karibu kikwete kutoka china,Je umeshajua kwanini sie ni masikini?
naamini umepata japo kukumbushwa mambo aliyoyafanya Mungu wa wachina Mao,
karibu vasco da gama,mpenda safari na pamba,mpenda kuwalinda mafisadi,
Baada ya kusema hayo,naomba nitoe yaliyopo moyoni mwa mzee mie wa kitanzania,
naomba uniwie radhi manaake sitapenda kukuelekezae mambo ya uchumi sababu haujui,
Mh. Amri jeshi mkuu,Makamba yupo hapa kutuharibia chama tulichoachiwa na Mwalimu..iko wapi sisiemu Mathubuti?
Kwanini ulimpa Ubunge?kwanini unaendelea kumlea wakati amesababisha mazungumzo ya Muungano yapungue kasi,huku akijenga makundi ndani ya Chama?
Mhe. Jk tafadhali mtoe huyu mfitina ambaye anatamani kuwa fisadi.