hahahahaaaaaaaa duuuuu mkuu umesababisha ni cheke sanaNingemuomba Mungu akibariki chakula cha hao wadosi waliopumzika pembeni
Unaweza ukakuta huyo jamaa ashakusha saa nyingi.
Hao dawa yao ni kuwafuata tu, wataanza kugombana wao kwa wao we unapita kilaini, natania tu hapo nitaogelea kama boti za Azam express