Katiba mpya imeshindwa kuwapa Urais, sasa hawaitaki

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,787
Hizi kelele zote za Katiba mpya na waliofanikiwa kuitengeneza tena kwa damu (2007/08) haikuwa na lengo la kumsaidia mwananchi ingawaje wananchi walidanganywa hivyo.

Lengo lake lilikuwa ni power, kuna Wanasiasa waliotaka power sasa katiba iliyokuwepo ilishindwa kuwapa uongozi, wakaikataa kuleta mpya, sasa hii mpya imeshindwa tena kuwapa power wamerudi na porojo na uongo kutataka kuibadilisha tena, sasa wanataka kiongozi achaguliwe na Bunge na sio wananchi tena, kwa maana wanajua Wabunge ni corrupt hivyo wataweza kupata power.

Siku zote anayetengeneza Katiba ndiyo huamua nani anufaike na hiyo Katiba, na siku zote mnufaika ni yule anayeitengeneza na sio mwananchi, Katiba ya USA iliruhusu kumiliki watumwa kwa kuwa walioitengeneza walimiliki watumwa, Katiba ya Afrika Kusini inalinda mzungu na mali yake mashamba na natural resources kwa kuwa mungu aliitengeneza kabla ya kumaliza Apartheid na kukabidhi power kwa Mandela.

Hata ukiangalia Tanzania wanaolilia Katiba mpya siyo kwa sababu ya maendeleo ya mwananchi bali wanafikiri inaweza kuwaingiza madarakani ndio maana Kenya waliuwa watu ilie wapate sababu ya kubadilisha Katiba.
 
Hata ukiangalia TZ wanaolilia Katiba mpya siyo kwa sababu ya maendeleo ya Mwaanchi bali wanafikiri inaweza kuwaingiza Madarakani ndo maana Kenya waliuwa watu ilie wapate sababu ya kubadilisha Katiba, ...
Unamaanisha, hata wasiotaka katiba mpya, ni kwa sababu iliyopo inawapa ulaji?
 
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kukosoa upatikanaji wa katiba Mpya Tanzania.


>95% ya wanaotaka Katiba (mpya)TZ, nia yao ni kuiondoa CCM Madarakani, kwani wanaamini kwamba wanashindwa kufanya hivyo kwa sababu Katiba iliyopo inailinda CCM hoja ambayo binafsi siiamini.
Hivyo sababu KUU ni power na siyo Wananchi!
 
>95% ya wanaotaka Katiba (mpya)TZ, nia yao ni kuiondoa CCM Madarakani, kwani wanaamini kwamba wanashindwa kufanya hivyo kwa sababu Katiba iliyopo inailinda CCM hoja ambayo binafsi siiamini.
Hivyo sababu KUU ni power na siyo Wananchi!
Kibinafsi huiamini
Lkn ukaamua kuleta porojo hku kenyan news ambazo kibinafsi unaziamini
 
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kukosoa upatikanaji wa katiba Mpya Tanzania.
Upya wa katiba upo katika nini?, mbona Kenya wana katiba mpya lakini hali ya maisha ndio inazidi kuwa mbaya katika maeneo yote?. Katiba ni maandishi tu, ni sawa na kuandika katiba nzuri na kuwakabidhi wanyama wa porini, haitowabadilisha chochote.
 
Siasa za Kenya ni ngumu sana kueleweka na mtu aliyezoea dhuluma za CCM, itawachukua zaidi ya miaka 20 kuja kufikia kwenye level ambayo tupo leo hii, ukizingatia ndio mpo kwenye hatua za mwisho za kuzika upinzani huko kwenu.
 
Our politics is too complex for an average Tanzanian like you to understand. Stop poking your nose into things that you don't understand and will never understand. Don't go chasing waterfalls, stick to the rivers and the lakes that you are used to. Siasa dhalalilishi za sisiemu ndo unaweza elewa, stick to that
 
Our politics is too complex for an average Tanzanian like you to understand. Stop poking your nose into things that you don't understand and will never understand. Don't go chasing waterfalls, stick to the rivers and the lakes that you are used to. Siasa dhalalilishi za sisiemu ndo unaweza elewa, stick to that
Ni kweli siasa za Kenya ni ngumu hata wakenya wenyewe wanechoka, siasa gani hizo kila siku ni malumbano na fujo za BBI, Tangatanga, Kieleweke na mtu wetu analengwa?.

Siasa za Kenya hazina faida yoyote kwa mwananchi wa kawaida ambaye shida yake ni
1)Ukabila
2)Rushwa
3)Ajira
4)Chakula
5)Maji safi na usalama
6)Usalama na amani
7)Ardhi kwa ajili ya KILIMO
8)Unafuu wa kodi

Zaidi ya kuwasaidia wanasiasa wazidi kuwakandamiza raia, katiba ya Kenya imesaidia nini?
 
