Alikuwa hana sababu ya msingi ya kuwaambia watanzania kuwa ndiye mshindi wakati ukweli anaujua na alikuwa anaendekeza hasira za kabila lake. Idadi ya Wabunge wa CDM ndo kipimo tosha hata kwa mtoto mdogo kama wewe kuwa kura alizopata SLAA ndiyo ilikuwa stahiki yake na si vinginevyo. Hakuna mwananchi ambaye angemwaga damu wakati wengi wanajua walimpigia JK.
Kikwete ni kipenzi chako wewe na unafaidika sana na dhuluma amazoifanyia nchi yetu. kumbuka wengi tunateseka na kufa kutokana na ufisadi uliokidhiri wa raisi huyu na seriakali yake DHAIFU. Siku moja Italia kama sii hapa huko mbele ya safari.mimi nadhani utoto wako na kutofuatilia mambo kweli utakuwa umechangia kufikiri kama unavyofikiri.kwani kenya ODINGA alipata kura ngapi na KIbaki alipata ngapi?ni upi ulikuwa msimamo wa tume ya uchaguzi ya kenya kuhusu matokeo?ni upi ulikuwa msimamo wa waangalizi wa kumataifa kuhusu matokeo yale?ni upi ulikuwa msimamo wa mashirika ya kimataifa na mataifa mbalimbali juu ya uchaguzi ule?je?unafahamu slaa alipata kura asilimia ngapi dhidi ya rais kipenzi cha watu Ndug.JAKAYA KIKWETE? JE?unafahamu nini ulikuwa msimamo wa tume ya uchaguzi tanzania na waangalizi mbalimbali wa uchaguzi?je?unadhani slaa alikuwa na haki ya kukataa matokeo;au kufanya hivyo ingekuwa ni kosa kisheria na madhara yote ambayo yangejitokeza ingekuwa ni matokeo ya kosa hilo?kama kufanya hivyo ingekuwa ni kosa;vipi umpongeze mtu kwa kutofanya kitu ambacho hata hivyo hakutakiwa akifanye?
Unamwita HECHE, dogo kwa vile amekuja kivingine kumpamba bosi wake.
ufisadi mkubwa kwenye nchi hii ulifanyika kipindi cha mkapa.alivyo ingia kikwete akaachia watu uhuru wa hali ya juu,ndo mimi na wewe tukajua kwamba kumbe kuna ufisadi.kuhusu kuwa kikwete ni kipenzi cha nani wewe angalia matokeo ya uchaguzi mwaka 2005 na 2010 utajua ni kipenzi cha nani.tutumie facts bwana tuache chuki binafsi.au huamini matokeo ya demokrasia?Kikwete ni kipenzi chako wewe na unafaidika sana na dhuluma amazoifanyia nchi yetu. kumbuka wengi tunateseka na kufa kutokana na ufisadi uliokidhiri wa raisi huyu na seriakali yake DHAIFU. Siku moja Italia kama sii hapa huko mbele ya safari.
Alikuwa hana sababu ya msingi ya kuwaambia watanzania kuwa ndiye mshindi wakati ukweli anaujua na alikuwa anaendekeza hasira za kabila lake. Idadi ya Wabunge wa CDM ndo kipimo tosha hata kwa mtoto mdogo kama wewe kuwa kura alizopata SLAA ndiyo ilikuwa stahiki yake na si vinginevyo. Hakuna mwananchi ambaye angemwaga damu wakati wengi wanajua walimpigia JK.
mkuu lissu kaondoka songea?Kama kweli wewe ni mwanafunzi wa kidato chatatu bila kujali undani wa mada yako mi nakupongeza kwa kupanga angalau maelezo mazuri safi sana kijana utakuwa mfano mzuri wa eilimu yetu
Safi sana Dogo kwa kujiamini!wor out brother,nimependa tu kujiita hivyo
mkuu unajuaje hakuna ambaye angemwaga damu?.pia acha element za ukabila!Alikuwa hana sababu ya msingi ya kuwaambia watanzania kuwa ndiye mshindi wakati ukweli anaujua na alikuwa anaendekeza hasira za kabila lake. Idadi ya Wabunge wa CDM ndo kipimo tosha hata kwa mtoto mdogo kama wewe kuwa kura alizopata SLAA ndiyo ilikuwa stahiki yake na si vinginevyo. Hakuna mwananchi ambaye angemwaga damu wakati wengi wanajua walimpigia JK.
mkuu kwa hiyo angejiita SIR J,angekuwa january makamba? Mkuu mbavu zangu mie!Unamwita HECHE, dogo kwa vile amekuja kivingine kumpamba bosi wake.
mimi nadhani utoto wako na kutofuatilia mambo kweli utakuwa umechangia kufikiri kama unavyofikiri.kwani kenya ODINGA alipata kura ngapi na KIbaki alipata ngapi?ni upi ulikuwa msimamo wa tume ya uchaguzi ya kenya kuhusu matokeo?ni upi ulikuwa msimamo wa waangalizi wa kumataifa kuhusu matokeo yale?ni upi ulikuwa msimamo wa mashirika ya kimataifa na mataifa mbalimbali juu ya uchaguzi ule?je?unafahamu slaa alipata kura asilimia ngapi dhidi ya rais kipenzi cha watu Ndug.JAKAYA KIKWETE? JE?unafahamu nini ulikuwa msimamo wa tume ya uchaguzi tanzania na waangalizi mbalimbali wa uchaguzi?je?unadhani slaa alikuwa na haki ya kukataa matokeo;au kufanya hivyo ingekuwa ni kosa kisheria na madhara yote ambayo yangejitokeza ingekuwa ni matokeo ya kosa hilo?kama kufanya hivyo ingekuwa ni kosa;vipi umpongeze mtu kwa kutofanya kitu ambacho hata hivyo hakutakiwa akifanye?