Kati ya samsung J series na A series ipi nzuri?

Wakuu nataka kununua simu ya samsung.
Sasa kuna hizi a series na j series. Je, ipi ni mzuri lwa bidget ya shilingi laki 6 hadi 8?
Au hata s series pia ipi nzuri
kwa hio budget kwenye samsung kuna A50/50s/51 na A70/71

sama kama mimi ningekuwa na hio budget xiaomi redmi k20 pro ni bora zaidi kwa simu za laki 8 kushuka chini, inatumia super amoled za samsung, flagship soc ya mwaka jana sd855, storage mpaka 256gb kwa hio budget, ram 8gb, ufs storage, battery kubwa etc.
 
HII KITU WATU WANAICHUKULIAGA POA ILA MATOKEO YAKE NDIO UMENUNUA LIJISIMU LINASUMBUA NETWORK AU UNAUZIWA SIMU ILIYOTUMIKA UKIDANGANYWA NI MPYA...

Ngoja Nikuvute taratibu ili unielewe vzr...

Si unajua Kuna hizi simu zinauzwa Na Makampuni ya Mawasiliano Mfano Tigo shop?

Ni mara nying sana Tunasikia sijui tigo Anatangaza anauza Tecno mfano spark 3 n.k n.k kwa promoshen..


Tunajua kbsa tigo hatengenezi simu, ila anatoa chip ya sim na huduma zote kutokana na ile chip....

Sasa basi....Kinachotokea Tigo anaingia ubia na Tecno....


Tigo anamsaidia tecno kutangaza simu zake kiurahisi.....Kupitia matangazo yao, wakati huo huo tigo anauza hizo/hio simu kwenye maduka yao kwa bei rahisi zaidi ya Maduka ya kawaida na Anakupa na kifurushi zaidi...


Sharti kubwa la tigo analompa tecno ni kwamba....Lazima laini Moja Ifungwe (locked) itumie laini ya Tigo pekeee....
Hii sasa inaitwa CARRIER LOCKED..

Na hapa sasa Tigo ndipo anapofaidika.... Anajua lazima Laini yake itatumika hivyo ataongeza wateja... Hata km hukua na laini ya Tigo Utanunua kwa shart la kupata ile simu.. na sio kununua tuu lazima utashawishika kuitumia sbb wanakupa na ofa....

Kwahiyo
Tigo anafaidika kwa kupata wateja/watumiaji wengi... na
Tecno nae anafaidika kwa Kuuza simu nying na kuzitangaza kirahisi..

TUENDELEE
Sasa sbb Mtu anahitaji urahisi.....
Ameona Atapata hio simu Tigo shop kwa bei rahisi....Pili atapewa na vifurushi vya bure kwa mda flan....Basi naye anaenda kununua simu tigo shop Ambapo Lazima SIM 1 Isome laini ya tigo.....

Sasa ikafika kipnd amechoka kutumia laini ya Tigo kiulazima.....

Anachokifanya anaenda kwa wataalam Ana i UNLOCK ule Mtandao(CARRIER) uliofungwa kwa ulazima.....Kibongo bongo Tunaita Kuflash...
Hili Neno tumelisikia sana hasa miaka ya nyuma kdg
'Nataka ni flash simu yangu Itumie laini zote'

Ku UNLOCK ni kufungua kitu...
CARRIER ni ule mtandao...
Kwaio unafungua tray(Mara nying ni SIM 1)ya simu iliyokua imefungwa kwa mtandao flani ili ile tray isome Laini ZOTE.
Hii sasa ndio CARRIER UNLOCKED...

Hicho ndio kinachotokea Hata huko ulaya/usa n.k

Samsung Anaingia ubia na Makampuni ya simu km Verizon, AT&T, T-Mobile n.k n.k...

Mtumiaji akichoka kutumia ile simu anataka aiuze nje ya USA inabidi aipeleke waka i Unlock ili isome laini zote la sivyo Ndio zile ikija huku simu haisomi laini mpk uipeleke kwa wataalam...

KWA NN NASEMA IEPUKE?

Kwanza Ijulikane kbsa ku flash simu iliyokua imefungwa ni illegal....Hata hao tigo ukiwaambia masuala ya ku flash watakumaind....
Wenzetu ulaya wao wana mda maalumu kutokana na mkataba... ni angalau miaka miwili Ndio unaweza uka i unlock na sheria isikubane...
Maana kinyume na hapo Ni hasara....

Haiwezekani unitumie mm nikuuzie simu kwa bei chee na kukupa vifurushi vya bure halaf laini yangu ambapo mm ndio nategemea nipate faida huitumii...

Sasa Unapo i flash kuna mawili....
Either Isisome laini kbsa au isome kwa shida...
Kwa ufupi mara nyingi zinazingua network...
NA HIKI NDIO SBB NAKUAMBIA ZIEPUKE...
Unaweza utumie unaona iko poa lkn ukipata simu nyingne km hio hio ambayo ni free utaona utofaut mkubwa...
Au ukabadilisha tu mazingira unaona simu yako inasumbua network nakat za wenzako zinapga kazi...
Wengi washakutana na hili tatzo hasa kpnd kile tunatumia visimu vya vodafone au vile vibatan vya tigo..

