Ngoja na mimi nianze kupondea JF kama wanasisiem hapa
yaani inakuwaje sasa hivi ni wanasisiemu tu ndio wanachangia hapa kwenye mtandao? inabidi kuwe na balance? hii JF inaanza kukosa muelekeo sasa, mbona hakuna vyama vingine hapa?
yaani huyu KadaMpinzani yuko all over na analeta tu mambo ya sisiemu? hii JF imekosa mwelekeo. BTW mbona watu wanakuwa banned kisha wanarudi na majina mengine?
Mgaya,
Kwi kwi kwi!! Mimi sio mwana CCM ila naijua katiba ya CCM kama ninavyoijua katiba ya CHADEMA. Huwa nazisoma ili kupata the dataz kwa ajili ya JF.