Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,970
- 10,462
Nami ningemshauri kama wewe. VW ndio habari ya mjiniHizo harrier ni nyepesi sana kwenye high speed, usipokuwa makini inakutupa..Go for VW
Nami ningemshauri kama wewe. VW ndio habari ya mjiniHizo harrier ni nyepesi sana kwenye high speed, usipokuwa makini inakutupa..Go for VW
Nimecheka sana, hizi gari za mzungu ziki kinukisha porini, huna msaada mkuu.. utalala hapo hapo na kuagiza gari ya kuja kuibeba, kuna mwamba alikuwa anaenda manyoni.. VW ikafanya yake, mbona gari ilikuja kubebwa pale kurudishwa dar es salaamView attachment 1879395
VS
View attachment 1879396
Binafsi ningeenda na Tuareg ila safari zangu mara nyingine zinanifikisha Namtumbo huko... sasa Tuareg ikileta shida Namtumbo
uko matatizoni ila kwa Harrier unapiga mruzi tu maisha yanaendelea
Ni sawasawa na kulinganisha Scania na HowoNimecheka sana, hizi gari za mzungu ziki kinukisha porini, huna msaada mkuu.. utalala hapo hapo na kuagiza gari ya kuja kuibeba, kuna mwamba alikuwa anaenda manyoni.. VW ikafanya yake, mbona gari ilikuja kubebwa pale kurudishwa dar es salaam
Huna hela, endelea kukuruka na FEKON from PRC, andaa na pesa ya magongo ya kutembelea ukishavunjika miguu hiyoNikiangalia VW toureg mwili unasisimka ngoja nijipe kamuda!
Habari wakuu.
Nataka kununua gari, naomba mawazo ya uzoefu kati ya Harrier macho ya panzi na Vokswagen Touareg ni ipi nzuri ya kuchukua.
Sina uzoefu wowote wa magari ya Volkswagen.
Natanguliza shukrani.
Hizo harrier ni nyepesi sana kwenye high speed, usipokuwa makini inakutupa..Go for VW
Good ideaVipi kama ukiamua kununua zote mbili?
Kama pesa ipo, vuta zote mbili, utamu na karaha utaujua mbele kwa mbele wewe mwenyewe.
Maisha mbona rahisi tu ukiamua.
Mbona maf sensors zenyewe bei chee tuEeh kama ana Million 2-3 za hapa na pale basi VW itakua gari bora zaidi kwake.
Hili ni angalizo tu ili asije hapa baada ya miezi 6 kuulizia MAF Sensor ya Touareg anaipataje maana kamaliza maduka yote Ilala.
Kwanini uwe kwenye High speed?Hizo harrier ni nyepesi sana kwenye high speed, usipokuwa makini inakutupa..Go for VW