UTAJUAJE HII SIMU NI UNLOCKED?
Simple Tu...
simu nyingi zinazokua Locked na mtandao flan...
Zinakua na symbol flan za ule mtandao...
Mfano unakuta imeandikwa tigo juu au nyuma ya simu...
Nyingne ukiiwasha inaakuandikia Vodacom n.k n.k

Kwa zile za US utakua mfano simu imeandikwa au ukiwasha inaandika
VERIZONI, T-MOBILE AU AT&T ukiona hivyo tuu jua Ni unlocked.....

Sasa nying za sikuhz hawaandiki...
Ukiona hivyo njia rahisi ni kusoma Model number...Ambayo inakua nyuma ya simu au ingia ndani kwenye about phone....


kwa Samsung S-series Model # Yake Utaona
Imeandikwa hivi SM-G.... hapo kwenye hivyo vidoti Vinne Ni namba kutokana na simu husika....
Mfano wewe nimekwambia Kwa hela hio Unaweza ukapata S9+,
Basi model namba yake PIGA UA
itaanza hivi SM-G965. hicho kidoti cha mwisho sasa, NAMBA au HERUFI itakayomaliziwa hapo ndio muhimu kujua km simu ni Free au Carrier unlocked sasa

Mfano km hio S9+ ilikua locked kwa Mtandao wa Verizoni Utaona imeandikwa hivi
SM-G965V, Kama ni T-Mobile Utaona imeandikwa SM-G965T km ni AT&T utaona
SM-G965A...

Nzuri ambayo haijawa locked.....
Wanaita
Global/international - Model/version..
LAZIMA MWISHO IISHIE NA....F/DS/FD

kwahio Itakuwa hivi
SM-G965F/DS/FD....
Inaweza ikawa chochote kati ya hivyo vitatu.. ila mara nyingi ni F au DS au vyote kwa pamoja yaani .....F/DS
Ukiona kwenye hio model Amekuandikia DS
Hii inamaanisha hio simu ni Dual Sim(laini mbili) Na hio F For Free..

Na ukiona Mwisho Hajaweka HERUFI kaweka NAMBA..
Mfano SM-G9650, jua hio simu sio Locked ila Ni mahususi kwa kuuzwa Nchi/ukanda au bara Flani...
Mfano Europe, Asia, South korea, China n.k...
Kwaio haiko locked ila imetengenezwa kwa kuuzwa maeneo maalum...

Kwa samsung Note-series utaona
Imeandikwa hivi SM-N....
Mfano Note 9 Unatakiwa uchukue yenye
SM-N965F/DS

Kwa Samsung Joy a.k.a J-Series Utaona
Imeandikwa hivi SM-J....

Kwa Samsung Alpha a.k.a A-Series utaona
Imeandikwa hivi SM-A....


Hii ni kwa simu zote za samsung HASA MATOLEO ya miaka hii Global model...
Inatakiwa iishie na ......F/DS

Ila ukipata Model inayoishia na .....0, U au H kwa simu za zamani
hizo sio mbaya angalau zinakuwaga vizuri,
Au yyt inayoishia na namba...

Ila sio hayo ma T,V & A.... Japo nazo waweza upate ambayo imekua unlocked vizuri ila PIGA UA jua hio simu ni Used sasa....

Mara nyingi Ukipata Samsung Yenye Laini mbili basi usiwe na shaka ni hii inshu....

ILA ukiona tuu Samsungu Kwa nyuma Chini Imeandikwa jina la Simu......

Mfano Galaxy S6+, Galaxy S7, Galaxy S7 plus,
Galaxy S8+, Galaxy S9+ n.k n.k
Ambazo zimejaa sana na tunaona watu wengi wakiziuza.....

Hio kimbia ni Unlocked.....

International model Samsung HAWAANDIKI Jina kwa nyuma zaidi ya Brand

Inatakiwa uone neno SAMSUNG tuu kwa juu....
Chini labda uone neno DUOS kwa zile za laini mbili au yale maelezo meng kwa maandishi madogo....ambayo yanakua ya model, imei n.k...

USHAURI WA BURE....

Ukiona mtu anauza simu hasa hizi high end(Unaona kbsa ni ya gharama) halafa anakuambia
"EXCHANGE ALLOWED"
Halaf haweki conditions zozote/Mashart yoyote....
ANZA KUTUMIA UBONGO WAKO VIZURI

Huyo anachotaka ni simu imuondokee by any means......chochote atakachopata sio hasara kwake bali kwako....
Kwa ufupi : kua makini sana na simu za exchange....

TUPO DUNIANI KWA JUKUMA MAALUM..
TIMIZA JUKUMU LAKO...
salute mkuu,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hembu Nisomee herufi ya mwisho kwenye model ya hio simu.....pengne hapo ndio tatzo lilipo... labda ulinunua unlocked....

