Samia gang
New Member
- Feb 18, 2023
- 2
- 1
Awali ya yote napenda kuchukua fursa hii ya kipekee kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema wa baraka ya uhai aliyotujalia hatimae kuwenza kuuona mwaka mwingine 2024.
Tukiwa tunaelekea kwenye vikao vya Halmashauri Kuu na Kamati Kuu ambavyo kutokana na ratiba ya chama Moja ya ajenda itakuwa ni kujaza nafasi ya Katibu Mkuu wa chama CCM kwa kuchambua sifa za wanachama mbalimbali naona nafasi hii ya Katibu mkuu CCM apewe Thobias Mwilapwa kwa sababu zifuatanzo;
Mosi ni mwanachama muadilifu na muaminifu sana
Pili anakijua vizuri chama kwa maana ameshawahi kuwa msaidizi wa Makatibu wakuu wanne kwa nyakati tofauti akianza na Philipo Mangula, Kinana, Mukama na Yusuph Makamba
Kwa hiyo anauzoefu wa kutosha sana kuweza kuvaa viatu vya Ukatibu Mkuu
Tatu ni mtu ambae anaweza kujenga hoja nzuri na zenye mashiko na kama ikitokea midahalo ya vyama vya kisiasa anaweza kukivusha chama vizuri passipo kuwa na wasiwasi wowote
Nne ni mtu ambae anaweza kukiunganisha chama na wanachama wake
Tano ni mtu asie na makundi
Sita anamakandokando yoyote mwisho Mwenyekiti wa CCM taifa, Dkt. Samia kama ikikupendeza mteue Thobias Mwilapwa kwenye Katibu Mkuu CCM ni mtu makini sana anaweza kukivusha chama vizuri 2024-2025
Tukiwa tunaelekea kwenye vikao vya Halmashauri Kuu na Kamati Kuu ambavyo kutokana na ratiba ya chama Moja ya ajenda itakuwa ni kujaza nafasi ya Katibu Mkuu wa chama CCM kwa kuchambua sifa za wanachama mbalimbali naona nafasi hii ya Katibu mkuu CCM apewe Thobias Mwilapwa kwa sababu zifuatanzo;
Mosi ni mwanachama muadilifu na muaminifu sana
Pili anakijua vizuri chama kwa maana ameshawahi kuwa msaidizi wa Makatibu wakuu wanne kwa nyakati tofauti akianza na Philipo Mangula, Kinana, Mukama na Yusuph Makamba
Kwa hiyo anauzoefu wa kutosha sana kuweza kuvaa viatu vya Ukatibu Mkuu
Tatu ni mtu ambae anaweza kujenga hoja nzuri na zenye mashiko na kama ikitokea midahalo ya vyama vya kisiasa anaweza kukivusha chama vizuri passipo kuwa na wasiwasi wowote
Nne ni mtu ambae anaweza kukiunganisha chama na wanachama wake
Tano ni mtu asie na makundi
Sita anamakandokando yoyote mwisho Mwenyekiti wa CCM taifa, Dkt. Samia kama ikikupendeza mteue Thobias Mwilapwa kwenye Katibu Mkuu CCM ni mtu makini sana anaweza kukivusha chama vizuri 2024-2025