Duh...nimecheka sana leo.Yaani jamani kuna vyama vyenye Burudani Tanzania hii.
mrema vyama anavyokuwa mwenyekiti anaviendesha kama kiosk chake cha vinywaji baridi
ina maana mbowe anaweza kuhamka tu na kumfuza dr slaa?
please vyama vipewe grade sasa this is too LOW au alikuwa amelala?
Kuna mkutano wa chama cha TLP ulikaa ndio umeamua au Mrema ndio kamfukuza?
mkuu ungeona namna anavyofukuzwa, ha ha ha ha ha ha! halafu na huyo anayefukuzwa naye hamnazo kidogo, yupo nje anasema hana nauli anadai pesa yake ya posho.
ha ha ha ha ha ha! mkuu nilikuwa najiuliza hii thread niiweke kule kwenye jukwaa la funs nini? binafsi nilicheka sana, kumbe na wewe uliona!
mkuu kulikuwa na mkutano, lakini show ilikuwa inaonyeshwa kwa mrema na huyo bwana anayefukuzwa, nimeshindwa kusilikiza hata jina lake kwa jinsi nilivyokuwa nacheka.
Ni Hamad Tao