Utaona wameandika hivi
SM-A105.
Hembu malizia hio nukta hapo juu,
Najua inaweza kua kati ya

SM-A105F/DS
SM-A105G/DS
SM-A105M/DS
SM-A105M..

Angalia ni ipi kati ya hizo....

Japo pia hizi A-series kuanzia A10 nyingi sana ni Jau,
Zinazingia network, speaker, kamera n.k
Katika series walizo zingua samsung...
Basi ni hizi
ndo mana nakutana na watu wengi sana wanauza samsung A10 used

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na samsung m31 je?
Boss hii sina ufahamu nayo Sana...
Ila kwa charge ndio mahala pake...
Ila Speaker ita ku disapoint km ulishawahi miliki simu yenye audio quality nzur....

Binafsi simu ikishakua tu na Plastic body na plastic frame baassi inanikata maini.....

Samsung kwa kweli wanayumba sana kwa haya ma plastic yao..

Nakat A-series za 2016 zilikua ni Glass body na alluminium frame..

Eti za leo 2020 wanarudi tena plastic body na plastic frame...
 
HII KITU WATU WANAICHUKULIAGA POA ILA MATOKEO YAKE NDIO UMENUNUA LIJISIMU LINASUMBUA NETWORK AU UNAUZIWA SIMU ILIYOTUMIKA UKIDANGANYWA NI MPYA...

Ngoja Nikuvute taratibu ili unielewe vzr...

Si unajua Kuna hizi simu zinauzwa Na Makampuni ya Mawasiliano Mfano Tigo shop?

Ni mara nying sana Tunasikia sijui tigo Anatangaza anauza Tecno mfano spark 3 n.k n.k kwa promoshen..


Tunajua kbsa tigo hatengenezi simu, ila anatoa chip ya sim na huduma zote kutokana na ile chip....

Sasa basi....Kinachotokea Tigo anaingia ubia na Tecno....


Tigo anamsaidia tecno kutangaza simu zake kiurahisi.....Kupitia matangazo yao, wakati huo huo tigo anauza hizo/hio simu kwenye maduka yao kwa bei rahisi zaidi ya Maduka ya kawaida na Anakupa na kifurushi zaidi...


Sharti kubwa la tigo analompa tecno ni kwamba....Lazima laini Moja Ifungwe (locked) itumie laini ya Tigo pekeee....
Hii sasa inaitwa CARRIER LOCKED..

Na hapa sasa Tigo ndipo anapofaidika.... Anajua lazima Laini yake itatumika hivyo ataongeza wateja... Hata km hukua na laini ya Tigo Utanunua kwa shart la kupata ile simu.. na sio kununua tuu lazima utashawishika kuitumia sbb wanakupa na ofa....

Kwahiyo
Tigo anafaidika kwa kupata wateja/watumiaji wengi... na
Tecno nae anafaidika kwa Kuuza simu nying na kuzitangaza kirahisi..

TUENDELEE
Sasa sbb Mtu anahitaji urahisi.....
Ameona Atapata hio simu Tigo shop kwa bei rahisi....Pili atapewa na vifurushi vya bure kwa mda flan....Basi naye anaenda kununua simu tigo shop Ambapo Lazima SIM 1 Isome laini ya tigo.....

Sasa ikafika kipnd amechoka kutumia laini ya Tigo kiulazima.....

Anachokifanya anaenda kwa wataalam Ana i UNLOCK ule Mtandao(CARRIER) uliofungwa kwa ulazima.....Kibongo bongo Tunaita Kuflash...
Hili Neno tumelisikia sana hasa miaka ya nyuma kdg
'Nataka ni flash simu yangu Itumie laini zote'

Ku UNLOCK ni kufungua kitu...
CARRIER ni ule mtandao...
Kwaio unafungua tray(Mara nying ni SIM 1)ya simu iliyokua imefungwa kwa mtandao flani ili ile tray isome Laini ZOTE.
Hii sasa ndio CARRIER UNLOCKED...

Hicho ndio kinachotokea Hata huko ulaya/usa n.k

Samsung Anaingia ubia na Makampuni ya simu km Verizon, AT&T, T-Mobile n.k n.k...

Mtumiaji akichoka kutumia ile simu anataka aiuze nje ya USA inabidi aipeleke waka i Unlock ili isome laini zote la sivyo Ndio zile ikija huku simu haisomi laini mpk uipeleke kwa wataalam...

KWA NN NASEMA IEPUKE?

Kwanza Ijulikane kbsa ku flash simu iliyokua imefungwa ni illegal....Hata hao tigo ukiwaambia masuala ya ku flash watakumaind....
Wenzetu ulaya wao wana mda maalumu kutokana na mkataba... ni angalau miaka miwili Ndio unaweza uka i unlock na sheria isikubane...
Maana kinyume na hapo Ni hasara....

