2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Hii macho ya panzi ni tofauti na tako la nyaniHizo harrier ni nyepesi sana kwenye high speed, usipokuwa makini inakutupa..Go for VW
Hii macho ya panzi ni tofauti na tako la nyaniHizo harrier ni nyepesi sana kwenye high speed, usipokuwa makini inakutupa..Go for VW
Sure. Hata VW Tiguan imetulia sema Bei SI ya kinyonge.Hizo harrier ni nyepesi sana kwenye high speed, usipokuwa makini inakutupa..Go for VW
Kaka mkubwa lile jimbo liko wazi kweli watu tuchukue fomu?Kama huna mpango wa kuuza... Volkswagen...
Kama unampango wa kuuza... Harrie
Watu mna maneno, khaa.Yaani hapa ni kama kumfananisha Kati ya kajala (Volkswagen) na sista P (harrier)......
Kajala ana kitu unachohitaji Kwa matumizi ya barabaran Achana na Hilo Toyota hakuna kitu chochote cha ziada
Mmh! Acha hizo bhana. Vw ukiingia nalo pori la uhakika unaweza kuliacha huko ukarudi kwa mguu.Bila kusahau kma utakuwa na maisha ya offroad, VW Touareg iko njema sana inafika popote.
Wewe chukua tu kama mfuko unaruhusu, asikutishe mtu.Hizi VW Toureg mbona tunatishwa sana, hebu mlizonazo humu mtuambie ukweli maana nishasikia kwamba ukiwa nayo matengenezo lazima uende DTDobie/CFAO maana mafundi wa mtaani wanaharibu sasa bei za huko CFAO unaweza nunua passo, pia mafuta consumption wenye nazo wanasema ipo juu sana.
Cha kushangaza zinazidi kuwa nyingi tu hizo na Landrover discovery sasa sijui uhalisia ukoje au mlizonazo mnataka muwe 'wachache" tu.
Touareg iko vzr tatizo ni reliability for long run kwa bei hyo ungelinganisha touareg na Toyota Highlander (klugger mpya)Habari wakuu.
Nataka kununua gari, naomba mawazo ya uzoefu kati ya Harrier macho ya panzi na Vokswagen Touareg ni ipi nzuri ya kuchukua.
Sina uzoefu wowote wa magari ya Volkswagen.
Natanguliza shukrani.
Ina kilometer ngap sahv, dada yng alinunua Range rover sport, baada ya miaka miwil engine ikazingua akaagiza mpya, apo ni baada ya kitu vidogo vidogo ka miguu kusumbua, alinunua used from US, ina mealage ya 70000s sahvInfact mm nna VW golf touran..cjawahi juta..ingawa wadau humu walisema nisubiri ianze kusumbua..ndo naisuburia ianze kusumbua nione...wabongo tu waoga sana aisee..kwan kuna Toyota ngapi zimepaki garage?
Kama unaijali gari yako na kuifanyia service kwa wakati haiwez kukuletea shida
Lexus nx( version ya harrier)ndo nzr sana kwa muonekano ila harrier muonekano wake sio kivileHumu watu watakupoteza. Wengine hiyo harrier wanayo iponda wanaionaga kwa macho tu. Chukua Harrier Lexus mpyaaaa. Chukua Black.
Ikiona vp kama una mpungaa Tafuta Nissan Ex Trial New model au Klugger Ule maisha iyo VW itakusumbua na sio Luxury Car wala nn.
Ova
Inategemea umetokea kwenye gar ganHamna mkuu, ni mie mwenyewe. Jana jioni kwa mala ya kwanza nikaendesha hiyo machine hata ndani unaona upo kwenye gari kweli, zipo tofauti kabisa na Gari zetu hizi zingine.
Gar za kawaida ila ride quality yake ni nzr, shida wabongo hawajui kutofautisha, unakuta mtu anatoka kwenye toyona calina T.I Anaingia bmw ama benz anaanza kuponda magar ya mjapan, au anatoka gar ya engine ndogo anaingia engine kubwa na kuponda speed ya engine ndogo ila anacholalamika ni kimoja kwenye ulaji wa mafuta, tatizo wabongo wenyewe hawajielewiHizi VW Toureg mbona tunatishwa sana, hebu mlizonazo humu mtuambie ukweli maana nishasikia kwamba ukiwa nayo matengenezo lazima uende DTDobie/CFAO maana mafundi wa mtaani wanaharibu sasa bei za huko CFAO unaweza nunua passo, pia mafuta consumption wenye nazo wanasema ipo juu sana.
Cha kushangaza zinazidi kuwa nyingi tu hizo na Landrover discovery sasa sijui uhalisia ukoje au mlizonazo mnataka muwe 'wachache" tu.
Unamaanisha nini mkuu, kwamba huko baadae VW sio reliable?Touareg iko vzr tatizo ni reliability for long run kwa bei hyo ungelinganisha touareg na Toyota Highlander (klugger mpya)
Huwa nikitazama tu dashboard nafarijika speed odometerKama una nunua una malengo ya kuuza hapo baadae na Pochi sio nene chukua Harrier ila kama Pochi nene na huna malengo ya kuuza ...Chukua Mnyama German Machine Volkswagen upate burudani na ladha kamili ya gari.
Mshana VW ukilinunua ni ndoa ya Kikristo.Hizo harrier ni nyepesi sana kwenye high speed, usipokuwa makini inakutupa..Go for VW