Asante CCM
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 346
- 1,301
Ikumbukwe, bwana Chongolo ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CCM Taifa bado anaendelea na ziara yake mkoani humo.
Picha kwa hisani ya gazeti la Nipashe.
====
Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo, amesimikwa rasmi na wazee wa kabila la Wagogo Wanyambwa kuwa Chifu wa kabila hilo na kupewa jina la Muhaha Nolo.
Wazee hao walimsika alipofika Kijiji cha Chali Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma wakati wa mwendelezo wa ziara yake mkoani humo