Haiwezekani unitumie mm nikuuzie simu kwa bei chee na kukupa vifurushi vya bure halaf laini yangu ambapo mm ndio nategemea nipate faida huitumii...

Sasa Unapo i flash kuna mawili....
Either Isisome laini kbsa au isome kwa shida...
Kwa ufupi mara nyingi zinazingua network...
NA HIKI NDIO SBB NAKUAMBIA ZIEPUKE...
Unaweza utumie unaona iko poa lkn ukipata simu nyingne km hio hio ambayo ni free utaona utofaut mkubwa...
Au ukabadilisha tu mazingira unaona simu yako inasumbua network nakat za wenzako zinapga kazi...
Wengi washakutana na hili tatzo hasa kpnd kile tunatumia visimu vya vodafone au vile vibatan vya tigo..

UTAJUAJE HII SIMU NI UNLOCKED?
Simple Tu...
simu nyingi zinazokua Locked na mtandao flan...
Zinakua na symbol flan za ule mtandao...
Mfano unakuta imeandikwa tigo juu au nyuma ya simu...
Nyingne ukiiwasha inaakuandikia Vodacom n.k n.k

Kwa zile za US utakua mfano simu imeandikwa au ukiwasha inaandika
VERIZONI, T-MOBILE AU AT&T ukiona hivyo tuu jua Ni unlocked.....

Sasa nying za sikuhz hawaandiki...
Ukiona hivyo njia rahisi ni kusoma Model number...Ambayo inakua nyuma ya simu au ingia ndani kwenye about phone....


kwa Samsung S-series Model # Yake Utaona
Imeandikwa hivi SM-G.... hapo kwenye hivyo vidoti Vinne Ni namba kutokana na simu husika....
Mfano wewe nimekwambia Kwa hela hio Unaweza ukapata S9+,
Basi model namba yake PIGA UA
itaanza hivi SM-G965. hicho kidoti cha mwisho sasa, NAMBA au HERUFI itakayomaliziwa hapo ndio muhimu kujua km simu ni Free au Carrier unlocked sasa

Mfano km hio S9+ ilikua locked kwa Mtandao wa Verizoni Utaona imeandikwa hivi
SM-G965V, Kama ni T-Mobile Utaona imeandikwa SM-G965T km ni AT&T utaona
SM-G965A...

Nzuri ambayo haijawa locked.....
Wanaita
Global/international - Model/version..
LAZIMA MWISHO IISHIE NA....F/DS/FD

kwahio Itakuwa hivi
SM-G965F/DS/FD....
Inaweza ikawa chochote kati ya hivyo vitatu.. ila mara nyingi ni F au DS au vyote kwa pamoja yaani .....F/DS
Ukiona kwenye hio model Amekuandikia DS
Hii inamaanisha hio simu ni Dual Sim(laini mbili) Na hio F For Free..

Na ukiona Mwisho Hajaweka HERUFI kaweka NAMBA..
Mfano SM-G9650, jua hio simu sio Locked ila Ni mahususi kwa kuuzwa Nchi/ukanda au bara Flani...
Mfano Europe, Asia, South korea, China n.k...
Kwaio haiko locked ila imetengenezwa kwa kuuzwa maeneo maalum...

Kwa samsung Note-series utaona
Imeandikwa hivi SM-N....
Mfano Note 9 Unatakiwa uchukue yenye
SM-N965F/DS

Kwa Samsung Joy a.k.a J-Series Utaona
Imeandikwa hivi SM-J....

Kwa Samsung Alpha a.k.a A-Series utaona
Imeandikwa hivi SM-A....


Hii ni kwa simu zote za samsung HASA MATOLEO ya miaka hii Global model...
Inatakiwa iishie na ......F/DS

Ila ukipata Model inayoishia na .....0, U au H kwa simu za zamani
hizo sio mbaya angalau zinakuwaga vizuri,
Au yyt inayoishia na namba...

Ila sio hayo ma T,V & A.... Japo nazo waweza upate ambayo imekua unlocked vizuri ila PIGA UA jua hio simu ni Used sasa....

Mara nyingi Ukipata Samsung Yenye Laini mbili basi usiwe na shaka ni hii inshu....

ILA ukiona tuu Samsungu Kwa nyuma Chini Imeandikwa jina la Simu......

Mfano Galaxy S6+, Galaxy S7, Galaxy S7 plus,
Galaxy S8+, Galaxy S9+ n.k n.k
Ambazo zimejaa sana na tunaona watu wengi wakiziuza.....

Hio kimbia ni Unlocked.....

International model Samsung HAWAANDIKI Jina kwa nyuma zaidi ya Brand

Inatakiwa uone neno SAMSUNG tuu kwa juu....
Chini labda uone neno DUOS kwa zile za laini mbili au yale maelezo meng kwa maandishi madogo....ambayo yanakua ya model, imei n.k...

USHAURI WA BURE....

