Kati ya Programmer na I.T

fundi makenika...
I know yote ni mahindi lakini naongelea unga wa dona na sembe ni upi unaolika na watu kwa sana???
Umenipata?
Hahaha, ulichouliza Sio kati ya unga wa mahindi na sembe kipi kinalika zaidi?
 
ivi kuna utofauti kati ya mtu anaesoma bachelor of science in ICT na bachelor of science in IT
 
Network programing hii ndo kitu gan tena hii???
 
ivi kuna utofauti kati ya mtu anaesoma bachelor of science in ICT na bachelor of science in IT
Hakuna tofauti ni sawa wanafunzi mwingine katumia majina mawili na mwingine katumia majina matatu katika usajili
 
IT anafahamu programming lakini kwenye swala la kuprogram ndo pagumu apo lakini programmer anatakiwa asiogope kucode na pia aweza kusolve matatizo katika jamii kwa kupitia code
 
Una inspire una motivate una kila kitu..yani mtu akisoma majibu yako Hukatishi tamaa unatoa Fact za kweli bila kuweka negetivity ndani yake..yani una encourage mpk mtu hujutii kutamani kua programmer au It coz hamna mahali umeegemea.

Bravo MK254 tUANZE HESABIA 2018..KUFIKA 2025 ntakutafuta..and this is A promise.

THANX.
 
Umenipa mwanga hapa nilikuwa gizani sana
 
Vipi kuhusu anayetaka kujifunza Data analysis/Data science.Je naye atahitaji kwanza kuwa programmer au kujifunza lugha ngapi ukiitoa lugha ya PYTHON.
 
Mkuu MK254 kumbe we ni coder.Nilijua utakuwa mjaluo wa kwenye mtaa wa mabanda,kibera
 
Programmer ndiye anaendesha Dunia kwa sasa. Software zote zinaandikwa na yeye. Michongo ya Hela ipo nje nje kwa programmer. Kibongo bongo programmer mzuri hatafuti kazi Bali kazi zinamtafuta.

Coding ni kama kipaji yaana uwanjani wapo wachezaji wengi wanaojiita I.T ila akina Lionel Messi, Mbappe na Ronaldo ni macoder ambao ni wachache.

N.B
Kuwa coder ni lazima uwe na akili na unajua kufikiria vizuri. Programming haifundishwi darasani.
 
Vipi kuhusu anayetaka kujifunza Data analysis/Data science.Je naye atahitaji kwanza kuwa programmer au kujifunza lugha ngapi ukiitoa lugha ya PYTHON.

Sijui vipi bora ila haya makitu ukiwa na background ya coding huwa yanatiririka tu yenyewe, ukianzia kujipa ustawi kwenye programming na ikakukaa vizuri, hayo mengine hayawezi kukupa tabu.
 
Hizi ndio mada za kujadiliwa vijana wanao taman kujinyanyua kimaisha,much like Kwa wadau wote Wanao peperusha ujuzi wao kusaidia wengine wenye uhitaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