kumbe ndiyo tabia yake..!
Ngoja nimuandalie MSETO hata kama hana malaria lazima anywe doze yote kwa wakati mmoja haiwezekani anisumbue bure hadi naita Ambulance
umeshamwambia na amekugongea like ila gfsonwin atakuwa nami mchana huu kwa chakula maalumu cha mchana tukishakula ugali wka samaki wa kupaka pale samaki samaki mlimani city