Lizo mkristu
Member
- Oct 31, 2019
- 69
- 80
Mimi ni namiliki shamba la parachichi mkoani njombe ukubwa NI heka10 na shambo lipo juu ya mlima na kwenye upunde wa mlima chini ya mlima huo ndio kuna bonde na chanzo cha mto sasa naitaji kumwagilia miti hii ya matunda je nitumie pump ipi kujaza tank Kati ya hydram water pump,solar pump na pump za mafuta na ipi inagarama nafuuu.aksante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app