Ukiona mtu anauza simu hasa hizi high end(Unaona kbsa ni ya gharama) halafa anakuambia
"EXCHANGE ALLOWED"
Halaf haweki conditions zozote/Mashart yoyote....
ANZA KUTUMIA UBONGO WAKO VIZURI

Huyo anachotaka ni simu imuondokee by any means......chochote atakachopata sio hasara kwake bali kwako....
Kwa ufupi : kua makini sana na simu za exchange....

TUPO DUNIANI KWA JUKUMA MAALUM..
TIMIZA JUKUMU LAKO...
Mkuu asante sana, yaani kwa elimu hii sitakuja kununua famba tena.

Thank you mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
daaah nimepata elimu kubwa sana leo.,
Mkuu asante sana, yaani kwa elimu hii sitakuja kununua famba tena.

Thank you mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
HII KITU WATU WANAICHUKULIAGA POA ILA MATOKEO YAKE NDIO UMENUNUA LIJISIMU LINASUMBUA NETWORK AU UNAUZIWA SIMU ILIYOTUMIKA UKIDANGANYWA NI MPYA...

Ngoja Nikuvute taratibu ili unielewe vzr...

Si unajua Kuna hizi simu zinauzwa Na Makampuni ya Mawasiliano Mfano Tigo shop?

Ni mara nying sana Tunasikia sijui tigo Anatangaza anauza Tecno mfano spark 3 n.k n.k kwa promoshen..


Tunajua kbsa tigo hatengenezi simu, ila anatoa chip ya sim na huduma zote kutokana na ile chip....

Sasa basi....Kinachotokea Tigo anaingia ubia na Tecno....


Tigo anamsaidia tecno kutangaza simu zake kiurahisi.....Kupitia matangazo yao, wakati huo huo tigo anauza hizo/hio simu kwenye maduka yao kwa bei rahisi zaidi ya Maduka ya kawaida na Anakupa na kifurushi zaidi...


Sharti kubwa la tigo analompa tecno ni kwamba....Lazima laini Moja Ifungwe (locked) itumie laini ya Tigo pekeee....
Hii sasa inaitwa CARRIER LOCKED..

Na hapa sasa Tigo ndipo anapofaidika.... Anajua lazima Laini yake itatumika hivyo ataongeza wateja... Hata km hukua na laini ya Tigo Utanunua kwa shart la kupata ile simu.. na sio kununua tuu lazima utashawishika kuitumia sbb wanakupa na ofa....

Kwahiyo
Tigo anafaidika kwa kupata wateja/watumiaji wengi... na
Tecno nae anafaidika kwa Kuuza simu nying na kuzitangaza kirahisi..

TUENDELEE
Sasa sbb Mtu anahitaji urahisi.....
Ameona Atapata hio simu Tigo shop kwa bei rahisi....Pili atapewa na vifurushi vya bure kwa mda flan....Basi naye anaenda kununua simu tigo shop Ambapo Lazima SIM 1 Isome laini ya tigo.....

Sasa ikafika kipnd amechoka kutumia laini ya Tigo kiulazima.....

Anachokifanya anaenda kwa wataalam Ana i UNLOCK ule Mtandao(CARRIER) uliofungwa kwa ulazima.....Kibongo bongo Tunaita Kuflash...
Hili Neno tumelisikia sana hasa miaka ya nyuma kdg
'Nataka ni flash simu yangu Itumie laini zote'

Ku UNLOCK ni kufungua kitu...
CARRIER ni ule mtandao...
Kwaio unafungua tray(Mara nying ni SIM 1)ya simu iliyokua imefungwa kwa mtandao flani ili ile tray isome Laini ZOTE.
Hii sasa ndio CARRIER UNLOCKED...

Hicho ndio kinachotokea Hata huko ulaya/usa n.k

Samsung Anaingia ubia na Makampuni ya simu km Verizon, AT&T, T-Mobile n.k n.k...

Mtumiaji akichoka kutumia ile simu anataka aiuze nje ya USA inabidi aipeleke waka i Unlock ili isome laini zote la sivyo Ndio zile ikija huku simu haisomi laini mpk uipeleke kwa wataalam...

KWA NN NASEMA IEPUKE?

Kwanza Ijulikane kbsa ku flash simu iliyokua imefungwa ni illegal....Hata hao tigo ukiwaambia masuala ya ku flash watakumaind....
Wenzetu ulaya wao wana mda maalumu kutokana na mkataba... ni angalau miaka miwili Ndio unaweza uka i unlock na sheria isikubane...
Maana kinyume na hapo Ni hasara....

Haiwezekani unitumie mm nikuuzie simu kwa bei chee na kukupa vifurushi vya bure halaf laini yangu ambapo mm ndio nategemea nipate faida huitumii...

