Hai: Mjane wa Lyatonga Mrema aenda CCM, adai amerejea nyumbani

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,447
7,822
Mjane wa aliyekuwa mwanasiasa maarufu wa upinzani wa miaka mingi, Augustine Lyatonga Mrema leo amerejea CCM kwenye mkutano wa katibu mwenezi wa chama hicho, Paul Makonda. Doreen Mrema amekadhi kadi ya chama alichokuwa awali na kuchukua kadi ya CCM.

Doreen Mrema_CCM.jpg
 
Mjane wa aliyekuwa mwanasiasa maarufu wa upinzani wa miaka mingi, Augustine Lyatonga Mrema leo amerejea CCM kwenye mkutano wa katibu mwenezi wa chama hicho, Paul Makonda. Doreen Mrema amekadhi kadi ya chama alichokuwa awali na kuchukua kadi ya CCM.

Hapo kilichobaadilika ni rangi na jina official la chama lakini vyote ni CCM.
 
Back
Top Bottom