chadema hawakusimamisha wagombea ubunge.natena hii imegundulika baada ya kesi kufikishwa mahakamani .je kuliko kuwa hakuna wagombea wa cdm ilikuwaje ?
Hukuombwa matokeo ya URAIS wa Tanzania mwaka 2010 kwa ujumla. Amekuomba matokeo ya Urais wa Tanzania mwaka 2010 kwa KILA JIMBO. Wewe unatoa ya jumla, sijui huwa mnawahi nini kujibu bila kusoma?
Ni heri wala usingelijibu kabisa kuliko kuweka jibu ya swali ambalo hujaulizwa.
Faida ya Baiskeli ni nini? Jibu: "Spoko za Baiskeli ni nzuri sana kwa kufanyia mishikaki."
Baada ya siku tano za kusubiri matokeo ya kura zilizopigwa na wananchi siku ya Jumapili, Oktoba 31, 2010 ili kumpata mtu atakayekimiliki kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kipindi cha kuanzia Novemba 2010 hadi Oktoba 2015, hatimaye matokeo hayo yametolewa na Tume ya Uchaguzi Tanzania, NEC, katika viwanja vya Karimjee jijini Dar Es Salaam. Maelezo kwa ufupi yalikuwa ni kwa vielelezo vifuatavyo:
Watu waliojiandikisha kupiga kura walikuwa 20,137,303 (idadi hiyo ilipungua hadi Milioni 19 kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za vifo, safari, kupoteza shahada, nk).
Watu waliopiga kura walikuwa 8,626,283 sawa na asilimia 42.84% (ya wote waliojiandikisha)
Kura zilizoharibika ni 227,889 ambazo ni asilimia 2.64% ya kura zote zilizopigwa.
Kura halali zilikuwa 8,393,394 yaani asilimia 97.36% ya kura zote zilizopigwa.
Matokeo kwa mlinganyo wa kura kwa vyama na wagombezi wake ni kama ifuatavyo:
Dovutwa Yahmi Nassoro/UPDP kura 13,176 = 0.15%
Mgahywa Muttamwega Bhatt/TLP kura 17,482 = 0.20%
Rungwe Hashim Spunga/NCCR-Mageuzi kura 26,388 = 0.31%
Kuga Peter Mziray/APPT Maendeleo kura 96,933 = 1.12%
Lipumba Ibrahim Haruna/CUF kura 695,667 = 8.06%
Slaa Willibrod Peter/CHADEMA kura 2,271,941 = 26.34%
Kikwete Jakaya Mrisho/CCM kura 5,276,827= 61.17%
Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete ataapishwa rasmi kesho Jumamosi 6 Novemba 2010 kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hafla hiyo itafanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar Es Salaam. Kikwete anaishika nafasi hii kwa mara ya pili na ya mwisho kwa mujibu wa maelekezo ya katiba ya sasa ya Tanzania.
Kwa taarifa zaidi, maswali, ushauri, mapendekezo, dukuduku nk, tafadhali wasiliana na NEC.go.tz
Dogo big up. Odinga aliibiwa kura hakuna asiejua yule mwenyekiti wa tume ya kenya alitangaza matokeo kwakushinikizwa ndio maana mwisho wa siku alijiuzuru Slaa ndo kabisaaa ni Rais ambaye hata Mungu anajua. JK anajua kabisa kwamba hakushinda ndo maana he is the worst President in Tanzania. Big up kwake Slaa ndo maana hata nyota yake bado inawaka.
mimi nadhani utoto wako na kutofuatilia mambo kweli utakuwa umechangia kufikiri kama unavyofikiri.kwani kenya ODINGA alipata kura ngapi na KIbaki alipata ngapi?ni upi ulikuwa msimamo wa tume ya uchaguzi ya kenya kuhusu matokeo?ni upi ulikuwa msimamo wa waangalizi wa kumataifa kuhusu matokeo yale?ni upi ulikuwa msimamo wa mashirika ya kimataifa na mataifa mbalimbali juu ya uchaguzi ule?je?unafahamu slaa alipata kura asilimia ngapi dhidi ya rais kipenzi cha watu Ndug.JAKAYA KIKWETE? JE?unafahamu nini ulikuwa msimamo wa tume ya uchaguzi tanzania na waangalizi mbalimbali wa uchaguzi?je?unadhani slaa alikuwa na haki ya kukataa matokeo;au kufanya hivyo ingekuwa ni kosa kisheria na madhara yote ambayo yangejitokeza ingekuwa ni matokeo ya kosa hilo?kama kufanya hivyo ingekuwa ni kosa;vipi umpongeze mtu kwa kutofanya kitu ambacho hata hivyo hakutakiwa akifanye?
kwa swali moja ni kuwa kura za Slaa hazijulikani na wala za JK hazijulikani sio tume ya uchaguzi wala kwene vyama vyao wala kwa msajili wa vyama mfano niambie matokeo ya urais jimboni kwako Jk alipata ngapi?
Hebu nisaidie nimejaribu kutafuta matokeo ya urais kwa kila jimbo kwenye tovuti ya Tume ya taifa ya uchaguzi (2010 )nimeshindwa ! Wewe uliyapataje kaka ? Bila shaka unaweza kunisaidia , unaonekana una akili sana .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.