Sasa Unapo i flash kuna mawili....
Either Isisome laini kbsa au isome kwa shida...
Kwa ufupi mara nyingi zinazingua network...
NA HIKI NDIO SBB NAKUAMBIA ZIEPUKE...
Unaweza utumie unaona iko poa lkn ukipata simu nyingne km hio hio ambayo ni free utaona utofaut mkubwa...
Au ukabadilisha tu mazingira unaona simu yako inasumbua network nakat za wenzako zinapga kazi...
Wengi washakutana na hili tatzo hasa kpnd kile tunatumia visimu vya vodafone au vile vibatan vya tigo..

UTAJUAJE HII SIMU NI UNLOCKED?
Simple Tu...
simu nyingi zinazokua Locked na mtandao flan...
Zinakua na symbol flan za ule mtandao...
Mfano unakuta imeandikwa tigo juu au nyuma ya simu...
Nyingne ukiiwasha inaakuandikia Vodacom n.k n.k

Kwa zile za US utakua mfano simu imeandikwa au ukiwasha inaandika
VERIZONI, T-MOBILE AU AT&T ukiona hivyo tuu jua Ni unlocked.....

Sasa nying za sikuhz hawaandiki...
Ukiona hivyo njia rahisi ni kusoma Model number...Ambayo inakua nyuma ya simu au ingia ndani kwenye about phone....


kwa Samsung S-series Model # Yake Utaona
Imeandikwa hivi SM-G.... hapo kwenye hivyo vidoti Vinne Ni namba kutokana na simu husika....
Mfano wewe nimekwambia Kwa hela hio Unaweza ukapata S9+,
Basi model namba yake PIGA UA
itaanza hivi SM-G965. hicho kidoti cha mwisho sasa, NAMBA au HERUFI itakayomaliziwa hapo ndio muhimu kujua km simu ni Free au Carrier unlocked sasa

Mfano km hio S9+ ilikua locked kwa Mtandao wa Verizoni Utaona imeandikwa hivi
SM-G965V, Kama ni T-Mobile Utaona imeandikwa SM-G965T km ni AT&T utaona
SM-G965A...

Nzuri ambayo haijawa locked.....
Wanaita
Global/international - Model/version..
LAZIMA MWISHO IISHIE NA....F/DS/FD

kwahio Itakuwa hivi
SM-G965F/DS/FD....
Inaweza ikawa chochote kati ya hivyo vitatu.. ila mara nyingi ni F au DS au vyote kwa pamoja yaani .....F/DS
Ukiona kwenye hio model Amekuandikia DS
Hii inamaanisha hio simu ni Dual Sim(laini mbili) Na hio F For Free..

Na ukiona Mwisho Hajaweka HERUFI kaweka NAMBA..
Mfano SM-G9650, jua hio simu sio Locked ila Ni mahususi kwa kuuzwa Nchi/ukanda au bara Flani...
Mfano Europe, Asia, South korea, China n.k...
Kwaio haiko locked ila imetengenezwa kwa kuuzwa maeneo maalum...

Kwa samsung Note-series utaona
Imeandikwa hivi SM-N....
Mfano Note 9 Unatakiwa uchukue yenye
SM-N965F/DS

Kwa Samsung Joy a.k.a J-Series Utaona
Imeandikwa hivi SM-J....

Kwa Samsung Alpha a.k.a A-Series utaona
Imeandikwa hivi SM-A....


Hii ni kwa simu zote za samsung HASA MATOLEO ya miaka hii Global model...
Inatakiwa iishie na ......F/DS

Ila ukipata Model inayoishia na .....0, U au H kwa simu za zamani
hizo sio mbaya angalau zinakuwaga vizuri,
Au yyt inayoishia na namba...

Ila sio hayo ma T,V & A.... Japo nazo waweza upate ambayo imekua unlocked vizuri ila PIGA UA jua hio simu ni Used sasa....

Mara nyingi Ukipata Samsung Yenye Laini mbili basi usiwe na shaka ni hii inshu....

ILA ukiona tuu Samsungu Kwa nyuma Chini Imeandikwa jina la Simu......

Mfano Galaxy S6+, Galaxy S7, Galaxy S7 plus,
Galaxy S8+, Galaxy S9+ n.k n.k
Ambazo zimejaa sana na tunaona watu wengi wakiziuza.....

Hio kimbia ni Unlocked.....

International model Samsung HAWAANDIKI Jina kwa nyuma zaidi ya Brand

Inatakiwa uone neno SAMSUNG tuu kwa juu....
Chini labda uone neno DUOS kwa zile za laini mbili au yale maelezo meng kwa maandishi madogo....ambayo yanakua ya model, imei n.k...

USHAURI WA BURE....

Ukiona mtu anauza simu hasa hizi high end(Unaona kbsa ni ya gharama) halafa anakuambia
"EXCHANGE ALLOWED"
Halaf haweki conditions zozote/Mashart yoyote....
ANZA KUTUMIA UBONGO WAKO VIZURI

Huyo anachotaka ni simu imuondokee by any means......chochote atakachopata sio hasara kwake bali kwako....
Kwa ufupi : kua makini sana na simu za exchange....

