LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,746
Najaribu tu kufikiria kidogo je? Ni kizazi kipi hakikumjua au hakimjui Mungu?
Kwa mtazamo wangu naweza sema hiki kizazi cha Sasa na kinachoenda kinaweza kuwa ndo kinachomjua mungu zaidi.
Kwasababu hata tukisoma tu historia kidogo kizazi kilichopiata kuna watu walikuwa maarufu zaidi kwa uovu kuliko kizazi cha sasa pia yawezekana kizazi cha zamani kilikuwa kikatili zaidi ni vile tu ilikuwa ni ngumu taarifa kusambaa.
Naomba kuuliza kuanzia mwaka 2000 kuja huku juu ni mtu gani amekuwa maarufu kushinda kizazi kilichopita mfano wa akina Adolf Hitler,
Zaidi aliyeko sasa ambaye ni maarufu ni Putin ambaye ameweka wazi kwamba yeye kazi yake ni kuwapeleka watu kwa mungu.
Kwa mtazamo wangu naweza sema hiki kizazi cha Sasa na kinachoenda kinaweza kuwa ndo kinachomjua mungu zaidi.
Kwasababu hata tukisoma tu historia kidogo kizazi kilichopiata kuna watu walikuwa maarufu zaidi kwa uovu kuliko kizazi cha sasa pia yawezekana kizazi cha zamani kilikuwa kikatili zaidi ni vile tu ilikuwa ni ngumu taarifa kusambaa.
Naomba kuuliza kuanzia mwaka 2000 kuja huku juu ni mtu gani amekuwa maarufu kushinda kizazi kilichopita mfano wa akina Adolf Hitler,
Zaidi aliyeko sasa ambaye ni maarufu ni Putin ambaye ameweka wazi kwamba yeye kazi yake ni kuwapeleka watu kwa mungu.