Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Wewe umetaka utaratibu ndio huo kama kuna mwingine unaoujua basi mimi siujui labda unifahamishe ila wabunge wote huwa wanafuta utaratibu niliouainisha na RA amefuata huo huo. Elewa katiba haiweki utaratibu au kanuni yenyewe inatoa mwelekeo mama tu.Rostam aliupata UBUNGE KIKATIBA. Haya unayoeleza hapa ni kifungu kipi kwenye KATIBA yetu? Au tuenende kiholela tu!