TUPO DUNIANI KWA JUKUMA MAALUM..
TIMIZA JUKUMU LAKO...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah ubarikiwe sana mkuu umenitoa tongotongo
HII KITU WATU WANAICHUKULIAGA POA ILA MATOKEO YAKE NDIO UMENUNUA LIJISIMU LINASUMBUA NETWORK AU UNAUZIWA SIMU ILIYOTUMIKA UKIDANGANYWA NI MPYA...

Ngoja Nikuvute taratibu ili unielewe vzr...

Si unajua Kuna hizi simu zinauzwa Na Makampuni ya Mawasiliano Mfano Tigo shop?

Ni mara nying sana Tunasikia sijui tigo Anatangaza anauza Tecno mfano spark 3 n.k n.k kwa promoshen..


Tunajua kbsa tigo hatengenezi simu, ila anatoa chip ya sim na huduma zote kutokana na ile chip....

Sasa basi....Kinachotokea Tigo anaingia ubia na Tecno....


Tigo anamsaidia tecno kutangaza simu zake kiurahisi.....Kupitia matangazo yao, wakati huo huo tigo anauza hizo/hio simu kwenye maduka yao kwa bei rahisi zaidi ya Maduka ya kawaida na Anakupa na kifurushi zaidi...


Sharti kubwa la tigo analompa tecno ni kwamba....Lazima laini Moja Ifungwe (locked) itumie laini ya Tigo pekeee....
Hii sasa inaitwa CARRIER LOCKED..

Na hapa sasa Tigo ndipo anapofaidika.... Anajua lazima Laini yake itatumika hivyo ataongeza wateja... Hata km hukua na laini ya Tigo Utanunua kwa shart la kupata ile simu.. na sio kununua tuu lazima utashawishika kuitumia sbb wanakupa na ofa....

Kwahiyo
Tigo anafaidika kwa kupata wateja/watumiaji wengi... na
Tecno nae anafaidika kwa Kuuza simu nying na kuzitangaza kirahisi..

TUENDELEE
Sasa sbb Mtu anahitaji urahisi.....
Ameona Atapata hio simu Tigo shop kwa bei rahisi....Pili atapewa na vifurushi vya bure kwa mda flan....Basi naye anaenda kununua simu tigo shop Ambapo Lazima SIM 1 Isome laini ya tigo.....

Sasa ikafika kipnd amechoka kutumia laini ya Tigo kiulazima.....

Anachokifanya anaenda kwa wataalam Ana i UNLOCK ule Mtandao(CARRIER) uliofungwa kwa ulazima.....Kibongo bongo Tunaita Kuflash...
Hili Neno tumelisikia sana hasa miaka ya nyuma kdg
'Nataka ni flash simu yangu Itumie laini zote'

Ku UNLOCK ni kufungua kitu...
CARRIER ni ule mtandao...
Kwaio unafungua tray(Mara nying ni SIM 1)ya simu iliyokua imefungwa kwa mtandao flani ili ile tray isome Laini ZOTE.
Hii sasa ndio CARRIER UNLOCKED...

Hicho ndio kinachotokea Hata huko ulaya/usa n.k

Samsung Anaingia ubia na Makampuni ya simu km Verizon, AT&T, T-Mobile n.k n.k...

Mtumiaji akichoka kutumia ile simu anataka aiuze nje ya USA inabidi aipeleke waka i Unlock ili isome laini zote la sivyo Ndio zile ikija huku simu haisomi laini mpk uipeleke kwa wataalam...

KWA NN NASEMA IEPUKE?

Kwanza Ijulikane kbsa ku flash simu iliyokua imefungwa ni illegal....Hata hao tigo ukiwaambia masuala ya ku flash watakumaind....
Wenzetu ulaya wao wana mda maalumu kutokana na mkataba... ni angalau miaka miwili Ndio unaweza uka i unlock na sheria isikubane...
Maana kinyume na hapo Ni hasara....

Haiwezekani unitumie mm nikuuzie simu kwa bei chee na kukupa vifurushi vya bure halaf laini yangu ambapo mm ndio nategemea nipate faida huitumii...

Sasa Unapo i flash kuna mawili....
Either Isisome laini kbsa au isome kwa shida...
Kwa ufupi mara nyingi zinazingua network...
NA HIKI NDIO SBB NAKUAMBIA ZIEPUKE...
Unaweza utumie unaona iko poa lkn ukipata simu nyingne km hio hio ambayo ni free utaona utofaut mkubwa...
Au ukabadilisha tu mazingira unaona simu yako inasumbua network nakat za wenzako zinapga kazi...
Wengi washakutana na hili tatzo hasa kpnd kile tunatumia visimu vya vodafone au vile vibatan vya tigo..

UTAJUAJE HII SIMU NI UNLOCKED?
Simple Tu...
simu nyingi zinazokua Locked na mtandao flan...
Zinakua na symbol flan za ule mtandao...
Mfano unakuta imeandikwa tigo juu au nyuma ya simu...
Nyingne ukiiwasha inaakuandikia Vodacom n.k n.k

Kwa zile za US utakua mfano simu imeandikwa au ukiwasha inaandika
VERIZONI, T-MOBILE AU AT&T ukiona hivyo tuu jua Ni unlocked.....