Wewe siasa za sisiemu zimekusaidia nini zaidi ya kuishi nchi LDC with a meagre per capita income 50 years tangu ianze kujitawala?
 
joto la jiwe,
You see that is why Tanzania is the poorest country in the world with silly people who can't think...sisi tumepitia hardship zote and Our economy is now almost twice as big,I bet by 2020 it will be twice as big afterall
 
You see that is why Tanzania is the poorest country in the world with silly people who can't think...sisi tumepitia hardship zote and Our economy is now almost twice as big,I bet by 2020 it will be twice as big afterall
Your Economy is twice?, are you stupid?, why you still die of hunger at this century?.
1)Kila mkenya anadaiwa $1300, huo uchumi mkubwa upo wapi?
2)48% unemployment rate
3)42% of ppl live below poverty line.
4)62% ya GDP yenu ni Madeni
5)Hamna chakula, mnategemea msaada wa chakula toka China na UAE
6)Nchi haina uwezo wa kuwalinda raia wake, Kenya inaongoza kwa crime rate, huo uchumi uko wapi?.

Endeleeni kuota kwa kujiliwaza, Tanzania tunaendelea kuwaburuza. Hamfikii hata 25% ya miradi tunayofanya kwa kutumia pesa zetu, kila mradi lazima mnakopa, bado mnaimba wimbo wa GDP, Gavana wenu wa Benki kuu aliwaambia kwamba, wananchi hawali GDP, wanakula chakula, bado hamjamuelewa?
 
joto la jiwe,
Huu ni ukweli mchungu ila wana akili fupi watatumia makwapa kukujibu kutokana na akili zao fupi zilizofupishwa na ukabila,
Hiyo katiba yao mbona imeshindwa kurudisha mashamba ya wakenya yanayomilikiwa na wazungu kule kericho😂😂😂
 
Wewe siasa za sisiemu zimekusaidia nini zaidi ya kuishi nchi LDC with a meagre per capita income 50 years tangu ianze kujitawala?
Zimenisaidia kuniondolea "Tribalism &Corruption", mambo ambayo yanaitafuna Kenya miaka yote na mumeshindwa kuyamaliza badala yake yanawamaliza ninyi.

Imenisaidia kunipa chakula cha kutosha na uhakika, hakuna mtanzania abayekufa kwa njaa, wala kupewa chakula cha msaada toka nje ya nchi.

Imenisaidia kuishi kwa amani na Upendo popote pale nitakapo ndani ya nchi yangu bila wasiwasi wa kubaguliwa kutokana na kabila langu, au wakati wa kipindi cha uchaguzi kuacha biashara zangu zote na kurudi nyumbani kwenye kabila langu, kuogopa kushambuliwa.
 
joto la jiwe,
It's you who is Stupid and doesn't have anything to tell us.Nenda kalipe deni la mkulima la sukumawiki.Yes Kenya's Economy will be twice as big next year.Tuko hapa Pamoja.Yours is a cartoon Economy..Industriies being sewing machines,Brick making,Albino hunting and gathering and the mainstay Economic activity is sorcery
 
Siasa za Kenya ni ngumu sana kueleweka na mtu aliyezoea dhuluma za CCM, itawachukua zaidi ya miaka 20 kuja kufikia kwenye level ambayo tupo leo hii, ukizingatia ndio mpo kwenye hatua za mwisho za kuzika upinzani huko kwenu.


Angalia tu Kenya isije rudi nyuma hiyo miaka 20 unayoiongelea, usijiamini sana, kama nchi inaweza kubadilisha mfumo wake mzima ili tu kukidhi matakwa/ kumfurahisha/ridhisha mtu mmoja, ina maana everything is possible!
 
It's you who is Stupid and doesn't have anything to tell us.Nenda kalipe deni la mkulima la sukumawiki.Yes Kenya's Economy will be twice as big next year.Tuko hapa Pamoja.Yours is a cartoon Economy..Industriies being sewing machines,Brick making,Albino hunting and gathering and the mainstay Economic activity is sorcery


Noo, ilikuwa hivyo mpaka miaka ya 90‘ uchumi wa Kenya ulikuwa mara mbili ya Uchumi wa TZ shauri TZ ilikuwa na socialist planned economy wakati Kenya ilikuwa ni capitalistic economy tangia siku ya kwanza, lkn sasa hivi the gap is closing, and closing fast!
 
It's you who is Stupid and doesn't have anything to tell us.Nenda kalipe deni la mkulima la sukumawiki.Yes Kenya's Economy will be twice as big next year.Tuko hapa Pamoja.Yours is a cartoon Economy..Industriies being sewing machines,Brick making,Albino hunting and gathering and the mainstay Economic activity is sorcery
Viwanda zao ndio hizi hapa 😂 😂
1849697_SERIKALI_YA_VIWANDA_BONGO.jpg
 
Noo, ilikuwa hivyo mpaka miaka ya 90‘ uchumi wa Kenya ulikuwa mara mbili ya Uchumi wa TZ shauri TZ ilikuwa na socialist planned economy wakati Kenya ilikuwa ni capitalistic economy tangia siku ya kwanza, lkn sasa hivi the gap is closing, and closing fast!
The gap is closing!?! Really??? Are you even listening to yourself?? In 2009, the gap between Kenya and Tanzania was $9 billion. In 2019, the gap is $37 billion. How then is the gap closing? Huu wimbo mtaimba sana!
 
Back
Top Bottom