Kati ya Programmer na I.T

Wote wana fursa za kujiajiri, inaegemea tu na capital uliyokuwa nayo.
1. Kama wewe ni IT na una capital ya kutosha unaweza kufungua biashara kisha ukajiri programmer na ukawa una wa supervise.
2. Kama capital yako ni ndogo, unaweza wewe kama programmer ukaingia msituni ukafungua biashara ukajiajiri mwenyewe kama programmer.

All in all watu wengi wanaojiajiri kama programmer unakuta ndio wako kwenye start-up stage za business ila wakisha expand huwa wanaajiri programmers maana ile kazi ni mzigo kufanya mwenyewe kila kitu.
 
kuliko kuingia kwenye Biashara kwa lengo la kupata fedha, bora ukatafute mtu akuajiri. Utaishia kuwa frustrated na pengine kujifia mapema. Kwa lugha rahisi ni kuwa kama motive yako ni kusoma ili upate fedha, CompSc na related branches are not for you!
 
Pole
 
Swali lako lina utata. IT anaweza kua programmer,hata mtu yoyote akisoma programming anakua programmer. Kwahyo sio cheo ni skill. IT na Comluter Engineer ndio wa kulinganishwa.

Lakini Ngoja ni assume nmekuelewa swali lako.

Programmer ndio ana fursa nyingi
 
Heshima yako bro!

So watu wanasoma CS ili wapate nini kama si pesa?? Najua kuna passion and all that but at the end what do you want to achieve? Money?
 
Heshima yako bro!

So watu wanasoma CS ili wapate nini kama si pesa?? Najua kuna passion and all that but at the end what do you want to achieve? Money?
They get paid because they solve problems. So chase problems and offer solutions and you get money. Chase money and you'll never catch them.

Basic business principle that harshly applies in Engineering/IT/CS soma kipande hiki:

endapo wataajiriwa yupi ambae atapokea kiasi kikubwa cha mshahara kupita mwenzake???
 
Ok kama I T ni teknolojia ya mawasiliano, unaitenga vp na programming.
Jamii forum ni sehem moja wapo tunapopata taharifa na kiwasiliana, je hapa haijatumika teknolojia ya habari? Ok na je programming haijatumika?
IT ni nani na proggramer ni nani?
Ninachojua kwny ofisi nyingi iwe za kiserikali au za kmpuni binafsi huwa wanatenga kitengo cha IT na si programming ingawa yaeeza kuwa ni ofisi ya kudeal na programming.
Mleta uzi naomba unijibu na mimi.
Kati ya fundi makanika na mtengeneza engine ya gari nani anapata deal nyingi.
 
They get paid because they solve problems. So chase problems and offer solutions and you get money. Chase money and you'll never catch them.

Basic business principal that harshly applies in Engineering/IT/CS soma kipande hiki:
Nimekupata sawia mkuu!! Get required skills, find problems, solve them and ultimately they'll pay you!! Thank you!
 
Mk254 umeongea bonge la pointi, IT ni tamu sana ukiwa na passion waeza fanya chochote na pia ina ulingo mpana wa kuchezea popote utakapoamua kucheza kuna networking ukii mastet na ukapata certification yake utandunda, ipo sytem administration and security nayo ina itamu wake, kuna ishu za graphics and design pia huku ipo kali tu na kuna programming ambapo hapa inahitaji ujitoe roho na nafsi. Pesa utaipata popote pale kwenye IT. Note usiige wala kukurupuka kusomea hii course kama haupo tayari kujitoa na kama wewe sio mfuatiliaji wa mambo hasa ya IT TECHNOLOGY.
 
fundi makenika...
I know yote ni mahindi lakini naongelea unga wa dona na sembe ni upi unaolika na watu kwa sana???
Umenipata?
 
Nimependezwa na mjadala huu,kwa kuzingatia swali,IT na Programmer wote wanafursa sawa za kuajiriwa aidha hakuna jibu LA moja kwa moja LA nani anapata mshahara mkubwa,inategemea wameajiriwa wapi yaani nchi ,kampuni,taasisi ,serikalini au sekta binafsi.Kwa mazingira ya Serikali ya Tanzania baadhi ya Wizara na Taasisi za Serikalu huajiri za wajuzi wa IT aidha zipoWizara zinajiri zaidi wajuzi wa Programming
 
Soko la programming ni kama vipi? au ni kutengeneza programu tu?
 
Programming kwa Afrika bado mkuu!!.......hata kazi zinazohitaji programmer hapa Tanzania nafikiri pia ni chache sana!
Wat
Soko la programming ni kama vipi? au ni kutengeneza programu tu?
Moja ya shida ya tanzania watu wanawaza soko kwanza Na hela kabla hawajaanza ku appreciate Na kuelewa nini maana ya computing.Ndo maana ni nadra sana kuona system programmers hapa kwasababu most of them(wana IT na CS)hawataki kwenda deep into the system Na ku devote time and passion kuelewa vitu.soko ni muhimu lakini tunabidi kwaanza tuanze ku appreciate computing Alf soko Ndo litafuata baadaye
 
nataka kuwa programm lakini nataka niome mwenyewe kama ulivyosema bila kwenda chuo sasa unanishauri nianzeje mm kama beginner
 
Kwani wadau ujue sie wengine... ni pangu pakavu kabisa.....

Programming kazi zake ni zipi kwa ofisin... km ofisini anafanya nin na mitaan anafanya nin... then izo kazi zipo mara kwa mara katika maisha ya kawaida...

Pia.

I.T kazi zake ni zipi kwa ofisin... km ofisini anafanya nin na mitaan anafanya nin... then izo kazi zipo mara kwa mara katika maisha ya kawaida...

Naombwa nijuze then ntajua nani anapiga pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…