Sasa nying za sikuhz hawaandiki...
Ukiona hivyo njia rahisi ni kusoma Model number...Ambayo inakua nyuma ya simu au ingia ndani kwenye about phone....


kwa Samsung S-series Model # Yake Utaona
Imeandikwa hivi SM-G.... hapo kwenye hivyo vidoti Vinne Ni namba kutokana na simu husika....
Mfano wewe nimekwambia Kwa hela hio Unaweza ukapata S9+,
Basi model namba yake PIGA UA
itaanza hivi SM-G965. hicho kidoti cha mwisho sasa, NAMBA au HERUFI itakayomaliziwa hapo ndio muhimu kujua km simu ni Free au Carrier unlocked sasa

Mfano km hio S9+ ilikua locked kwa Mtandao wa Verizoni Utaona imeandikwa hivi
SM-G965V, Kama ni T-Mobile Utaona imeandikwa SM-G965T km ni AT&T utaona
SM-G965A...

Nzuri ambayo haijawa locked.....
Wanaita
Global/international - Model/version..
LAZIMA MWISHO IISHIE NA....F/DS/FD

kwahio Itakuwa hivi
SM-G965F/DS/FD....
Inaweza ikawa chochote kati ya hivyo vitatu.. ila mara nyingi ni F au DS au vyote kwa pamoja yaani .....F/DS
Ukiona kwenye hio model Amekuandikia DS
Hii inamaanisha hio simu ni Dual Sim(laini mbili) Na hio F For Free..

Na ukiona Mwisho Hajaweka HERUFI kaweka NAMBA..
Mfano SM-G9650, jua hio simu sio Locked ila Ni mahususi kwa kuuzwa Nchi/ukanda au bara Flani...
Mfano Europe, Asia, South korea, China n.k...
Kwaio haiko locked ila imetengenezwa kwa kuuzwa maeneo maalum...

Kwa samsung Note-series utaona
Imeandikwa hivi SM-N....
Mfano Note 9 Unatakiwa uchukue yenye
SM-N965F/DS

Kwa Samsung Joy a.k.a J-Series Utaona
Imeandikwa hivi SM-J....

Kwa Samsung Alpha a.k.a A-Series utaona
Imeandikwa hivi SM-A....


Hii ni kwa simu zote za samsung HASA MATOLEO ya miaka hii Global model...
Inatakiwa iishie na ......F/DS

Ila ukipata Model inayoishia na .....0, U au H kwa simu za zamani
hizo sio mbaya angalau zinakuwaga vizuri,
Au yyt inayoishia na namba...

Ila sio hayo ma T,V & A.... Japo nazo waweza upate ambayo imekua unlocked vizuri ila PIGA UA jua hio simu ni Used sasa....

Mara nyingi Ukipata Samsung Yenye Laini mbili basi usiwe na shaka ni hii inshu....

ILA ukiona tuu Samsungu Kwa nyuma Chini Imeandikwa jina la Simu......

Mfano Galaxy S6+, Galaxy S7, Galaxy S7 plus,
Galaxy S8+, Galaxy S9+ n.k n.k
Ambazo zimejaa sana na tunaona watu wengi wakiziuza.....

Hio kimbia ni Unlocked.....

International model Samsung HAWAANDIKI Jina kwa nyuma zaidi ya Brand

Inatakiwa uone neno SAMSUNG tuu kwa juu....
Chini labda uone neno DUOS kwa zile za laini mbili au yale maelezo meng kwa maandishi madogo....ambayo yanakua ya model, imei n.k...

USHAURI WA BURE....

Ukiona mtu anauza simu hasa hizi high end(Unaona kbsa ni ya gharama) halafa anakuambia
"EXCHANGE ALLOWED"
Halaf haweki conditions zozote/Mashart yoyote....
ANZA KUTUMIA UBONGO WAKO VIZURI

Huyo anachotaka ni simu imuondokee by any means......chochote atakachopata sio hasara kwake bali kwako....
Kwa ufupi : kua makini sana na simu za exchange....

TUPO DUNIANI KWA JUKUMA MAALUM..
TIMIZA JUKUMU LAKO...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo kwa vyovyote itakua
Samsung Note 3,
Au nakosea?

Yoyote inayoishia na Namba haiko Locked ila Mara nyingi Ni mahususi kwa Kuuzwa Ukanda/zone flan...
Mfano Asia, Europe N.k... lkn inaweza kutumika ukanda hata tofaut na huo...

Hizi model wanatengeneza kutokana na nchi/bara au ukanda

Kwaio haina shida,
Na pili nimesema Hizi model zinazoishia na F/DS/FD zimekuja kwa matoleo haya kuanzia nahisi S5...
IMG_20200306_151038_983.jpg

Kama hii..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom