zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Ibara ya 71(a) hadi (g) inatoa masharti ya mtu kukoma kuwa Mbunge. Hili la kujiuzulu kwa hiari yake halipo.
Ngoja lifike bungeni, wamkubalie au wamkatalie kwani mpaka sasa katangaza tu, bunge halijapokea hayo rasmi, kwa mujibu wa spika leo asubuhi bungeni.